Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia katika website ya chuo au fika kituo chochote cha OUT kilicho karibu nawe, OUT wana tawi kila mkoa.Nataka kujiunga Masters MBA distance mwaka huu,joining form nazipataje?any help mkuu
Kwa uhakika nakushauri ujaze fomu ya maombi
Masomo Huria sio masomo wazi na masafaUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Foundation Course piaGPA inayotakiwa kwa mujibu wa wasimamizi wa Vyuo vikuu (TCU)kwa mtu anaepaswa kudahiliwa Kutoka Diploma kujiunga na shahada ya kwanza (Bachelor degree) anapaswa kuwa na GPA ya kuanzia 3.0 zamani ilikua 2.7 lakini kuanzia mwaka wa masomo uliopita imewekwa GPA ya 3.0.
Alternative unaweza kufanya diploma nyingine upate GPA stahiki, au unaweza kufanya mtihani wa kidato cha sita na kupata sifa stahiki au unaweza kufanya mtihani wa RPL unaotolewa na TCU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anawezaJe kama mtu amedailiwa Julai anaweza kuomba masoma yake yaanze Oktoba (iwe kama amedailiwa Oktoba)? Na taratibu ni zipi za kufanya hivyo?
Kuna vituo vya OUT kila mkoa ukifika utapatiwa fomu na kuijaza.Nataka kujiunga Masters MBA distance mwaka huu,joining form nazipataje?any help mkuu
Uwe na atleast O level D nne isipokuwa za masomo ya Dinimie nataka soma cert ya sheria sifa na vigezo ni vipi pia ada ni kiasi gani?
Lazima uwe na certificate ya course yoyote ya miezi 6 au mwakaKuna rafiki yangu kila akiomba course ya foundation ana kosa na vigezo anavyo ana D S S advance?
Mifumo iko automatic ukiingiza index no tu ina detect yenyeeweKwenye application Kuna sehemu wanasema O level school ambayo ulisoma.Lakini nafasi ya kuandika haipo na ukitaka kuendelea inasema andika Kwanza jina la shule uliyosoma.Sasa Hiyo shule unaandika wapi
Hiyo sehemu ya mifumo kudetect Ni mwanzoni unaporegister ukifika mbele panadai tena ujaze hapo ndio shida inatokeaMifumo iko automatic ukiingiza index no tu ina detect yenyeewe
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Vipi hiyo Bsc in ICT masters yake inaweza kuja kuwa ya computer science?Kuna intake nne kwa mwaka
November intake
January intake
April intake
July intake