babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Akuu sina vurugu mie BWANA konoboy [emoAcha vurugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuu sina vurugu mie BWANA konoboy [emoAcha vurugu
Acha fujo mi sio konoboy nina jina langu zuri na lenye heshima kenzy!.Akuu sina vurugu mie BWANA konoboy [emo
Dogo una matukio!Nilichambwa mbele ya rafiki zangu niliabika mimi,niliaibika sana!.
Sikia tu mtoto wakike amesimama mbele yako,mguu mmoja mbele, kiunoni kajivika kanga kana kwamba anataka kukata mauno! Halafu ananesanesa halooo!! Lile neno la "UNIKOME" nilikuwa nalisikia kuanzia kiambishi awali cha Kati na kiambishi tamati!,mzizi wa neno,na ndipo nilijua hilo neno ni sentensi ya kujitegemea na iliyijitosheleza!.
Nilikuwa mnyonge kama nimemwagiwa maji!.. kitoto cha watu kimefura,ule mtaa niliacha kwenda kwa wiki kadhaa.[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hilo la konoboy ndio utaanza nalo MWAKA mpyaAcha fujo mi sio konoboy nina jina langu zuri na lenye heshima kenzy!.
Takata mtu mitama ya shingo.
Kumbe huwa mna misimamo!Pia niliwahi kutongozwa na msichana...aisee kuna wasichana wanatongoza huchomoi hata kama una misimamo yako hahaaa
Na hili bado nilikuwa primary!Dogo una matukio!
Ninalo jipya![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hilo la konoboy ndio utaanza nalo MWAKA mpya
Hilo jipya unalijua mwenyewe ILA konoboy linaendeleaNinalo jipya!
Ukiwa unatongoza kwa simu hatuhesabu Kama unatogoza.ila si ni kutongoza haijalish ulitumia njia gan ila iwe ya kwanza
Kwaheri.Hilo jipya unalijua mwenyewe ILA konoboy linaendelea
Kwaheri konoboy ee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwaheri.
Yaani utendwe na wengine taabu utupatie sisi!! Basi hautokuwa rais.Na hili bado nilikuwa primary!
Nafikiri nina la kuitendea hii nchi nampango wa kuja kuwa rais sasa ombeni katika miaka yangu ya utawala nisiandikiwe au nisiambiwe hili neno "me & you it's over!".
Hiyo nchi ntakavyoiendesha hamtaamini haiwezekani mpaka nakuwa rais wa nchi bado naachwa!. Mbona maji mtaita mma!.
Nilichambwa mbele ya rafiki zangu niliabika mimi,niliaibika sana!.
Sikia tu mtoto wakike amesimama mbele yako,mguu mmoja mbele, kiunoni kajivika kanga kana kwamba anataka kukata mauno! Halafu ananesanesa halooo!! Lile neno la "UNIKOME" nilikuwa nalisikia kuanzia kiambishi awali cha Kati na kiambishi tamati!,mzizi wa neno,na ndipo nilijua hilo neno ni sentensi ya kujitegemea na iliyijitosheleza!.
Nilikuwa mnyonge kama nimemwagiwa maji!.. kitoto cha watu kimefura,ule mtaa niliacha kwenda kwa wiki kadhaa.😂
unakuw unafanyaje mkuuUkiwa unatongoza kwa simu hatuhesabu Kama unatogoza.
Ushachelewa pole thana utakuja kuona de president kenzy in the house!.. ukiona tu taarifa "rais katendwa yupo taabani kitandani" basi jua kimeumana..🤣Yaani utendwe na wengine taabu utupatie sisi!! Basi hautokuwa rais.
Unakuwa unafanya upuuziunakuw unafanyaje mkuu
Hukuna mwanaume asiye na msimamoKumbe huwa mna misimamo!
Ni kweli mkuuduh umetixha mkuu kama ni kweli
Kawaida yao!! Na sijui ni kwa nini huwa wanafanya come backNilijipa ujasiri kumtongoza demu flan hiv ......nikaambulia matusi........
Kufupisha story ....nilianza kumkwepa ....ila now.....anajileta mwenyew