Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
Watu wa forex ni wavivu wakupambana mtaani hawana tofauti na wabetting, yani 10k usd unaenda kugamble na kuna fursa kibao mtaani kama sio uvivu ni nini?

Na msemo wenu wa nikipata mtaji wa 10,000usd kama mmeshindwa kuraise kiasi mlichonacho mpaka kufika uko ata ukipewa iyo ni kazi bure.Mtu aliyefanikiwa kuraise 100usd mpaka kufika 10,000usd mimi niko tayari kuwekeza kwake 10,000 usd [emoji89]. Tusitoane kwenye reli atii..
 
Watu wa forex ni wavivu wakupambana mtaani hawana tofauti na wabetting, yani 10k usd unaenda kugamble na kuna fursa kibao mtaani kama sio uvivu ni nini? Na msemo wenu wa nikipata mtaji wa 10,000usd kama mmeshindwa kuraise kiasi mlichonacho mpaka kufika uko ata ukipewa iyo ni kazi bure.Mtu aliyefanikiwa kuraise 100usd mpaka kufika 10,000usd mimi niko tayari kuwekeza kwake 10,000 usd [emoji89]. Tusitoane kwenye reli atii..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kama unahisi forex ni uvivu jaribu
 
Watu wa forex ni wavivu wakupambana mtaani hawana tofauti na wabetting, yani 10k usd unaenda kugamble na kuna fursa kibao mtaani kama sio uvivu ni nini? Na msemo wenu wa nikipata mtaji wa 10,000usd kama mmeshindwa kuraise kiasi mlichonacho mpaka kufika uko ata ukipewa iyo ni kazi bure.Mtu aliyefanikiwa kuraise 100usd mpaka kufika 10,000usd mimi niko tayari kuwekeza kwake 10,000 usd [emoji89]. Tusitoane kwenye reli atii..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Ila inawezekana sana kumake laki mbili ukiwa na $10,000 kwenye akaunti daily bila pressure.
Ngoja mi nionyeshe hapa akaunti hii ya dola mia nimeiweka kwenye cent akaunti inayoonyesha $10,000 kama inavyoonekana hapo chini.
5b12e2ed-8724-4d7c-a39e-ef8e785e1eb1.jpg

Ntaleta mrejesho baada ya miezi mitatu alafu uwekeze na mimi mkuu.
 
Ila inawezekana sana kumake laki mbili ukiwa na $10,000 kwenye akaunti daily bila pressure.
Ngoja mi nionyeshe hapa akaunti hii ya dola mia nimeiweka kwenye cent akaunti inayoonyesha $10,000 kama inavyoonekana hapo chini.
View attachment 1788227
Ntaleta mrejesho baada ya miezi mitatu alafu uwekeze na mimi mkuu.
Isije ikawa demo tu..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa inategemea na ukubwa wa biashara unaiyoifanya(kama mfanya biashara) na wapi unafanyia biashara husika (idadi ya wateja)
Tufanye unafanya biashara ya kuuza ice cream maeneo ya shule/vyuo;

Idadi ya ice cream kwa siku (3000 pcs) ambapo unazisambaza na kuuza kwa shule/vyuo 10 kwa kila kituo utauza pc 300 ambayo itazalisha mauzo ghafi sh.300,000/- (ikiwa utauza kwa bei ya shilingi 100/- kwa kila ice cream moja).

Gharama za kutengeneza,kupack na kusambaza tufanye 100,000/-
Faida itakuwa 300,000 - 100.000 = 200,000/-

Hapo hiyo idadi ya ice cream isikuchanganye sana amini ya kwamba inawezekana ukiwa na marketing strategy mzuri.
 
Mkuu hapa inategemea na ukubwa wa biashara unaiyoifanya(kama mfanya biashara) na wapi unafanyia biashara husika (idadi ya wateja)
Tufanye unafanya biashara ya kuuza ice cream maeneo ya shule/vyuo;

Idadi ya ice cream kwa siku (3000 pcs) ambapo unazisambaza na kuuza kwa shule/vyuo 10 kwa kila kituo utauza pc 300 ambayo itazalisha mauzo ghafi sh.300,000/- (ikiwa utauza kwa bei ya shilingi 100/- kwa kila ice cream moja).

Gharama za kutengeneza,kupack na kusambaza tufanye 100,000/-
Faida itakuwa 300,000 - 100.000 = 200,000/-

Hapo hiyo idadi ya ice cream isikuchanganye sana amini ya kwamba inawezekana ukiwa na marketing strategy mzuri.
hesabu za matikiti
 
Mkuu hapa inategemea na ukubwa wa biashara unaiyoifanya(kama mfanya biashara) na wapi unafanyia biashara husika (idadi ya wateja)
Tufanye unafanya biashara ya kuuza ice cream maeneo ya shule/vyuo;

Idadi ya ice cream kwa siku (3000 pcs) ambapo unazisambaza na kuuza kwa shule/vyuo 10 kwa kila kituo utauza pc 300 ambayo itazalisha mauzo ghafi sh.300,000/- (ikiwa utauza kwa bei ya shilingi 100/- kwa kila ice cream moja).

Gharama za kutengeneza,kupack na kusambaza tufanye 100,000/-
Faida itakuwa 300,000 - 100.000 = 200,000/-

Hapo hiyo idadi ya ice cream isikuchanganye sana amini ya kwamba inawezekana ukiwa na marketing strategy mzuri.
Hizo ice cream zinajitengeneza zenyewe? Sijakuelewa hapa, toa ufafanuzi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana kama ukiwa na biashara moja yenye matawi zaidi ya 1.Mfano,,ukifungua play station kwa mtaji wa m2 una uwezo wa kuingiza 20-30k kama faida daily..ukifungua sehemu 10 × 2M=20M kama mtaji hivyo unaweza kuingiza laki 2 mpaka 3 kwa siku kama faida kwa sehenu iliyochangamka .Hii nina experience nayo na nilikua na goal moja hivyo nishawahi ingiza 200÷10 ambayo ni 20k per day kama faida kabla sijarudisha mpira kwa kipa kwa maswahibu yaliyonikuta hapa duniani
 
Back
Top Bottom