Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.

Kama hakuna mtusi au mhutu, hao watusi unaodai wanaseswa huku GOMA ni wawapi?
 
Mkuu TIGE,
Kama utafuatilia vizuri utagundua kuwa M23 walikuwa wababe sana kabla ya hii initiaive ya kuwa na FIB. Mapigano yamefanywa mara mbili tu, KIBATI mwezi AGOSTI na haya ya pili mwezi Oktoba. Sasa loss waliyopata (watu, silaha na vifaa) hasa Agosti kutoka kwa FIB ilikuwa kubwa sana na waliweza kuelewa uwezo halisi wa FIB. Kumbuka wakati huo, FIB ilikuwa haijakamilika maana nasikia Malawi imewasili hivi karibuni. Ilipokuja juzi hapa, moto ulikuwa mkali zaidi kwani FIB ikiongozwa na JWTZ imeweza kutoa msaada mkubwa sana kwa Jeshi la DRC kuwamaliza M23. Na hawajaweka silaha chini kama ulivyosema. Baada ya kupata kipigo kuna wengine wamekufa, wengine wamesalim amri, wengine wamejichanganya na raia (msako unaendelea), wengine wamevuka mpaka. Wameacha silaha zote walizokuwa wakitumia na baadhi yake walizichoma moto.
Habari ambazo zipo ni kuwa Sulatni Makenga na askari wake 100 amakamtwa huko ISIRO Uganda baada ya kuingia akikimbia. Pia inasemekana Kaina (Moja wa makamanda wake) aliumizwa vibaya na huenda amekatwa mguu nae yupo Uganda. Nitawasimulia vyema nikipata zaidi.


Wakuu, nimeshindwa kuufuatili mjadala tangu mwanzo kwahiyo mtanisamehe kama nitauliza swali ambalo lilishajibiwa.
Kwa taarifa nilizozisikia kwenye vyombo vya habari, naona kama hawa M23 wamefanya mabadiliko ya ghafla sana. Toka ubabe wote ule na kuamua kuwa cooperative kiasi hiki kwa kuweka silaha chini, ni mabadiliko ya kweli au kuna kitu cha siri wamekipanga?
 
Ila bwana MUKAMASIMBA na GODEMAE mwisho. Jamaa wanabisha hata yale ya kuelewa kwa uelewa wa kawaida kabisa. Nimewapigia saluti. Kama wanalipwa kwa kazi hii, basi wanastahili mshahara mkubwa.
 
Pictures speaks more words. Hapa umemaliza kaka.

View attachment 120171

Watu kupoteza lugha ni rahisi mno, ni kama unavyoweza uliza waafrika walipokwenda amerika walikuwa wanaongea lugha gani! Ofcoz kwa intuitive naweza kusema manority waliopo Rwanda ndo wali adapti lugha ya majority, ama kinyume chake ni sahihi pia.
Lakini hii ni rahisi kuitambua, kwa intuitive, unaangalia hao wahutu na watusi wanafanana ni wepi ambao hasa wanafanana na majirani zao yani ndani ya uganda, ndani ya congo na ndani ya Tz, kisha unajiuliza je hao wanaofanana na ama wahutu ama watusi walio Tz, congo na uganda na je wanaongea lugha inayofanana na kinywaranda? Na kama ndio basi una conclude tu nani ali adapti mwezake.

Na kati ya picha hizo unaweza kumkosa mhutu na mtusi?
 
Kama ni kweli MUKAMASIMBA anawakilisha msimamo wa WATUSI wote kuhusu WAHUTU, basi ukweli bila kuficha IPO SIKU NAO WAHUTU WATAAMKA. Siyo kwamba naiombea mabaya Rwanda, lakini nahisi kuna sehemu fulani kuna tatizo. Tuombe mungu atupe uhai.
 
