Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Saloon ya mtaji wa 20m ikupe faida ya laki 2 kwa siku!Unaota mkuu
Kunyoa ndevu elf 25k, kuchonga 10k, mtindo 50k wewe unaishi mbagala nn?😂assume kaja mtu mmoja kunyoa ndevu, mtindo na akachonga. Tyar 75k wakija watatu tayari unafunga kazi
 
Millioni moja miezi miwili? Unakaa hostel?

Anyway, karibu JamiiForums. Kijiwe cha matajiri.

Kutengeneza Tsh 200,000 kwa siku njia kubwa sana ni janjajanja tu na dili za udalali. Kama hauna aibu wewe saidia kwenye udadali au mauzo kisha top up cha kwako then mshawishi mteja alipie fasta.

Ukisikia jamaa anauza gari Tsh Millioni 4.0 wewe tafuta mteja mvishe kwa Tsh Millioni 5.0. Atabargain na kulialia hadi Tsh Millioni 4.5 na wewe utakuwa umetengeneza Tsh Laki tano. Kwa kuwa malengo yako ni Tsh 200,000 kwa siku hiyo laki tatu iliyozidi utanipa mimi hivyo na mimi nitakuwa nimetengeneza Tsh 300,000 kwa siku.

Ila nikutahadharishe tu, Watu hao hawapati pesa hizo kila siku; ni dili za mara moja moja, na nyingine ni risk sana. Au magumashi kibao hadi ya kufoji signature za marehemu.

By the way wengine ni story tu, they don't have that money!!!

Hapo kwene kukupa wewe 300,000 ndo nimeona pagumu kwingine nimekuelewa mkuu
 
Lazima tukubaliane kwanza kwamba maisha tunatofautiana ukiwa unawaza utapataje 200k kwa siku kuna mtu anatafuta 1000 la ugali kwa siku.
Ila unaweza fanya haya
1.tafuta skills zinazolipa mfano ufundi bomba, radio simu umeme nk. kisha anzisha ofisi yako mwenyewe.

2.usiishi kwa kujitutumua; kuna watu wakiwa na pesa hata kidogo tu kila atakaye mlilia shida anampa chunga sana siku ukikata ringi watakucheka sana.

3.kama wewe ni me achana na mademu wa nje ikibidi oa hawa watu huwa hawana huruma na pesa ya mwanaume.
4.tafuta real partiner au friend utawajuaje jifanye una shida tu ya pesa au ushauri wasumbue hata mwezi mmoja kama wanakupa ushirikiano mark them they are real kwako ukiona hawapokei simu wala kujibu sms hao ndio makenge achana nai.
5. Jf kila mtu ni milionea au anamiriki biashara ila siyo kweli usije jiona umechelewa.
6. Kama unakaa home kwenu hama nenda mbali kukaa karibu na ndugu ukishaanza kushika vipesa basi kila mtu atakulilia shida hapa huta chomoka.
7. achana na online freelancer, fx siju consultant wa biashara, mapenzi siasa kwa bongo hakika unapoteza muda wako tu.


8. Kuna jamaa yangu ana skills za mobile phone repair huwa anaingiza pesa/ faida zaidi ya 100k per day. Siyo mauzo nasisitiza faida.

9. Kuna watu huwa wanataka kupata skills for free aise jichunge sana yani mtu atoe muda wake for free hapa unahitaji maombi makubwa sana.
10.tz vitu vya kufanya na tukaleta pesa nyingi mifukoni mwetu bado vingi sana sema tumechagua vitu vya short cut tu.
Hakika umenena
 
Kama hufuati money management inapotea ndani ya sekunde,

Ila kama una trede kitaalamu hiyo laki 3 ni sawa na dola 140 ambapo unahitaji kuweka lot ya 0.20 position moja tu ikitembea pips 100 tayari.

Na hapo ni ngumu sana kuunguza hata usipoweka stop loss
Ikoje hii ?
 
Mbona simple sana inategemeana na mtaji uliyowekeza na aina ya biashara unayofanya. Mfano ukifungua saloon ya kisasa yenye mtaji wa milion 15 mpaka 20 hiyo pesa unaipata
Duh. Hiyo saloon uwe na uhakika na wateja.
 
Unaweza kuipata hiyo laki 2 almost kila siku kama unafanya ishu za blogging kupitia adsense,adsterra ama propeller ads

Android apps kupitia facebook audience network ama admob

Ama kama unafanya day trading kwenye cryptocurrency markets

Zote hizo ni mishe za online ila unahitaji maarifa kidogo ili uweze kuzifanya vzr na ukapata hayo matokeo
 
Kaka mi nikiwa na mtaji wa $10,000 kwa fx hiyo laki 3 ndogo sana ntatengeneza $500
Unasubiri nini kutengemeza hizo dolla 500 ukaacha kujielezea sana hapa jf mara sjui leta nikutredie 😂😂😂😂 unadhani pesa ni matako eehhh mkuu tafuta kitu cha kufanya forex ni mchezo wa mazezeta
 
Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
wacha kuzungumzia fx naiona kama HIV an nikiiskia nahis kupalalaiz miguu na ubongo
alienishawish kutrade mungu anamuona
#maskini kiwanja changu 😥
 
Mkuu twende hivi,
Tsh200,000 kwa siku maana yake ni Tsh600,000 kwa mwezi.


Sasa kwa mfuko wa bond fund UTT ili upate. Profit kwa mwezi mil sita sawa na 0.9% ya mtaji, hivyo yakupasa kuwa na Capita ya mil 670 Tsh. Sawa na dola292k

Mil 670, fanya tu hivi, nunua instant account kwa prop firm ya Dola 10000, then itrade Hadi Dola 292k ,ukifikisha usipoteze muda chomoa kwenda bank account then hamishia UTT.ukifanikiwa tu, basi utakuwa unapokea gawio la 6mil miaka yote utakayoishi duniani.sawa na 200k kwa mwezi.. provided capital Yako IPO palepale.
 
Mkuu twende hivi,
Tsh200,000 kwa siku maana yake ni Tsh600,000 kwa mwezi.


Sasa kwa mfuko wa bond fund UTT ili upate. Profit kwa mwezi mil sita sawa na 0.9% ya mtaji, hivyo yakupasa kuwa na Capita ya mil 670 Tsh. Sawa na dola292k

Mil 670, fanya tu hivi, nunua instant account kwa prop firm ya Dola 10000, then itrade Hadi Dola 292k ,ukifikisha usipoteze muda chomoa kwenda bank account then hamishia UTT.ukifanikiwa tu, basi utakuwa unapokea gawio la 6mil miaka yote utakayoishi duniani.sawa na 200k kwa mwezi.. provided capital Yako IPO palepale.

insta acc unafanyaje business au unamaanisha forex acc
 
Mkuu twende hivi,
Tsh200,000 kwa siku maana yake ni Tsh600,000 kwa mwezi.


Sasa kwa mfuko wa bond fund UTT ili upate. Profit kwa mwezi mil sita sawa na 0.9% ya mtaji, hivyo yakupasa kuwa na Capita ya mil 670 Tsh. Sawa na dola292k

Mil 670, fanya tu hivi, nunua instant account kwa prop firm ya Dola 10000, then itrade Hadi Dola 292k ,ukifikisha usipoteze muda chomoa kwenda bank account then hamishia UTT.ukifanikiwa tu, basi utakuwa unapokea gawio la 6mil miaka yote utakayoishi duniani.sawa na 200k kwa mwezi.. provided capital Yako IPO palepale.

insta acc unafanyaje business au unamaanisha forex acc
 
Back
Top Bottom