Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Goma-Kibati-Map.png
 
Nimesikiliza BBC leo jioni,kuna kundi jipya lina jiita M18.hao ninani na wametokea wapi?
 
Mada nzuri sana ,nimesoma mstari kwa mstari ,ila nikiongezea bila ya ushahidi ,Majeshi ya Tanzania yalimsaidia Kabila kabla ya hawa,M23kuibuka ,pale ulipotaja Zimbabwe na wengine ,bado Wajeshi waTz walikuwa mstari wa mbele ,kwani kila walipokatisha majeshi basi walikuwa wanazungumza kiswahili tena kiswahili swafi cha Kitanzania kwa maana huna haja ya kuuliza ni majeshi wa wapi.

Naamini hata WaKenya watatuhitaji kwenda kuisafisha Somalia.

Na JWTZ halitaweza kwenda kuwasaidia wakenya huko Somalia, HAITATOKEA.
 
Nimeeleza awali kuwa commitment ni kubwa zaidi kwani kikosi hiki kinatoka Africa. African problems can best be solved by africans themselves. Unadhani wahindi, Pakistan, Bangradeshi wana uchungu na waafrika? Pili nasikia UN imewaongezea uwezo wa kisheria wa kuapambana na waasi hawa.

Kuna article moja aliandika Prof Baregu kuhusiana na mgogoro wa DRC. Ndani yake akachora matrix inayoonesha matrix ya key players (wengi wao ni wa kutoka nje na hasa nchi zilizoendelea) na web za interests zao zilivyoji-intetwine katika instability ya DRC. Kwa mtizamo wangu naungana na Baregu kuwa hawa players wasipokubali kuachia interests zao ndani ya DRC nchi hiyo haiwezi kutulia. Kwa msingi huu hata mission hii haina jipya kwani hailengi kutatua chimbuko la utete wa DRC bali kuwafundisha adabu M23 ambao hawakuwapo awali na bado DRC haikuwa shwari kabla yao.
 
Ndugu zanguni hasa Watanzania,

Mimi ni mtanzania ninafanya biashara zangu huku DRC Goma kwa muda mrefu. Ninaishi hapa GOMA na nimekuwa nikisafiri kwenda sehemu mbalimbali ndani ya DRC.

Nimekuwa nikifuatilia mijadala kuhusu mgogoro wa M23 na serikali ya DRC, nimegundua watu wengi hawapo informed on what is going on.


Sasa kwa wale wenye swali au chochote wanachotaka kujua kuhusu mgogoro huu, mapigano yanayoendelea, na ushiriki na mapokeo ya WaKongo kuhusu JWTZ, mnaweza kuniuliza.

Nipo hapa kwa karibu miaka kumi na mbili sasa, bila sahaka nina kitu kipya ambacho huenda ninaweza kuwahabarisha.

 
Last edited by a moderator:
FLASH HIDER naweza kusema umejaribu na kupa 50%,kitu ambacho sikukubaliana na wewe nijinsi unavyo iweka tz juu sana katika hii vita,hajaongea kuhusu angola wao ndio wako mbele katika mapambano dhidi ya m23,kingine nimekua na wasiwasi na location yako kwani rwandair hajawahi kutua goma,kingine m23 haita isha kwani hivi wamebadilisha tactic sasa wameanza golira warfare ndio maana wamehamia virunga mountains,na itakua vita ndefu sana,nakushukuru umejaribu kuwaelimisha wabongo.

wengi wawapiganaji wa m23 ni force labour wakipata upenyo wana toroka kufuata majeshi ya serikali na FIB ya UN, na watu wameisha jipanga baada ya hapa ni wapi ku-secure the area na kuhakikisha hii mambo haitokei tena. SADC wataweka base huko huko virunga wanajeshi wana badilishwa after every 6 month, sasa hao banyamulenge aka Tutsi tutaona wata survive vipi na wakileta za kuleta tutamfuata financer wao, naye anajua ndio maana kawa kimya sasa hivi, jamaa wana sikilizia mizinga inavyo fanya kazi. baeleze nduguzo hii vita hawaiwezi walionyuma yake ni wakali Bongo, SA, Angola, Zimbabwe, Namibia just to mention a few.
 
Bila shaka siyo mfanyabiashara! Ni TISS uliyeko ikulu na umeamua kutupa taarifa za kiundani, ahsante!!!!

