Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo post ni ya zamani lakini kwa taarifa yako OUT ndo ina registered students wengi kuliko chuo chochote tzHeee mbona mnahangaika sana kutafuta wanafunzi
Kinondoni Biafra ndio makao makuuKwa Dar-es-Salaam Ofisi za Open University zipo maeneo gani
Kinondoni Biafra ndio makao makuu
MagomeniKwa Dar-es-Salaam Ofisi za Open University zipo maeneo gani
Bongo vyuo vikuu tunatafuta vyeti vya makaburini siku ya kusoma wasifu wa marehemu. Competence katafute VETAKuna jamaa angu anasoma out,yeye assignment zote anafanyiwa.huwa najiuliza mtu kama huyo atakaa awe competent kweli au anataka cheti tu?
Ndio unakubaliwa Kuomba shahada ya Kwanza. Ingawa inategemea unataka Kuomba programme ganiMkuu Nina diploma ila nataka kuapply kwa kutumia advance certificate maana nazo ni nzuri ki academic chemistry B,biology C na geography C je naweza kukubaliwa kuapply degree?
Hakuna kozi za kilimo, ilikuwepo poutry production basiVipi kozi za kilimo mnatoa hapo mkuu?
Hali ukimaanisha nini kiongoziBachelor of Laws Hali ipoje hapo Open?
Huo unakua ni uzembe wa mwanafunzi, hata angesoma chuo chochote angefanyiwa. Assignment unafanya ukiwa kwako kwahiyo kufanyiwa ni uzembe wa mwanafunzi.Kuna jamaa angu anasoma out,yeye assignment zote anafanyiwa.huwa najiuliza mtu kama huyo atakaa awe competent kweli au anataka cheti tu?
Laws ilivyosimamia kucha ndo usome kwa Zoom? Open wanawezaje au Bora liendeHali ukimaanisha nini kiongozi
Asante mkuu nimeomba bacherol of education in policy and management April intake nasubili watoe selection nikikosa ntaomba July kwa kutumia cheti cha diploma nacho kiko vizuri sanaNdio unakubaliwa Kuomba shahada ya Kwanza. Ingawa inategemea unataka Kuomba programme gani
Nachofahamu Master ya IT kwa course work ipo ndio, zipo aina mbili pale, tembeea out.ac.tz kwa taaraifa zaid!Kuna kozi za IT level ya Master kwa coursework? Nipo mkoa wa Ruvuma
Computer science ndio inatolewa by coursework and dissertationKuna kozi za IT level ya Master kwa coursework? Nipo mkoa wa Ruvuma
Kama unasifa hauwezi kukosa mkuuAsante mkuu nimeomba bacherol of education in policy and management April intake nasubili watoe selection nikikosa ntaomba July kwa kutumia cheti cha diploma nacho kiko vizuri sana