Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Nimekukubali mkuu UKWAJU. Historia ya eneo hili haiwataji kabisa Watusi. Wao ni wavamizi tu na sasa wanataka kuleta tabu.
 
Nimevutiwa na maelezo yako ya historia ya mzozo huo, ni ukweli usiopingika;:A S-confused1:
 
Huyu MUKAMASIMBA ana mawazo potofu kweli kuhusu TZ.

Mkuu Mukamasimba Watanzania hatuna hulka/kawaida ya kupora rasilimali za Mataifa mengine, pili - Tanzania ina wanawake/wasichana wa kila sampuli - chaguo lako, Watanzania si limbukeni wa kutekwa na wanawake wa nchi nyingine mpaka akajikuta amezamia kabisa - kama ni suala la nyumba ndogo atatafuta hapa hapa sio kukimbilia nchi za wenzetu.
 
Hebu tuone sasa hao M23 wamekimbia, nani anawalinda hao ambao MUKAMASIMBA anawaita Watusi?

Kama nimeelewa sawa anachokisema mukammasimba maana yake ni kuwa kama M23 watakuwa wamekimbia na majeshi ya Sadc na Monusco yakadharau uwepo wa FDLR tunaweza kushuhudia mauajii mengine ya kimbari dhidi ya watutsi wanaoishi Congo na hasa hao waaeneo ya kivu ya kusini, kama ni kweli hii haileti maana
 
Haya masula mengine nadhani yapo nje ya Topic mama. Any way labda niseme kuwa kuna kawaida ya akina dada kuwapenda wageni. Hata hapo Bongo, utakuta wakongo (watu wa nje) wanapendwa zaidi kuliko Wa TZ. Hili lipo hata huku. Si kwa Wa TZ tu, kwa wageni wote. Kumbuka GOMA ni kama Marekani kwa sasa, ina watu kutoka mataifa mbalimbali. Kuhusu uvaaji hilo lipo wazi. Wa Kongo ni watu wa kujipenda, starehe na kuvaa vizuri.

ninasikia mademu wa huko kongo wanahusudu sana wabpngo, eti ni kweli?
halfu nasikia vijana wa huko wanajiremba sana , unaweza kuta mtu anakaa kwenye kijinyumba cha ushenzi lakini amevalia kipapaa sana,, n hayo tu,naomba kueleweshwa
 
Rais Kabila yeye ni mwenyeji wa nchi gani ?wao mpaka wanamchagua hawakumjua? Sasa iweje leo waanze kutafuta tofauti yake nawao?Wakongoman nawaomba muwe na maamuzi yenye hekima na mfanye maombi sana ili mungu awakumbuke na alejeshe amani nchini mwenu.Mungu ibariki Kongo.
 
Where is Sultan Makenga?, (m 23 military chief) it was believed tha he was severely injured, was that true?

Mkuu hizo niporojo za wa congoman makenga mbona yupo tena wa afya,hivi limekua tatizo kwani jamaa wameingia maporini na wameanza kuwafanyia ambush kitu ambacho congo na FIB wanaogopa ndio maana wanalazimisha maongezi yaendelee kampala ili waweze kupunguza hasira za M23.
 
Ninajua kisiasa rais Kabila huwa na wapinzani wake ambao mara kwa mara wamekuwa wakitumia weakness ya Kabila kukulia na kosomea TZ kama kigezo cha kumuona kama siyo mwenzao. Hii ilizungumzwa sana na akina Bemba wakati ule wa uchaguzi, tena wakafikia kusema hajui Kifaransa wala kilingala. Wanaumbuka sasa kwani hutuba zake zote ni kwa kifaransa na anongea pia Kilingala ingawaje si fluent. Lakini ukweli amejitahidi sana kuleta maendeleo katika nchi hii.

