Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

sorry mkuu kama ntachepusha madhumuni kidogo ya mleta uzi, hivi kenyatta naye tulishawahi kumvimbishia uso??

mzee kenyata kwa kufuata historia ya wakoloni alitaka kumega eneo lenye mlima kilimanjaro kuwa sehemu ya kenya mwalimu hakuwa na hiyana naye akaitaka pwani ya kenya ikiwamo bandari ya mombasa virudi tanzania kama historia inavyotaka ! Kenyata kafyata mkia
 
Ww ni Zaid ya Mr.flasher, nikuulize swali hili, je kama leo M23 wakiondoshwa na pakawa salama wanajeshi wapiganaji,walindaamani, wakiondoka kongo vita havitokua na uwezekano wa kurudi tena?
 

asante kwa kutukumbusha ni ulimi tu uliteleza!
 
Flash Hider niliuliza swali hapa naona hukulijibu labda yawezekana michango mingi ulipitiwa naomba kuuliza tena...
BBC leo wamesema M23 imekwisha kbsa na kama tunavyosikia Rwanda ina battalion mbili mpakani je tetesi zilizopo huko kuhusu Rwanda kuingia vitani ni zipi ukizingatia wamelalamika kushambuliwa na Congo.. Kuna chochote umesikia kuhusu majeshi ya Rwanda kupambana na FIB..???
 

Mkuu tusaidie hili kwani ni muda sasa tangu rwanda isogeze jeshi lake mpakani, inawezekana FIB inapigana na rwanda kwa jina M 23?
 
Wakuu hii ni copy n paste hizi habari nimezitoa kutoka Aljazeera habari zanasema M23 wameachia sehemu zote isipokuwa sehemu ndogo iliyokuwepo karibu na Ruanda

"Practically all M23 positions were abandoned yesterday, except for a small triangle at the Rwandan border," Martin Kobler told the UN Security Council on Monday, according to diplomats.


He said that the M23 had abandoned a key position on Mount Hehu near the Rwandan border, reportedly adding: "It is practically the military end of the M23."

"
 
mi ntashika bunduki kaka kwa ajili ya mdudu kagame.

angekuwa mdudu wa kawaida ingekuwa afadhali mkuu hana tofauti na yule mdudu mwenye madhara sana kwa afya ya wanadamu! Naogopa ban hapa
 

kama kweli m 23 siyo millitary wing ya jeshi la rwanda wawasaidie fib kuwakamata waliosalia ili wafunguliwe mashtaka ya uhalifu dhidi ya ubinadamu
 
asante kwa kutukumbusha ni ulimi tu uliteleza!
Sawa maana kuna watu wanataka ku-twist mambo as if ni vita ya Bongo na Rwanda au PK na JK wa sasa na kuchafua heshima ya UN na Bongo. kwa hivyo ukiona mtu ana tutoa kwenye mstari basi turudishane kwenye mstari.
 

Naunga mkono kwa 100%, huyu FLASH HIDER ni mfano wa kuigwa kabisa, yaani ametupa faida wengi sana. Yaani anajitahidi kujibu kila swali aliloulizwa tena kwa ufasaha.

Laiti kama viongozi wetu wangekuwa wanafanya hivi tungekuwa mbali.
Sasa kama juzi mbunge Mary Mwanjelwa ameanzisha thread ya kujisafisha hapa lakini hakuna hata swali moja alilojibu.

Ningependa siku moja hata JK ajibu maswali kwa wananchi wake kama alivyofanya FLASH HIDER .
 
Last edited by a moderator:
Yaani mkuu hata migogoro, migomo na maandamano yangepungua. I like the guy. Is so responsive person, tena mzalendo aliyeiva. Kuna raha sana ikiwa watu wanakuwa na uzalendo na nchi yao, kwa waliowahi kukaa mamtoni wanalielewa hili.
 
nilifikiri ni mamluki wa nduli kagame, pole sana kwa lugha kali niliyoitumia!
Jamaa yangu hata mm sikukuelewa wakati ulipomshambulia mtoa mada
wewe ungemwalika jamaa yako
Koba na kna murutongore wasikie uhondo kuwa tumebakiza Mji mmoja tu vita na kagame (M23) iishe
 
Last edited by a moderator:


Unamwambia nani wakati mie niko Rwanda, vijiwe vyote vimeyeyuka. Washkaji zangu kibao wamesepa. Kumbe ww jamaa haupo Rwanda unajifanya kuongopea watu sio! Kweli Propaganda kitu hatari, na nikipata chance, nitakuwekea clip moja hapa uwasikilze mayanki wanavyochonga. Au ukweli unaujua unafanya kusudi,
 
Mkuu hongera sana kweli Tanzania tuna hazina kubwa ya Wazalendo kama wewe, na umenifurahisha ulipoamua kusema ukweli kuhusu hawa watu waliotawaliwa na Wafaransa wana matatizo sana na hasa Watutsi
Na mm nimesoma mazengo na nipo bado hapa kikuyu kweli JF kiboko
 


Rwanda has nothing ni kelele tu. Kabila please anzisha vita na kuua moja kwa moja Rwanda, kamata viongozi wote pamoja na Kagame and butcher them.
 
Umeongea Point nzuri sana, Kagame na Museveni wakifa itapendeza sana. Na zoezi hili litapendeza kama SADC wakiingilia kati.


I'm telling you, hapa solution ni kuua tu hawa perpetrators na si vinginevyo kwani hawa ndio wanaovunja amani DRC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…