Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Watu wengi wanapingana na mawazo na comments za MUKAMASIMBA lakini mkumbuke hili ni jukwaa la majadiliano hamna mtu yuko sawa kimazo kuliko mwengine,mwachieni nae MUKAMASIMBA atoe mawazo yake kuhusu hili sakata la Kongo
 
Hilo ni shamba la bibi.......tena mwambieni huyo mr. dhaifu siku nyingine akome kuingilia 'ma deal' ya warlods, tena ana bahati sana, siku nyingine yatamtokea puani, mbona walio mtangulia hawakufanya hivyo?

nonsense
 
watu wengi wanapingana na mawazo na comments za mukamasimba lakini mkumbuke hili ni jukwaa la majadiliano hamna mtu yuko sawa kimazo kuliko mwengine,mwachieni nae mukamasimba atoe mawazo yake kuhusu hili sakata la kongo

hamna mwenye uwezo wa kumzuia mwingine asitoe mawazo yake, ila tunasisitiza awe mkweli ili mjadala uwe mzuri na tuelimishane ukweli na si uwongo
 
Nitajitahidi kufanya hivyo. Ninazo baadhi ya picha hizo. Hawa watu hawatanivunja moyo kaka. Suala ni kueleimishana. Ni-pm kama una lolote la ziada. Nipo wazi na huru kwa yoyte.

Kaka FLASH HIDER, nakupa pongezi kwa elimu unayotupa ambayo wengi tulikua hatuijui:-
nakuomba yafuatayo:-
1. Tafadhali usikatishwe tamaa na baadhi ya wachangiaji, watu tunatofautiana sana, ila nina hakika asilimia kubwa wamefaidika na elimu unayotupatia, hili jukwaa baadhi matusi na kukatisha watu tamaa ndio sera zao
2.Ikiwezekana, tuwekee picha zinazoonyesha madhara ya vita, ili kwa wale wanaoshabikia vita watambue kuwa amani ndio kila kitu katika maendeleo ya nchi
3. Jitahidi kutotoa contacts zako, [email au PM]
Mungu akubariki sana
 
For sure hazuiwi, ni mawazo yake na yanaheshimiwa, na kila mmoja anajitahidi kutoa mtazamo wake. Mabishano lazima yatokee.

aendelee
Watu wengi wanapingana na mawazo na comments za MUKAMASIMBA lakini mkumbuke hili ni jukwaa la majadiliano hamna mtu yuko sawa kimazo kuliko mwengine,mwachieni nae MUKAMASIMBA atoe mawazo yake kuhusu hili sakata la Kongo
 
Kitu ambacho nimegundua nikwamba watu wengi hawana information kuhusu jinsi ufaransa iliendelea kuandaa na kusupport FDLR ndani ya kongo mpaka leo,imetoa mafunzo,silaha na fedha kwa FDLR hilo linatambuliwa,sasa kwakua M23 iko against FDLR ndio maana hawa jamaa wameikomalia tatizo hamtaki kuelewa hiyo connection.

M23 is now non existent; nenda kuwaunge mkono huko porini
 
Anza kwanza kutufundisha Kikongo,jeshi lishasema hakuna taarifa bila msemaji wake kuridhia,umenielewa mwana ya zambe? Mesy!
 
Ningekubaliana na wewe kama ungesema viongozi wazuri ni wale waonao mbali,angalia uganda tangu m7 achukue hatamu hakuna mapinduzi inchi inamaendeleo,angalia rwanda ni nchi yenye usalama na maendeleo,mimi sioni tatizo lao,nafikiri tatizo la watanzania nikujipenda na wivu,tz mna utajili mwingi lakini unaliwa na makaburu,mkiona wengine wanaendelea mnaanza kutizama imekuaje anaendelea wakati unamzidi uwezo hapo kuna tatizo tenakubwa sasa mumeamua kufia congo eti kuzuia rwanda na uganda.

K kubwa we!
 
