Maji yapo ya kutoshaNasikia huko ni maji maji maji
Vipi ripoti za TRA kila mwezi kuwa ni mkoa masikini nchini mna mpango gani wa kujinasua?
Kwa nini mnafungua maduka saa nne pale bukoba mjini?
Maji yanayozungumzwa si hayoMaji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Labda hatujaelewanaMaji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Maisha ya mjini ni RahisiMaisha ya mjini ni ghali kiasi gani Kwa mgeni
Gharama la lodge Kali au ya wastani
Gharama za nyumba zikoje Kwa kupangisha nyumba ya kibavhelor ila yenye viwango
Viwanja ukitoka km 10-15 kutoka mjini bukoba gharama zikoje
Kwakuwa watu wote wa kagera ni matajiri.Je mnampango gani wakusalia na utajiri wenu.Je huwa maskini mnawapeleka wapi hapo kagera?Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Dah nilifika karagwe kuna watoto wazuri na nipazuri ,nafikiri kuliko kagera nzima ni kweli au ni macho yangu tu ?Wasiliana nae mkuu akwambie Yuko wapi Kwa sasa
Hayo matabaka na masikini yapo kila sehemuKwakuwa watu wote wa kagera ni matajiri.Je mnampango gani wakusalia na utajiri wenu.Je huwa maskini mnawapeleka wapi hapo kagera?
Hakika Karagwe na Kyerwa Kuna wasichana warembo mnoDah nilifika karagwe kuna watoto wazuri na nipazuri ,nafikiri kuliko kagera nzima ni kweli au ni macho yangu tu ?
mkuu haujajibu bado swali: kulinda kaburi for 14 days au wewe ni muhaya wa mjini?Kawaida matanga Kwa wakazi wa Kagera ni siku 4, hizi tunaamini zinatosha kuwa faraja Kwa familia