Swali: unadhani JWTZ wanaweza kuiweka DRC iwe yenye amani kwa njia ya bunduki?!!!

Pili, unadhani ni bora kuvunja EAC na kujitenga na majirani zetu uganda, kenya na Rwanda kwa ajili ya Amani ya DRC?!!

Tatu, unafikiri marekani wapo tayari kuacha kuiba madini hapo DRC, kwani kuna madini muhimu ya kutengeneza simu, dhahabu, na mengine kibao?!!

Nijibu kaka!!
 
FLASH HIDER naweza kusema umejaribu na kupa 50%,kitu ambacho sikukubaliana na wewe nijinsi unavyo iweka tz juu sana katika hii vita,hajaongea kuhusu angola wao ndio wako mbele katika mapambano dhidi ya m23,kingine nimekua na wasiwasi na location yako kwani rwandair hajawahi kutua goma,kingine m23 haita isha kwani hivi wamebadilisha tactic sasa wameanza golira warfare ndio maana wamehamia virunga mountains,na itakua vita ndefu sana,nakushukuru umejaribu kuwaelimisha wabongo.
Mtajibeba mwaka huu. Vipi lile dili la kuwakamata na kuwalazimisha vijana kwenda kuwasaidia M23 limeshindwa? Watanzania ni wakali wa ujasusi. Mtakoma mpaka muache uhuni wenu, tunajua kila linaloendelea Ikulu yenu. Hata PK akijamba, vijana wetu wanajua kwamba PK leo kajamba muda fulani. Unacheza na wa-Tz. Piga haoooooooooooo intarahamwe na wanyamulenge! Na hatukubali peace talk yoyote from now mpaka PK akimbie ofisi
 
Bila shaka siyo mfanyabiashara! Ni TISS uliyeko ikulu na umeamua kutupa taarifa za kiundani, ahsante!!!!

Swali: unadhani JWTZ wanaweza kuiweka DRC iwe yenye amani kwa njia ya bunduki?!!!

Pili, unadhani ni bora kuvunja EAC na kujitenga na majirani zetu uganda, kenya na Rwanda kwa ajili ya Amani ya DRC?!!

Tatu, unafikiri marekani wapo tayari kuacha kuiba madini hapo DRC, kwani kuna madini muhimu ya kutengeneza simu, dhahabu, na mengine kibao?!!

Nijibu kaka!!

ni miaka 17 un au munsco wapo Kongo na hakuna Amani, mazungumzo na hawa banyamulenge aka tutsi hawataki yaishe na mpango wa muda mrefu ilikuwa ni kuigawa east congo iwe kwenye empire ya bahima. Hivyo solution yake ilikuwa si mazungumzo bali ku-disarm hao watu kwa hiari au kwa mtutu, hawawezi kuchezea watukwa miaka 17.
eac haito vunjika ni kipindi cha mpito tu, na kwani hawa viongozi wa nchi zote hizo si wa kudumu, kila moja ataondoka kwa wakati wake. na automatically mambo yata ji adjust kutokana na forces za uchumi, na fursa.
USA hawawezi kuiba madini kwa kutumia M23, wao wakitaka wanaingia mikataba na mwenye nchi. ingekuwa hivyo Taylor wa Liberia asinge fungwa. nchi za west walikuwa na sympathy tu na Rwanda baada ya mauwaji ya kimbari, na source ya kuondolewa kwa Mabutu ni ufadhili wa nchi kadhaa Ug, Tz na Banyamulenge.
 
mods naombeni mu i sticky hii thread.. Tuna mengi ya kujifunza. Na hakikaka haya ndo mambo ya kujaldili tunapata ELIMU.
HAKIKAKA NAKUPONGEZA FLASH HIDER.
UMEFANIFANYA NIANZE TEMBELEA HAPA JUKWAA KWA ELIMU.
SI KILA SIKU TUNAWAJADILI MAFISADI YALIYOJAZANA CHADEMA NA CCM.

PLEASE MODS, STICKY THIS..cc Invisible
 
Last edited by a moderator:
Ahsante mkuu kwa thread hii.Mimi pia ni mtz nipo happa gisenyi mpakani mwa goma( Drc ) na rwanda.Namjibu kaka yangu kuwa ubalozi wa drc upo wazi kigali haujafungwa
 
Back
Top Bottom