Mmioena hii?




www.newvision.co.ug



"Bisii" The Bisiimwa's vehicles enter Uganda. (photo: Goodluck Musinguzi/NewVision Uganda)


Just head this news on BBC World News Radio, and now cross-posting the following report written by Goodluck Musinguzi, published at NewVision, UGANDA that, the rebel leader crossed Uganda in a convoy of two vehicles as UN forces and Congolese forces led by South Africans reached within five kilometres towards his political base.

A Uganda security officer confirmed the development and said Bisiimwa was being questioned by the security operatives at

Bunagana at Uganda-Congo border.

Rebels on Monday abandoned a key military base but vowed to fight on despite four days of a successful army offensive that has stoked tensions with neighbouring Rwanda.

A string of victories by government forces backed by a new U.N. intervention brigade has boosted belief that Congo's army could finally quell a 20-month insurgency which has displaced tens of thousands of people in the mineral-rich area.

The March 23 Movement (French: Mouvement du 23-Mars), often abbreviated as M23 and also known as the Congolese Revolutionary Army, is a rebel military group based in eastern areas of the Democratic Republic of the Congo (DRC), mainly operating in the province of North Kivu
Hii habari nimeisikia toka IKulu ya Marekani, BBC wamesema leo mji uliobaki unakombolewa
 
Kwa taarifa yako hili tusi ni me copy nusu ya matusi uliyo nitukana na kukurudishia mwenyewe,sio kawaida yangu sorry,kingine wewe uko dar unajinywea tangawizi,jinsi unavyo iongea vita utafikiri ni mchezo wa bao,frontline M23 inatisha mapigo yake waulize jamaa walio goma,kule kuhama ni baada ya kuwaumiza jamaa wa FRDC vibaya hapo kibumba na kiwanja,jamaa wakaja na hasira nyingi M23 ikabidi iwapishe tacticaly sio kushindwa au kupigwa,we subiri mtaujua ukweli lakini mimi sifurahii watu kufa cha muhimu malizeni migogoro kwa amani kwani hakuna binadamu aliyeumbwa ndani ya bullet proof.

Nyinyi maneno mengi propaganda nyingi, lakini kichapo mtakula mpaka mkubali mazungumzo kiukweli sio kiujanja janja.
halafu kuishi dar haimaanishi hawezi kwenda frontline ikibidi. Vita nchi hii hatujaanza kupigana jana, vijana morari upo tena sana bweg.e wee.
 
Sijawahi kuwaona wafaransa hapa GOMA. Pia kwa nini Wa TZ tu ndiyo wanakufa sina majibu probable ni kwakuwa wao ni lead army na wapo wengi.
Huwezi kuwafahamu base yao kwa sasa iko kindu na wanajichanganya na wanajeshi wa UN.
 
Awali nilikuwa sijamuelewa vizuri MUKAMASIMBA. Kumbe haina haja ya kujadiliana nae. Kwa taarifa yake huwezi hata siku moja ukafananisha Rwanda na TZ, ukubwa, mali, watu, politics, diplomacy nk. Kam nchi na sisi tuna matatizo yetu lakini sio kama ya Rwanda.Wachnagiaji wamesema mengi sana ambapo limekuwa somo zuri san kwa wote. Mawazo yako hayo hayakuasaidii lolote ndugu yangu. Bishana kwa hoja ila si kwa nguvu na kutukana.


K kubwa we!
 
Jamii nyingine kuangamizwa kwao siyo issue kabisa, genocide ni pale jamii nyingine zinapodai haki kwa watusi tu!

kwataarifa yako Genocide ni tatu tu duniani ambazo zimeisha fanyika ya isirael,kosovo na watusi sasa hiyo ya congo nimuendelezo wa ya watusi kwani wanao ua huko ni interahamwe za rwanda.
 
Watu wengi wanapingana na mawazo na comments za MUKAMASIMBA lakini mkumbuke hili ni jukwaa la majadiliano hamna mtu yuko sawa kimazo kuliko mwengine,mwachieni nae MUKAMASIMBA atoe mawazo yake kuhusu hili sakata la Kongo

Hapo umenena nikweli acha watu tutoe maoni yetu,nikweli tanzania iko mstari wambele katika mapambano na ndio maana mnasikia wanakufa kuzidi wengine lakini habari haitoki kamili wanaficha.
 
Back
Top Bottom