Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Hahahaaa elimu ya bongo complications nyingiiiiiiii lakin bado vilaza wapo lukuki na wengi wao ni hao hao walio soma elimu hiyo hiyo sijui tatizo ninini
ndalichako anayakujibu uko aendako amewatesa sana watoto wasio na hatia...
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliotoa 40,000/= zetu vipi?

chase a check.. never chase a b!tch
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app


Naomba nifahamishwe vyuo vizuri vya afya ili kijana wangu aweze kuapply kusomea clinical mediciine.....Amemaliza form six ila hakupata grade nzuri kwa masomo ya PCB kwa hiyo inabidi asomee diploma kwa kutumia grade za form four...Yeyey ndoto yake ni kuwa daktari ...kwa hiyo nimeshauri aanzie diploma...msaada tafadhali wa vyuo vya afya..
 
dindilichuma mkuu mbona taasisi yenu ya iemt iliyo chini ya dk nfuka ni wababaishaji kwa kiwango hicho?,nina mdogo wangu alisoma hapo diploma in computer science amemaliza mwaka jana hadi leo taarifa zake hazipo nacte.

Anashindwa ku verify vyeti vyake kwenye system ya nacte anambiwa matokeo yao bado hayapelekwa.na hili tatizo hadi limesha mfikia dk nfuka mwenyewe.
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, mimi nahitaji kujiunga na OUT na ni mwajiliwa lakini sifaham chochote kuhusu hiko chuo nahitaji ufafanuzi, Je Lecture hua wanafundisha kama kawaida au inakuaje? na kingine kama hawafundishi system ya usomaji wa hapo ikoje na ada zao zikoje??
 
Habari, mimi nahitaji kujiunga na OUT na ni mwajiliwa lakini sifaham chochote kuhusu hiko chuo nahitaji ufafanuzi, Je Lecture hua wanafundisha kama kawaida au inakuaje? na kingine kama hawafundishi system ya usomaji wa hapo ikoje na ada zao zikoje??
Hapana hii ni distance learning ingawa Kuna programme ni Za executive
 
Habari wakuu!
Mimi nina pass ya D tatu, naweza kujiunga na hicho chuo? Na pia kuna course gani za certificate?
Hauwezi kujiunga na Certificate ukiwa na D 3 utaratibu uliotolewa na NACTE ni kuanzia D nne
 
dindilichuma mkuu mbona taasisi yenu ya iemt iliyo chini ya dk nfuka ni wababaishaji kwa kiwango hicho?,nina mdogo wangu alisoma hapo diploma in computer science amemaliza mwaka jana hadi leo taarifa zake hazipo nacte.

Anashindwa ku verify vyeti vyake kwenye system ya nacte anambiwa matokeo yao bado hayapelekwa.na hili tatizo hadi limesha mfikia dk nfuka mwenyewe.
Naona Tatizo hilo lilishashughulikiwa
 
Naomba nifahamishwe vyuo vizuri vya afya ili kijana wangu aweze kuapply kusomea clinical mediciine.....Amemaliza form six ila hakupata grade nzuri kwa masomo ya PCB kwa hiyo inabidi asomee diploma kwa kutumia grade za form four...Yeyey ndoto yake ni kuwa daktari ...kwa hiyo nimeshauri aanzie diploma...msaada tafadhali wa vyuo vya afya..
Anaweza kuanza na Foundation programme
 
Kwann kwny center zenu za mikoani mnakuwa wasumbufu sana kuwahudumia wanafunz wanaosoma cert na dip?nasema hvyo kwakuwa mm n muhanga ktk hlo uan mnaboa sana
Sidhani Kama Kuna usumbufu Labda Kama umekutana na mfanyakazi mwenye hulka hiyo ya usumbufu
 
Back
Top Bottom