bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,215
- 322
Foundation Kama unasoma sience ni msuri wa advernce au unalegea kidogo?Foundation programme from OUT, ina jumla ya unit 12 ktk masomo 6 na kila unit inagharimu tsh.40,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Foundation Kama unasoma sience ni msuri wa advernce au unalegea kidogo?Foundation programme from OUT, ina jumla ya unit 12 ktk masomo 6 na kila unit inagharimu tsh.40,000
Hauna tofauti na Advance sema faida yake utakuwa unafanya marudioFoundation Kama unasoma sience ni msuri wa advernce au unalegea kidogo?
Unapata ada tu inaweza kuwa 100%au pungufu boom noNikitaka kusoma chuo kikuu huria,ninaweza kupata mkopo kutoka serikalini?
Wewe tembelea center iliyokaribu na wewe ili ukapatiwe maelekezo au ingia ktk website ya chuo www.out.ac.tz, utakuta prospectus ya chuo utaisoma kwani inakila kituNaweza kujiunga na Diploma in social work 2yrs kwa sasa na ina UNITS NGAPI
Inategemea na interest yake na Malengo aliyo nayo.Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with education
Unit 12Foundation Ina units ngapi?
Masters mnaaza kuchukua kuanzia GPA ya ngapi?Unit 12
Jumla ya gharama zote ni 630,000
Samahani mkuu naomba uchungulie PM kwako tafadhali kuna ujumbe wanguUnit 12
Jumla ya gharama zote ni 630,000
Kwa mujibu wa TCU masters ni kuanzia GPA 2.7Masters mnaaza kuchukua kuanzia GPA ya ngapi?
Mara nyingi huwa wanazingatia mahitaji ya wanafunzi wa OFP kwa uzoefu wa mwaka wa masomo iliopita kulikua na ODEX kwa watu wa OFP punde baada ya matokeoNaomba kuuliza, baada ya mtihani wa Annual mwezi june , je kutakuwa na mitihani ya Odex kabla ya mwezi September? Na kama hakuna je wanaosoma ofp wanaotarajia kufanya mtihani wa Annual mwezi September watawahi dirisha la udahili vyuo vikuu?
Cheki dm Yako mkuu nimekutumia ujumbeMara nyingi huwa wanazingatia mahitaji ya wanafunzi wa OFP kwa uzoefu wa mwaka wa masomo iliopita kulikua na ODEX kwa watu wa OFP punde baada ya matokeo
Je Arusha mpo eneo lipi? na kozi ya records na Human resouce mnatoa?Mara nyingi huwa wanazingatia mahitaji ya wanafunzi wa OFP kwa uzoefu wa mwaka wa masomo iliopita kulikua na ODEX kwa watu wa OFP punde baada ya matokeo
Naomba kuuliza, baada ya mtihani wa Annual mwezi june , je kutakuwa na mitihani ya Odex kabla ya mwezi September? Na kama hakuna je wanaosoma ofp wanaotarajia kufanya mtihani wa Annual mwezi September watawahi dirisha la udahili vyuo vina
Na Mimi naombeni ufafanuzi kwa hiliNaomba kuuliza, baada ya mtihani wa Annual mwezi june , je kutakuwa na mitihani ya Odex kabla ya mwezi September? Na kama hakuna je wanaosoma ofp wanaotarajia kufanya mtihani wa Annual mwezi September watawahi dirisha la udahili vyuo vikuu?
Mimi ni intake ya April mwaka Huu nimejiunga na foundation prgm ya Masomo ya PCB nataka Kusoma degree ya COMPUTER SCIENCE ila sijajua kma nitaweza soma degree iyo kwasababu Nina "F" ya math o level na Bam advance ila now NASOMA , je naweza kupata iyo course ya computer science kwa level ya degree Maana nafanya Mtihani ya foundation y PCB sept Mwaka huuInategemea na interest yake na Malengo aliyo nayo.
HESABU lazima uwe umepassMimi ni intake ya April mwaka Huu nimejiunga na foundation prgm ya Masomo ya PCB nataka Kusoma degree ya COMPUTER SCIENCE ila sijajua kma nitaweza soma degree iyo kwasababu Nina "F" ya math o level na Bam advance ila now NASOMA , je naweza kupata iyo course ya computer science kwa level ya degree Maana nafanya Mtihani ya foundation y PCB sept Mwaka huu
So naweza kupata iyo Course ya CS level ya degree
Sasa kma Nina gpa ya 3.0 ya ofp ya masomo ya PCB ila Nina f ya bam je nitaweza soma computer scienceHESABU lazima uwe umepass
Chemistry lazima uwe umepass
English lazima uwe umepass
Ndio unaingia CS kinyume na hapo tafuta course inayoruhusu OFP au anza na diploma usianze Degree maana degree inakukataa Ila Diploma ukiomba na OFP wanakupokea
View attachment 2692725
Nikitaka kusoma chuo kikuu huria,ninaweza kupata mkopo kutoka serikalini?