Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Kwahiyo MUKAMASIMBA mambo yakiwa si shwari hapo BUNAGANA wewe unafurahia? Lengo lako nini hasa? Unataka watu wafe? Kwani hutaki kuamini kuwa kuna watu wanaoitwa Wahutu tena nao wana haki ya kuishi? Umeelimishwa na Wasomi wazuri tu hapa JF nikadhani utaalewa. Usiwe na damu ya kushambikia watu kuuawa. Tuzungumzie masuala ya maana ya jinsi ya kuijenga DRC nayo ifaidi amani kama nchi nyingine. Tuzungumzie namna ya kuimarisha ulinzi katika maeneo ambayo yamekwishakombolewa na FARDC kutoka kwa M23.

Sasa wewe watajenga congo kivipi wakati tabaka fulani la wakongo wanabaguliwa?kwanza watulie waelewane lakini kama ni vita M23 wataipigana mpaka wasikilizwe,kuhusu kuua raia M23 haiuwi raia hatakidogo wao wanapambana na jeshi,narudia kukuambia FIB wamebamizwa huko bunagana.
 
Sasa wewe watajenga congo kivipi wakati tabaka fulani la wakongo wanabaguliwa?kwanza watulie waelewane lakini kama ni vita M23 wataipigana mpaka wasikilizwe,kuhusu kuua raia M23 haiuwi raia hatakidogo wao wanapambana na jeshi,narudia kukuambia FIB wamebamizwa huko bunagana.

Kaka tuambie source ya taarifa yako kuwa FIB wamebamizwa ? maana taarifa zilizopo kwenye mitandao hata huo wa BBC inasema kuwa waasi wamekimbia na mji wa Bunagana upo chini ya jeshi la DRC
 
Bwana joka kuu unafikiri utafanyaje wakati congo haitaki kuwapa amnesty tena congo adhabu ya muasi ni kifo hapo nikuana tu, bora wakubali waelewane yaishe.
MUKAMASIMBA,

..nadhani DRC imekataa kutoa kinga kwa wale wote ambao watapatikana na makosa yatakayopelekea washtakiwe ktk ICC.

..i think that is completely fair. kinyume chake itakuwa wana-encourage impunity, na haya maasi yataendelea bila kikomo.

..kitu kingine ambacho naiunga mkono DRC ni kukataa kuwa-recruit askari wa m23. jeshi siyo chombo kinachoundwa kwa kuunga-unga makundi yaliyokuwa maadui huko mwanzo.

..uasi na utovu wa nidhamu umekithiri ktk jeshi la DRC kutokana na maamuzi yaliyochukuliwa huko mwanzo kuwa-rectruit wanajeshi waliokuwa ktk makundi ya waasi.
 
Last edited by a moderator:
The European Union has called on the government of the Democratic Republic of Congo and the rebel M23 movement to negotiate the dismantling of the armed group after its military defeat.

"We call for a rapid political conclusion to the Kampala talks between the M23 and the government of the DRC with a view to... the definitive dismantling of this armed group," Sebastien Brabant, a spokesman for the EU's diplomatic service, said late Thursday.

"Actions against other armed groups should be carried out rapidly," he added.

The Dr Congo army, backed by the UN mission in the vast country (MONUSCO), has seized control of all of the M23 strongholds in the strife-torn North Kivu province in a week-long offensive. Late Thursday, government troops were attacking diehard rebel units holed up in the hills.
 
Goma nasikia umeme ni matatizo ila nakuona uko kwenye net 24hrs. halafu unatuambia kuwa wewe ni mfanyabiashara. mfanyabiashara gani anakaa kwenye internet masaa yote hayo? Usitudanganye bwana.

Wewe Bitete bila shaka una chuki binasfi na FLASH HIDER, kwani 24 hours akiwa online kuna shida gani au kuna mzuia nini kufanya shughuli zake binafsi ?. Tatizo umeshazoea kutumia limcomputer lenu hilo la ofisini hivyo unafikiri kila mtu anafanya kama wewe, wenzio simu zetu zina uwezo mkubwa wa kutumia kwenye internet hivyo popote nilipo tambua kwamba napata information kupitia mobile net yangu na sio kama wewe unayetegemea PC la kwenye kiofisini chenu
 
Wewe Bitete bila shaka una chuki binasfi na FLASH HIDER, kwani 24 hours akiwa online kuna shida gani au kuna mzuia nini kufanya shughuli zake binafsi ?. Tatizo umeshazoea kutumia limcomputer lenu hilo la ofisini hivyo unafikiri kila mtu anafanya kama wewe, wenzio simu zetu zina uwezo mkubwa wa kutumia kwenye internet hivyo popote nilipo tambua kwamba napata information kupitia mobile net yangu na sio kama wewe unayetegemea PC la kwenye kiofisini chenu

Mkuu watu wanaopewa vijisenti na PK kama huyo Bitete utawajua tu.
They will sell their motherland for a few coins.
Big up FLASH RIDER kwa uzalendo.
 
kwa nini kutoka Lubumbashi kwenda Kinshasa mnatumia ndege badala ya barabara? hamuoni kama hizo ni anasa?
[h=2]Distance from Kinshasa to Lubumbashi[/h][h=2]Distance is 1567 kilometers or 974 miles or 846 nautical miles[/h]
 
Ni nini nafasi ya wanamziki wakongo katika kuhamasisha amani nchini mwao? Maana wakongo mziki ni kitu cha mhimu sana kwao
 
[h=2]Distance from Kinshasa to Lubumbashi[/h][h=2]Distance is 1567 kilometers or 974 miles or 846 nautical miles[/h]
kamanda japo umejitwika jukumu lisilo lako(kujibu maswali) kuna taarifa zisizotiliwa shaka kuwa unaweza kutoka Dar hadi Egypt kwa lami. Sasa niambie hapo kuna n.m. ngapi?
 
