BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
UWONGO airport ya bukoba Iko poa kulinganisha na mikoa mingineMaji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Kulinda kaburi Kwa siku 14 sio kwelimkuu haujajibu bado swali: kulinda kaburi for 14 days au wewe ni muhaya wa mjini?
mkuu ninajua kuna dada poa kutoka mikoa mingine lakini hawana umaarufu wa kupewa jina kabisa, kwa mfano hamna sehemu Dar inaitwa kwa Wanyiramba ila kwa wahaya lipo tena sio lipo yapo(what went wrong in teacher mpamire's voice)
Nilipata hadithi kuwa wanyambo hawapendi kutambuliwa kama wahaya na pia kuna sifa za wahaya kuwa ni wasomi ila sio kihivyo wengi ni wanyambo ila wanatambulika kama wahaya kitu ambacho sio ni kweli ?Hakika Karagwe na Kyerwa Kuna wasichana warembo mno
Hii ni kutokana na kabila la wanyambo ambao wako huko kuwa mchanganyiko wa Wanyarwanda na Waganda
Me pia nimeona mnyambo
πππKyomaaaa, nipe kaisiki anipe mana ya katerelo...
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Matanga Huwa ni siku 7 Hadi 14Kawaida matanga Kwa wakazi wa Kagera ni siku 4, hizi tunaamini zinatosha kuwa faraja Kwa familia
Hizo ni story kuwa wanawake kutoka mkoa wa Kagera ni Makahaba sio kweli
Wengi ni kutoka Singida, Dodoma na Mtwara
Hakika Wanyambo ni Kabila kubwaNilipata hadithi kuwa wanyambo hawapendi kutambuliwa kama wahaya na pia kuna sifa za wahaya kuwa ni wasomi ila sio kihivyo wengi ni wanyambo ila wanatambulika kama wahaya kitu ambacho sio ni kweli ?
Je, kuna jamii ya watu wa bukoba huwa wanakula nyama za watu??Matanga Huwa ni siku 7
Nimekaona pale gulio la katerero.Kuna kademu kangu kwao ni karagwe ni kanyambo ,mwaka jana kalimaliza chuo katakuwepo karagwe au kameshaenda dar?
Sawa. Tulifanyie kazi.Nadhani hapa tuwapate wataalam wa kilimo cha mazao wafafanue
Ila me hapa nitakudanganya
Nilitembea sehemu kubwa kagera haswa karagwe muleba na bukoba ila karagwe ndio niliona pametulia snaHakika Wanyambo ni Kabila kubwa
Nadhani Kwa mkoa wetu ndo wanastahili sifa wanazopata wahaya
Wametia wasomi wengi maprofesa hadi cheo cha sir, ambapo ni Sir George Kahama ni mnyambo
Hizo jamii zipo Kila sehemu hapa Tanzania I meant (wachawi) sio kwa bukoba tuJe, kuna jamii ya watu wa bukoba huwa wanakula nyama za watu??
Sio nimekaona yule mtoto alikua ni fimbo haswa kwanza kapanda hewani futi sita guu la bia kiuno nyingi mtoto mweusi kama nyoka na pua ya kuchongoka na nywele za kumwagika mgongoni ππππNimekaona pale gulio la katerero.