Mkuu TIGE,
Kama utafuatilia vizuri utagundua kuwa M23 walikuwa wababe sana kabla ya hii initiaive ya kuwa na FIB. Mapigano yamefanywa mara mbili tu, KIBATI mwezi AGOSTI na haya ya pili mwezi Oktoba. Sasa loss waliyopata (watu, silaha na vifaa) hasa Agosti kutoka kwa FIB ilikuwa kubwa sana na waliweza kuelewa uwezo halisi wa FIB. Kumbuka wakati huo, FIB ilikuwa haijakamilika maana nasikia Malawi imewasili hivi karibuni. Ilipokuja juzi hapa, moto ulikuwa mkali zaidi kwani FIB ikiongozwa na JWTZ imeweza kutoa msaada mkubwa sana kwa Jeshi la DRC kuwamaliza M23. Na hawajaweka silaha chini kama ulivyosema. Baada ya kupata kipigo kuna wengine wamekufa, wengine wamesalim amri, wengine wamejichanganya na raia (msako unaendelea), wengine wamevuka mpaka. Wameacha silaha zote walizokuwa wakitumia na baadhi yake walizichoma moto.
Habari ambazo zipo ni kuwa Sulatni Makenga na askari wake 100 amakamtwa huko ISIRO Uganda baada ya kuingia akikimbia. Pia inasemekana Kaina (Moja wa makamanda wake) aliumizwa vibaya na huenda amekatwa mguu nae yupo Uganda. Nitawasimulia vyema nikipata zaidi.

Kama utakumbuka enzi zile tulipokuwa watoto, tulikuwa tukipigana ngumi za uongo uongo tukiwaiga kina Rambo na baada ya hapo tuliendelea kuwa marafiki. Lakini kitu walichofanya M23 ni kama ngumi za uongo(wakati si kweli). Na kama nakumbuka vizuri, nilisikia baadhi ya viongozi wa M23 wakizungumzia suluhu ya mezani right after the defeat. How comes mtu apigwe na ghafla afanye such a U-turn?
 
Kama hakuna mtusi au mhutu, hao watusi unaodai wanaseswa huku GOMA ni wawapi?

Tatizo lako uko GOMA hao FDLR rafiki zako wameisha kuharibu akili kidogo,hao waliokua wafugaji wakiitwa wanaoitwa watusi walikua huko hata kabla ya mipaka kukatwa,tena hao wana connection ya karibu na waliokua wafugaji wa rwanda.
 
Kama ni kweli MUKAMASIMBA anawakilisha msimamo wa WATUSI wote kuhusu WAHUTU, basi ukweli bila kuficha IPO SIKU NAO WAHUTU WATAAMKA. Siyo kwamba naiombea mabaya Rwanda, lakini nahisi kuna sehemu fulani kuna tatizo. Tuombe mungu atupe uhai.

na historia inaonyesha wahutu wapo imara kuliko watusi . wahutu ndiyo waliowahi kuitawala rwanda na burundi kwa muda mrefu baada ya uhuru.
 
Kama utakumbuka enzi zile tulipokuwa watoto, tulikuwa tukipigana ngumi za uongo uongo tukiwaiga kina Rambo na baada ya hapo tuliendelea kuwa marafiki. Lakini kitu walichofanya M23 ni kama ngumi za uongo(wakati si kweli). Na kama nakumbuka vizuri, nilisikia baadhi ya viongozi wa M23 wakizungumzia suluhu ya mezani right after the defeat. How comes mtu apigwe na ghafla afanye such a U-turn?

M23 hakumalizwa na vita hata kidogo,jamaa walishinikizwa na mataifa makubwa ili wasimamishe mapigano ili itumiwe njia ya mazungumuzo ya kampla kuleta amani congo na FDLR na ADF kurudishwa katika nchi zao,ndio maana unashangaa how comes in afew days jamaa wana withdrawal haraka hivyo na kuacha mapambano,na utashangaa kwanini makenga na majeshi yake wako kampala,huoni kunampango hapo?wangeweza kupotelea maporini kama kony instead kujisalimisha.
 
Kama ni kweli MUKAMASIMBA anawakilisha msimamo wa WATUSI wote kuhusu WAHUTU, basi ukweli bila kuficha IPO SIKU NAO WAHUTU WATAAMKA. Siyo kwamba naiombea mabaya Rwanda, lakini nahisi kuna sehemu fulani kuna tatizo. Tuombe mungu atupe uhai.

Wataamuka kwani wamelala? hawajamaa ndio wakomstari wa mbele kuijenga rwanda kwani asilimia 90% ni wakulima na ndio waliomchagua kagame kwa kura nyingi uchaguzi uliopita.
 
Kama ni kweli MUKAMASIMBA anawakilisha msimamo wa WATUSI wote kuhusu WAHUTU, basi ukweli bila kuficha IPO SIKU NAO WAHUTU WATAAMKA. Siyo kwamba naiombea mabaya Rwanda, lakini nahisi kuna sehemu fulani kuna tatizo. Tuombe mungu atupe uhai.

