Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Kwahiyo, FDLR na ADF wakirudishwa makwao wata negotiate na serekali zao?
Wewe usilinganishe M23 na hao wengine,M23 walikua na madai yenye uzito sio hao wauaji kwanza hao kwa kiasi kikubwa ndio walisababisha M23 kushika silaha.
 
Vipi kunatangazo rwanda imetoa la kutofurahishwa na ushindi wa FIB?

..waandishi wa magazeti na bloggers wa Rwanda wanaonyesha hawajafurahishwa na ushindi wa majeshi ya DRC na FIB. kwanini unafikiri hali iko namna hiyo?

..pia una maoni gani kuhusu pendekezo la kuanzishwa kwa some sort of "high-breed court" ambayo itatumika kuwashitaki watu kama Gen.Sultani Makenga na wenzake ambao wanatuhumiwa kwa war crimes??
 
vita ya kongo au sinto fahamu ni creation ya ug na rw ili kupata sababu za ku-distabilize drc, maana sjasikia hao Fdlr wakifanya fujo kwa drc au kuua hao banyamulenge hata hao mai mai hata kama wapo sio tishio, hao ADF- al shabab wa UG ni creation ya ug, sijaona domination ya uislam ug wa kufikia kufanya hayo, kwanza madai yao ni nini? kony iliuwa creation ya sudan. m23 na wengineo ni creation ya ug na rw. na kuchoma silaha na mengineyo ilikuwa juhudi ya kupoteza ushaidi wa source ya kusaidiwa na hizo nchi.

Yani wewe sijui unatoka sayari gani?MamboFDLR na ADF wanayofanya dhidi ya wakongomani hujawahi yasikia?Hawa jamaa wanefanya matendo ya kinyama dhidi ya wakongomani tena sana.
 
..waandishi wa magazeti na bloggers wa Rwanda wanaonyesha hawajafurahishwa na ushindi wa majeshi ya DRC na FIB. kwanini unafikiri hali iko namna hiyo?

..pia una maoni gani kuhusu pendekezo la kuanzishwa kwa some sort of "high-breed court" ambayo itatumika kuwashitaki watu kama Gen.Sultani Makenga na wenzake ambao wanatuhumiwa kwa war crimes??

Hata mimi sifurahii ushindi wao kama mtu binafsi kwani najua why hawajamaa waliamua kushika silaha kwani ni unyanyasaji wanaopata kutoka kwa FDLR na baadhi ya viongozi wa kijeshi wa DRC,lakini atleast sauti yao imesikika,kuhusu high-breed court lakini ya afrika naikubali sana watu wenyemakosa lazima waadhibiwe,lakini hiyo court isiwe politicised au influenced na politicians iwe independent.
 
Hata mimi sifurahii ushindi wao kama mtu binafsi kwani najua why hawajamaa waliamua kushika silaha kwani ni unyanyasaji wanaopata kutoka kwa FDLR na baadhi ya viongozi wa kijeshi wa DRC,lakini atleast sauti yao imesikika,kuhusu high-breed court lakini ya afrika naikubali sana watu wenyemakosa lazima waadhibiwe,lakini hiyo court isiwe politicised au influenced na politicians iwe independent.

..mbona naona court hiyo ikiwa na wazungu ndiyo nzuri?

..viongozi wa Kiafrika hawawezi kuisimamia mahakama hiyo.

..kwa mtizamo wako unadhani Charles Taylor alionewa??
 
..mbona naona court hiyo ikiwa na wazungu ndiyo nzuri?

..viongozi wa Kiafrika hawawezi kuisimamia mahakama hiyo.

..kwa mtizamo wako unadhani Charles Taylor alionewa??

Kwangu mimi wazungu siwakubali kwani mara nyingi wanakua na hidden agenda yakutaka kunyamazisha watu wanaokua kizingiti cha interest zao,kuhusu waafrika wanaweza kuisimamia sina shaka,kuhusu charles taylor kwakweli sijafuatilia case yake siwezi danganya.
 
Wewe usilinganishe M23 na hao wengine,M23 walikua na madai yenye uzito sio hao wauaji kwanza hao kwa kiasi kikubwa ndio walisababisha M23 kushika silaha.

Sasa M23 ni serikali ya wapi, waasi au ni majeshi ya tutsi, au ya Congo au ya rwanda???
 
Sasa M23 ni serikali ya wapi, waasi au ni majeshi ya tutsi, au ya Congo au ya rwanda???

M23 ni wanajeshi wa congo walioaasi,kwa sehemu kubwa ni rwandaphone congolese called tutsi,kwanza walikua wakinyanyaswa jeshini na kuuwawa na wacongomani wenzao,kingine familia zao walikua wakinyanyaswa na kuuwawa na FDLR na maimai na serikali haikutoa ulinzi wowote bali walitoa silaha kwa hao wauaji,ikabi wakamate silaha ili wajilinde.
 
