Godemae
Senior Member
- Sep 23, 2012
- 146
- 24
ni aibu sana na fedheha kwa mtu mwenye akili timamu kujisifia kupata maendeleo kwa njia zisizo endelevu za uporaji na mauaji
Marekani ni baba wa dunia kafanya hivo hivo anakula kuku kwa mrija mbona humsemi.
JK ALIMWAMBIA JAMAA AKAE NA WAASI AKAONA HUYU MWEHU AKAMPOTEZEA SASA JK MWENYEWE AKAJISTUKIA OOH MATA TUKAE TUONGEE TUYAMALIZE JK KAMA MWANAUME ANGESIMAMIA KAULI MPKA MWISHO AT THE END KAGAME AKAONEKANA DUME JK AKAMFUATA KUMWOMBA PEACE KWA KAUL ZA KUKURUPUKA NA WIVU USIO NA MAANA KWA KAGAME.tz kila siku misaada tu lakin hatutoki kagame maisha ubishi anakomaa katoka