Rais Kabila yeye ni mwenyeji wa nchi gani ?wao mpaka wanamchagua hawakumjua? Sasa iweje leo waanze kutafuta tofauti yake nawao?Wakongoman nawaomba muwe na maamuzi yenye hekima na mfanye maombi sana ili mungu awakumbuke na alejeshe amani nchini mwenu.Mungu ibariki Kongo.
 
Haya bwana jipe moyo. Najua hata wewe mwenyewe unajua unachozungumza ni uongo. Bunagana NGOME kubwa imechukuliwa jana na leo wanamalizia Tshanzu. Sikiliza hotuba ya Kabila leo utajua. Soon tutajua aliko Makenga.

Mkuu hizo niporojo za wa congoman makenga mbona yupo tena wa afya,hivi limekua tatizo kwani jamaa wameingia maporini na wameanza kuwafanyia ambush kitu ambacho congo na FIB wanaogopa ndio maana wanalazimisha maongezi yaendelee kampala ili waweze kupunguza hasira za M23.
 
Hebu tuone sasa hao M23 wamekimbia, nani anawalinda hao ambao MUKAMASIMBA anawaita Watusi?

Mkuu naona ulianza vizuri ukionekana kama hujaegamia upande wowote ila kadri muda unavyoenda unaonekana kuwa umeagamia upande mmoja. Umepotelea wapi?
 
Amekwambia nani yupo Virunga? Bila silaha? maana jana wameonesha kwenye TV silaha zote za M23 walizoziacha wakati wanakimbia. Zingine wamechoma kama kifaru, mizinga nk. Nasikia JWTZ limemeombwa kuja kulikalia eneo hili la Rutchuru ili kuhakikisha hao M23 hawarudi tena.

Wewe hizo habari unazitoa wapi? unaambiwa jamaa wameingia katika mapori ya vilunga eti wamekimbilia rwanda?
 
Mkuu hizo niporojo za wa congoman makenga mbona yupo tena wa afya,hivi limekua tatizo kwani jamaa wameingia maporini na wameanza kuwafanyia ambush kitu ambacho congo na FIB wanaogopa ndio maana wanalazimisha maongezi yaendelee kampala ili waweze kupunguza hasira za M23.

wangekuwa wa kuogopwa wangekimbia GOMA kama mbwa mwizi? tumia kidogo akili ingawaje uelewa wako unajulikana ni mdogo sana
 
Amekwambia nani yupo Virunga? Bila silaha? maana jana wameonesha kwenye TV silaha zote za M23 walizoziacha wakati wanakimbia. Zingine wamechoma kama kifaru, mizinga nk. Nasikia JWTZ limemeombwa kuja kulikalia eneo hili la Rutchuru ili kuhakikisha hao M23 hawarudi tena.

thubutu, kwa taarifa yako kila m 23 na njia yake bakenga -rwanda jeshini na bisimwa uganda kwa mume wake m 7
 
Mkuu hizo niporojo za wa congoman makenga mbona yupo tena wa afya,hivi limekua tatizo kwani jamaa wameingia maporini na wameanza kuwafanyia ambush kitu ambacho congo na FIB wanaogopa ndio maana wanalazimisha maongezi yaendelee kampala ili waweze kupunguza hasira za M23.
JWTZ waogope vita vya msituni? Kwani hayo mazoezi wanafanyia wapi? Pole yako, tena ukae ukijua kwamba Jeshi la Tanzania linakuwa kali zaidi pale inapotokea mmeua wanajeshi wao. Kwahiyo vifo vya wanajeshi wetu kwetu ni ahadi ya kufika beyond ya unavyodhani. Utakuja kukosa la kusema jukwaa hilihili. Hongera sana Jeshi pendwa letu JWTZ
 
Nimekukubali mkuu UKWAJU. Historia ya eneo hili haiwataji kabisa Watusi. Wao ni wavamizi tu na sasa wanataka kuleta tabu.
Mkuu hawa watu wapo wapi Generali Nkundabatware na Askofu Jean-Marie Runiga Lugero, Generali Makenga
 
Back
Top Bottom