Kwa yote matatu,M23 wameishahaidiwa kusikilizwa,DRC haiwezi pigana vita ya muda mrefu wakati wanahitaji kujitoa katika matatizo ya umasikini,UN inaogopa vita inaweza kutawanyika nakua regional war.kusimamisha vita ime gusa interest za pande zote,na bila kusahau mataifa makubwa yanayotaka ku exploit eneo lakivu wanahitaji usalama wa eneo hilo haraka iwezekanavyo.

Pengine kutokana na umri wangu, lakini nimeanza kusikia mapigano nchini "Zaire" tangu aondolewe mzee Mobutu, akaja Laulent K na sasa Joseph K lakini sijasikia amani ya kudumu hapo DRC. UN ilikuwepo, mataifa makubwa yanayo-exploit yalikuwepo lakini haikusaidi. Do you think this time we will have the so called "amani ya kudumu"?
How?
 
Wewe usilinganishe M23 na hao wengine,M23 walikua na madai yenye uzito sio hao wauaji kwanza hao kwa kiasi kikubwa ndio walisababisha M23 kushika silaha.

Hujajibu swali na wala sijataja m23. Wewe mwenye ndo umesema international community ina weka pressure ili hao wauaji warudi kwao na je wata negotiate na serikali zao ama imekaa je hiyo?
 
Kwangu mimi wazungu siwakubali kwani mara nyingi wanakua na hidden agenda yakutaka kunyamazisha watu wanaokua kizingiti cha interest zao,kuhusu waafrika wanaweza kuisimamia sina shaka,kuhusu charles taylor kwakweli sijafuatilia case yake siwezi danganya.

Kwahiyo Kagame hajawahi kupata support yoyote ya wazungu?
 
mashoga wa kagame kazi mnayo, bado tutakuja kigali kuwapumulia kisogoni baada ya kazi nzuri ya goma! Endelea kusubiri

comment yako imenidhihirishia yale yote ninayoyasema. Katika watu wooote hapa kwenye JF wewe tu ndie unayeongelea kuipindua serikali ya kagame. Tujiulize kwa nn? Wenye uwezo wa kusoma between the lines watagundua kuwa the only people ambao nia yao ni kumpindua kagame ni interahamwe hence mokala1989=FDLR=INTERAHAMWE.
 
Yani wewe sijui unatoka sayari gani?MamboFDLR na ADF wanayofanya dhidi ya wakongomani hujawahi yasikia?Hawa jamaa wanefanya matendo ya kinyama dhidi ya wakongomani tena sana.
unaweza ukanitolea maandiko yoyote kuhusiana na hivyo vitendo toka katika vyombo vya habari vyenye kuaminika au jumuia ya kimataifa kama UN, zaidi ya propaganda za wezi wanayo iibia Congo.Mfano sijasikia hao ADF kupiga iwe kampala au mji wowote Uganda zaidi ya Kony, ambapo wakati ule Sudan walikuwa wanawasaidi. na Maj Saleh/Caleb alikuwa anatuhumiwa kula mahela kibao ya UPDF kisingizio ana msaka Kony, baada ya Hapo ame retire ana kula Kuku zake.
Halafu huyu Sultan Makenga ni DRC/Ug/Rwanda, maana kazaliwa ukimbizini, akajiunga na RPF Ug akiwa na 17, akamaliza kazi ya RPF Rwanda ndio akatumika DRC.
 
Kweli unahamu na vita,sikuhizi vita kati ya nchi na nchi haiwezekani,bado unafikilia bado tuko wakati wa idd amin?

Mkuu mawazo ya vita kati ya Tz na Rwanda hatukuasisi waTanzania.
Soma mawazo ya General Kagame-the strongman........

“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete]
you just heard sidi
ng with Interahamwe and FDLR and urging
negotiations… negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I
will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place
and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my
answer. I did not waste my time answering him…It is well known.
There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is
impossible…”“

It is in these ominous terms that the Rwandan dictator
General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called “Youth Konnect”“, sponsored by his wife, Janet Kagame."

Mkuu MUKAMASIMBA ndio maana tunauliza General Kagame sasa anasemaje juu ya huo usemi wake wa awali.
Bado ana munkari ile ile au kajionea the writing on the wall!!


 
Last edited by a moderator:
Mkuu mawazo ya vita kati ya Tz na Rwanda hatukuasisi waTanzania.
Soma mawazo ya General Kagame-the strongman........

"Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete]
you just heard sidi
ng with Interahamwe and FDLR and urging
negotiations… negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I
will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place
and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my
answer. I did not waste my time answering him…It is well known.
There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is
impossible…""

It is in these ominous terms that the Rwandan dictator
General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called "Youth Konnect"", sponsored by his wife, Janet Kagame."

Mkuu MUKAMASIMBA ndio maana tunauliza General Kagame sasa anasemaje juu ya huo usemi wake wa awali.
Bado ana munkari ile ile au kajionea the writing on the wall!!



Mkuu masopakyindi
Jamaa alikuwa anitishia mnyau halafu unajua siku ya hiyo speech madame alikuwa pembeni lazima jamaa ajitafanye tough llakini ukweli anaujua ndiyo maana kijegemeza sana kwa M7 ili apate ukimbizi!
 
