Kageera senene wanapaatikanaa?Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Umemaliza 100%✓Hakuna anayewalazimsha muwe wahaya ila dunia na nchi nzima inajua bukoba kuna kabila moja tu wahaya. Japo ni kweli msubi na muhangaza hawa wanawakosea sabab hata ongea yao hatuwezi kuelewana ila wanyambo wanakuwaga wabishi bure sababu tafauti yao ni matamshi tu muhaya atasema Kya ila mnyambo atasema Cha mfn muhaya enasema ekyawe. Mnyambo atasema echawe.
KASIBANTE FM radio station ni ya KAGASHEKI?!Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Inasemekana Kuna utaalamu wa kumtoa maiti kaburini. Kaburi likilindwa siku hizio inaaminika maiti itakuwa imeoza vya kutosha.mkuu haujajibu bado swali: kulinda kaburi for 14 days au wewe ni muhaya wa mjini?
Alishaiuza kwa jamaa mwingine,KASIBANTE FM radio station ni ya KAGASHEKI?!
Je ni kwanini mkoa wa Kagera uko nyuma sana kimaendeleo?nafasi ya pili toka mwisho nini tatizo?huku wasifika kuwa na wasomi wengi!,,na Kama ni kweli nini suluhisho?Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Tatizo la mkoa wa Kagera ni serikali kuutelekeza mkoa wetuJe ni kwanini mkoa wa Kagera uko nyuma sana kimaendeleo?nafasi ya pili toka mwisho nini tatizo?huku wasifika kuwa na wasomi wengi!,,na Kama ni kweli nini suluhisho?
Uenda ikawa ivyo,lkn mi sometime ata wenyeji hawayataki maendeleo,mfano kuna kipindi soko la kisasa lilitaka kujengwa na serikali,lkn baadhi ya watu (wafanyabiashara na wanasiasa)wakatia fitina na majungu hadi soko likahamishiwa mkoa mwingine,you can imagine,nk nk.labda awamu hii naona Kuna miradi inaendelea Kama barabara bukoba mjini,stand hapo town,na soko nasikia liko mbioni,ngoja tuone.lknTatizo la mkoa wa Kagera ni serikali kuutelekeza mkoa wetu
Hawaweki miundo mbinu kama barabara, bus stend nzuri, madaraja, meli n.k
Huduma duni za jamii kama shule, hospital n.k
Sisi Kagera sijui tuliwakosea Nini serikali yetu jamani
Unamaanisha 💦💦?Labda hatujaelewana
Hakuna mwanamke anakosa maji, akikutana na mtaalam laZima maji atamwaga
Makabila makubwa Kagera ni
Wahaya
Wanyambo
Wasubi
Washubi
Wanyaiyangiro
Waganda kyaka
Wahangaza n.
PowaaAlishaiuza kwa jamaa mwingine,
Kwaio KASIBANTE FM is no more?!Kagasheki baada ya kuukosA ubunge Kwa Rwakatare
Alizima na redio yake
Ipo hewani tu ila alinunua mtu mwingine, Kagasheki aliuza....sijuhi wanasiasa hela huwa wanapeleka wapi, speed yao ya kuiba huwa ni Sawa na speed ya hela kuwaishia!Kwaio KASIBANTE FM is no more?!