Wataamuka kwani wamelala? hawajamaa ndio wakomstari wa mbele kuijenga rwanda kwani asilimia 90% ni wakulima na ndio waliomchagua kagame kwa kura nyingi uchaguzi uliopita.
 
M23 hakumalizwa na vita hata kidogo,jamaa walishinikizwa na mataifa makubwa ili wasimamishe mapigano ili itumiwe njia ya mazungumuzo ya kampla kuleta amani congo na FDLR na ADF kurudishwa katika nchi zao,ndio maana unashangaa how comes in afew days jamaa wana withdrawal haraka hivyo na kuacha mapambano,na utashangaa kwanini makenga na majeshi yake wako kampala,huoni kunampango hapo?wangeweza kupotelea maporini kama kony instead kujisalimisha.

Asente kwa kutoa jibu mbadala. Wenyewe wanasema "first thing first" hebu niambie toka moyoni, unadhani M23 wamefanya hivyo kwa interest ya nani, je, ni kwaajili yao wenyewe, kwaajili ya DRC, UN au yote matatu kwa pamoja?
 
vita ya kongo au sinto fahamu ni creation ya ug na rw ili kupata sababu za ku-distabilize drc, maana sjasikia hao Fdlr wakifanya fujo kwa drc au kuua hao banyamulenge hata hao mai mai hata kama wapo sio tishio, hao ADF- al shabab wa UG ni creation ya ug, sijaona domination ya uislam ug wa kufikia kufanya hayo, kwanza madai yao ni nini? kony iliuwa creation ya sudan. m23 na wengineo ni creation ya ug na rw. na kuchoma silaha na mengineyo ilikuwa juhudi ya kupoteza ushaidi wa source ya kusaidiwa na hizo nchi.
 
Ila bwana MUKAMASIMBA na GODEMAE mwisho. Jamaa wanabisha hata yale ya kuelewa kwa uelewa wa kawaida kabisa. Nimewapigia saluti. Kama wanalipwa kwa kazi hii, basi wanastahili mshahara mkubwa.
Mkuu achana nao hao ila tuhabarishe tu, PK anasemaje juu ya kuifanyizia Tanzania.
 
Asente kwa kutoa jibu mbadala. Wenyewe wanasema "first thing first" hebu niambie toka moyoni, unadhani M23 wamefanya hivyo kwa interest ya nani, je, ni kwaajili yao wenyewe, kwaajili ya DRC, UN au yote matatu kwa pamoja?

Kwa yote matatu,M23 wameishahaidiwa kusikilizwa,DRC haiwezi pigana vita ya muda mrefu wakati wanahitaji kujitoa katika matatizo ya umasikini,UN inaogopa vita inaweza kutawanyika nakua regional war.kusimamisha vita ime gusa interest za pande zote,na bila kusahau mataifa makubwa yanayotaka ku exploit eneo lakivu wanahitaji usalama wa eneo hilo haraka iwezekanavyo.
 
Kwa yote matatu,M23 wameishahaidiwa kusikilizwa,DRC haiwezi pigana vita ya muda mrefu wakati wanahitaji kujitoa katika matatizo ya umasikini,UN inaogopa vita inaweza kutawanyika nakua regional war.kusimamisha vita ime gusa interest za pande zote,na bila kusahau mataifa makubwa yanayotaka ku exploit eneo lakivu wanahitaji usalama wa eneo hilo haraka iwezekanavyo.

..lakini mbona Rwanda inaonekana kutokufurahishwa na ushindi wa majeshi ya DRC na FIB?
 
M23 hakumalizwa na vita hata kidogo,jamaa walishinikizwa na mataifa makubwa ili wasimamishe mapigano ili itumiwe njia ya mazungumuzo ya kampla kuleta amani congo na FDLR na ADF kurudishwa katika nchi zao,ndio maana unashangaa how comes in afew days jamaa wana withdrawal haraka hivyo na kuacha mapambano,na utashangaa kwanini makenga na majeshi yake wako kampala,huoni kunampango hapo?wangeweza kupotelea maporini kama kony instead kujisalimisha.

Kwahiyo, FDLR na ADF wakirudishwa makwao wata negotiate na serekali zao?
 
Back
Top Bottom