Last edited by a moderator:
3.watz wa JF mnasema watutsi ni wabaguzi ushaidi naombeni...???

Ushahidi Wa kwanza kabisa angalia mlivyoingia tu jumuia ya Africa Mashariki tayari mmemwaga sumu sasa mmeanza kuitenga Tanzania na huko mbeleni itafuatia nchi nyingine,nyie ni wabaguzi wakubwa na kujiona mko bora kuliko watu wengine!

Mmeingia Congo mnataka nyie ndiyo mtawale Congo na hiyo haitoshi mkaanza kuiba mali ya Congo,kuua wacongoman,kubaka na kila aina ya ufedhuli mmefanya Congo na wakati huo mkijifanya nyie ni Simba wa Vita na M23 yenu ilyojaa watu wamepeana vyeo vya kijeshi bila utaalamu wowote wa jeshi eti General Ntaganda,sijui Briegedia Sultan mimi huwa nacheka sana Ujinga wenu na dharau mliyo nayo kwa wenzenu. Tanzania tumewasadia sana hata huyo mnaemuabudu alifundishwa jeshi Monduli na M7 amesomeshwa jeshi Sandhurst na pesa ya kodi yetu na hata mdogo wake pia,lakini ndiyo amekuja kutusaliti na kututenga mpaka inashangaza.Ndugu zetu walikufa kwa ajili kuwasaidia wengine tulifiwa na Baba zetu vitani Uganda kuwakomboa lakini leo ndiyo mnatulipa kwa dharau zenu.

Baba yangu alikufa kwenye vita vya kuikomboa Uganda akiwa ktk kikosi cha vifaru,leo hii mnatutenga namshangaa sana M7 alivyogeuka,hivi bila Tanzania M7 angekua Rais wa Uganda? acheni dharau zenu hizo! zinawagharimu sana ndiyo maana mnashindwa kuishi na binadamu wenzenu.Nyie majitu ya ajabu sana hamana hata shukrani!


Ubaguzi wenu mmefanya Rwanda kwa ndugu zenu wahutu,sasa mmeona haitoshi mnaanza sasa ku expand na nchi zingine,mmeanza uchokozi Congo mmesumbua Congo kwa mauji ya kutisha na kuzusha vikundi vya waasi na sasa mmeanza kuigeukia Tanzania.
 
Mkuu wewe sijui kama msinamo wako ni wawatazania wote,kwani sina uhakika kama watazania wata ku support kuingia vita na rwanda kwani si rahisi kama unavyo fikiria.

Kweli eeee! nyie wakali sana siyo,waisrael siyo! mnajua kupiga masasi hahahahahaha! si unajua wanajeshi wa Tanzania ni wazee tu hawana lolote,Rwanda bwana waisrael wale la! wana akili watusi wewe acha tu,ni special yaani du! siyo rahisi kabisa wana nguvu wewe wale.Kweli aisee Tanzania hawawezi kucheza na jamii ya kitusi hii bwana ni waisrael taifa teule!
 
M23 ni wanajeshi wa congo walioaasi,kwa sehemu kubwa ni rwandaphone congolese called tutsi,kwanza walikua wakinyanyaswa jeshini na kuuwawa na wacongomani wenzao,kingine familia zao walikua wakinyanyaswa na kuuwawa na FDLR na maimai na serikali haikutoa ulinzi wowote bali walitoa silaha kwa hao wauaji,ikabi wakamate silaha ili wajilinde.

Walikuwa wananyanyaswa, wanauwawa. Kwanini??
Wewe ukinyanyaswa unakamata silaha unakwenda kuuwa, kupiga, kupora mali, kubaka raia??
Assume ni wewe umenyanyaswa unaanzaje kupata silaha za moto?? Hebu nifafanulie hapo ili na mimi mtu akininyanyasa nijue namna ya kupata silaha ya moto a.k.a Binduki.
 
M23 ni wanajeshi wa congo walioaasi,kwa sehemu kubwa ni rwandaphone congolese called tutsi,kwanza walikua wakinyanyaswa jeshini na kuuwawa na wacongomani wenzao,kingine familia zao walikua wakinyanyaswa na kuuwawa na FDLR na maimai na serikali haikutoa ulinzi wowote bali walitoa silaha kwa hao wauaji,ikabi wakamate silaha ili wajilinde.

Wewe wacha kupotosha, sema ni wanamgambo wakituSi waliokuwa CNDP kama sijakosea amabao walikuwa intergrated kwenye jeshi na baada ya muda wakakalamika madai yao hayatekelezwi na kuamua kuaSi na kwenda kuanzisha M23 na bila kusahau kuwa hata hao M23 wenyewe waliasiana maana kwetu tunasema hakuna dhambi mbaya kama ya Ubaguzi. Ref Ntaganda na makenga walivyopigana.

Na kwa sasa naamini Kabila kajifunza na hakuna tena kuintergrate waaasi jeshini, kilichobaki ni kupewa mashamba Mkalime baada ya kupokonywa silah.
 
Back
Top Bottom