Katika vitu alivyotuachia nyerere na kufanya kazi yake kwa ufanisi kila kukicha ni jwtz. Tunajivunia kwa hilo. Baada ya congo , natamani kagame achokoze kidogo 2, ili amepigwe kwa upande wa east na west mpaka achanyikiwe. Nahofia uchumi wetu 2 kuyumba kama ya 1978!
 
Katika vitu alivyotuachia nyerere na kufanya kazi yake kwa ufanisi kila kukicha ni jwtz. Tunajivunia kwa hilo. Baada ya congo , natamani kagame achokoze kidogo 2, ili amepigwe kwa upande wa east na west mpaka achanyikiwe. Nahofia uchumi wetu 2 kuyumba kama ya 1978!
Kuna watu humu wanafikili vita nikama kula ugali kwa samaki,vita si mchezo bwana,Tanzania haiwezi kusimama peke yake kivita bila msaada wa wengine,vita ya nduli ambayo imekua wimbo(zilipendwa) mataifa mengi yaliwasaidia wakati nduli aliipigana mwenywe,hii ya congo mnapambana na M23 mkishirikiana na south afrika,FARDC,Malawi,FDLR,France wameleta washauli wakijeshi,UN,na Mai mai sasa mnatamba eti mnaijua vita, ya wapi?Bora usiote vita , hawa wazungu wanatukoroga ili tubomoane halafu wao wapate advantage ya kuendelea kutunyonya,hawapendi kuona uchumi wa afrika unakua imara sasa watu ambao hawajui lengo la hao watu ndio hudanganywa na kuanza kufikiria vita na wenzao, bila kujua kwamba anapigania interest za mwingine(mzungu),waafrika inabidi tulione hilo.
 
kwa nini kutoka Lubumbashi kwenda Kinshasa mnatumia ndege badala ya barabara? hamuoni kama hizo ni anasa?

Ndugu kungekuwa na Barbara huko hiyo Serekali ya Kinshasa si ingekuwa inapinduliwa Kila Mwezi, Maana kwa Idadi ya Waasi walioko huko, Yani Vikundi karibia 40 vya waasi basi hali ingekuwa mbaya.

Maana kwa sasa kwa kuwa Logsitic ni Ngumu ndio kinachosaidia kutopinduliwa serekali kila wakati maana ni lazima ujipange ukitaka kwenda kuiteka Kinshasa kutokea Kivu/Goma ambapp ndio kuna waasi wote Kongo.
 
Mkuu hata ukitafuta mchawi ndani, ukweli utabaki pale pale kuwa masuala mengi ya ndani yana mizizi toka mataifa ya nje. Na huu utamaduni haujaanza leo, tangu mlivyokubaliana na sera za IMF na World Bank za kufufua uchumi miaka ya 80 mpaka leo, maamuzi ya nchi yana mikono ya wageni. Angalia Bajeti ya nchi inawategemea kiasi gani wageni hawa, je unadhani wanawapa development bugdet kwa maslahi gani? Kwenye huu mgogoro wa DRC, majeshi ya UN yamekaa kule kwa zaidi ya miaka 10, umeshawahi kusikia wameingia front kupambana na waasi? Hapana! Je ni kwanini? na kwanini JWTZ waende tu ndani ya mwezi na kuzama front kupambana na waasi head to head? Majeshi ya SA pia yalikuwepo lakini JWTZ wali-take leading role! Tafuta taarifa za ndani, kuna kitu utabadili kwenye unachoamini. Kuna vitu vingi vimejificha hapa na havipo na havitakuja kuwa straight hata siku moja.
Sasa kama unakiri kuwa tulikubaliana na masharti sisi wenyewe kinachokufanya ulalame kuhusu WB na IMF ni nini? Matatizo yetu tumejiletea wenyewe kabla ya IMF na WB kuingia, walipokuja na baada ya kuingia.
 
M23_retreat_Oct_2013_V2.png
 
..... kazi ya JWTZ ni kumkimbiza adui na kumtoa ndani ya mipaka yake pia....UGANDA 1978, COMORO 2000's
 
Kuna watu humu wanafikili vita nikama kula ugali kwa samaki,vita si mchezo bwana,Tanzania haiwezi kusimama peke yake kivita bila msaada wa wengine,vita ya nduli ambayo imekua wimbo(zilipendwa) mataifa mengi yaliwasaidia wakati nduli aliipigana mwenywe,hii ya congo mnapambana na M23 mkishirikiana na south afrika,FARDC,Malawi,FDLR,France wameleta washauli wakijeshi,UN,na Mai mai sasa mnatamba eti mnaijua vita, ya wapi?Bora usiote vita , hawa wazungu wanatukoroga ili tubomoane halafu wao wapate advantage ya kuendelea kutunyonya,hawapendi kuona uchumi wa afrika unakua imara sasa watu ambao hawajui lengo la hao watu ndio hudanganywa na kuanza kufikiria vita na wenzao, bila kujua kwamba anapigania interest za mwingine(mzungu),waafrika inabidi tulione hilo.

Hivi akili zako ziko kichwani au kwenye ma------??et Idd Amin alipigana peke ake!! Rudi darasani ukasome historia ndo urudi tena hapa kuchamba ok....Ki Rwanda chenu kikijaribu tu kitapata kipigo cha mbwa mwizi na huo ndo utakua mwisho wa utawala wa watutsi huko rwanda...maana kwa sasa tu mkia uko matakoni hakuna a wala che...kimyaaa kama wamemwagiwa maji...chezea JWTZ ww.
 
Back
Top Bottom