dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
- Thread starter
- #41
Unapaswa kuanza na foundation kwanza kwakuwa GPA yako haifiki 3.0 Kama yalivyomatakwa ya TCUdah 0.2 imekufanya unahaha elimu ya bongo pasua kichwa sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapaswa kuanza na foundation kwanza kwakuwa GPA yako haifiki 3.0 Kama yalivyomatakwa ya TCUdah 0.2 imekufanya unahaha elimu ya bongo pasua kichwa sana...
Kutuma maombi ni BureMi nauliza kuhusu ada ya kutuma maombi ni shilingi ngapi??
Ipo mkuu
Kutoa taarifa Kwa watu ni muhimu Kuna watu wanahitaji kusoma na Hawana taarifa.Heee mbona mnahangaika sana kutafuta wanafunzi
BSC environmental ScienceCourse nzuri kwa aliesoma PCB advance ni ipi kwa apo OUT
Unaweza kujiunga level zote kuanzia certificate mpaka PHDNataka nisome kuanzia Certificate mpaka Phd. Inawezekana kwa O.U.T?
Nipe utaratibu wa mtu anayehitaji. Kusoma postgraduate hapo open .Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mim.Mimi nataka nijiunge masters hapo.... au muda umeisha
Yes wametoafoundation course wameshatoa list?
Kuhabarisha nimuhimuHeee mbona mnahangaika sana kutafuta wanafunzi
Kuna January intake, April intake na October intakeTofauti na oktoba,kuna intake gani nyingine ya masters?