Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

We jamaa mbona unapotosha sana?
Kabila kahutubia sana, na wapiganaji wote wamesamehewa na wanatakiwa kujisalimisha wao na Silaha zao zote,
Ila kwa wale wenye makoza ya Kiviza VIONGOZI zaidi ya 50/100 wa M23 hao wataend akujibu kesi zao huko ICC na kwingineko kwani Msamaha huo ni nje ya Rwanda, unafikiri wanajeshi wa FIB na MONOSCU walio uwawa na M23 wakiwa kwenye mission ya UN watapata wapi haki yao kama sio ICC na mahakama zingine xza kimataifa?

FIB kufa waliyataka wenyewe kama mtu ameamua kukuua na wewe inabidi ujihami ukizingatia wao walikua wakishambuliwa sasa wao wameua wangapi?M23 wanadai haki yao lakini kwa sababu ya interest ya mataifa ya nje hususani france,beligium na south afrika,watafanya lolote wasipate haki yao,huu ndio ukoloni mpya wakukandamiza watu ambao wanaonekana kua kikwazo kwa interest zao.
 
JOKA KUU umetaja kitu ambacho sikukieleza mwanzoni kuhusu historia ya mgogoro wa DRC. Inashangaza, Rwanda na Uganda walivamia kweli kwa nia ya kuichukua Kinshasa eti Kabila kawaondoa wahauri wake kutoka Rwanda. Kama mtu hataki ushauri unamlazimisha nini kama siyo ajenda ya siri? Bila Wazimbabwe, Angola na Namibia (SADC) leo huenda tungekuwa hatuzungumzii hali hii. Thanks JOKA KUU

Ndugu zanguni mbona mnajiuliza maswali rahisi?Rwanda iliingia pale congo ili kujihakikishia usalama wake dhidi ya interahamwe,baadae kupitia kwa wafaransa kabila mkubwa akawageuka na kushirikiana tena na interahamwe,juzi tena kabila alielewana na rwanda mambo yakawa mazuri lakini the same france akanya ndani tena na wakati huo kabila mdogo alikua na pressure kutokana na kuiba kura,sasa hawa jamaa wakaona mwanya wa kumbana ili kuachana na kigali,how kwa kuwaonda watusi walio kua wakipambana na FDLR kivu,kwani walikua kikwazo ndio kabila kutoa order ya kukamatwa NTAGANDA basi ndio sakata likaanza.
 
kaibadili Rwanda kutokana na madini ya Congo.

Kama nikweli jamaa ni mwanaume kweli,yani uibe congo ujenge rwanda,huyu ni mwafrika wa kwanza,wengine wanapora na kupeleka nje?lakini sio ukweli rwanda imeendelea kutokana na uongozi wake bora rwanda hakuna wakwepa kodi,rushwa,kwa hali hiyo huwezi kukosa pesa za kuendeleza nchi,kama utajili unatokea congo mbona wao masikini? Kagame hicho ni kichwa achana naye.
 
Wanao ongea kinyarwanda niwanyarwanda pure,lakini ukumbuke rwanda kabla ya mipaka ya wakoloni haikua ndogo kama hii ya sasa,sasa katika kukatakata ndio wengine walibaki congo,uganda,na kama congo kunawano itwa abanyamasisi,abanyarucuro,abajomba lakini wanaongea kinyarwanda na wengine wako uganda wanaitwa abafumbira wanaongea kinyarwanda,kitu kinacho watofautisha na watu wengine wao huifadhi culture ya kinyarwanda hawaipotezi ndio sababu wakati wate wanaongea kinyarwanda wanaitwa wanyarwanda kwa mtu yeyote atamwambia rudi rwanda kwasababu unaongea kinyaranda tu.
Huyu Mukamasimba ni mgonjwa wa akili na hii ni sababu ya brainwashing ya watoto wa kitutsi waliokulia uhamishoni! Tumesoma nao, kula nao, kwenda nao jeshini na bado hawakubadilika? Ni kweli ni mtu wa propaganda divisheni ya PK intelijensi lakini naona hajaiva. Yuko na uelewa mdogo hata wa history ya nchi yake ambayo iko preserved vizuri sana huko kwao. Anajifanya hamnazo bila sababu. Kama majibu yake yangekuwa kweli basi leo hii tusingekuwa tunazungumzia genocide badala ya mapinduzi ya kijeshi na vita ya wenyewe kwa wenyewe bila ubaguzi wa kikabila kama sehemu zingine Za Africa Zener leadership weaknesses! We are not fools to be taken for granted by your ignorance of history. Mnatafunwa na dhambi ya ubaguzi wa ukabila and nothing else na ndio mnataka na DRC iwe hivyo! Waacheni wapumzike as they have suffered a lot for no reasons!kwa hiyo wanakoishi wahangaza wa Tanzania pia ilikuwa ni sehemu ya Rwanda! Na hayo anayosema ndio wanavyoamini na kujidanfanya kuwa iko siku watarudisha ardhi yao yote! Upuuzi na ideology Za kijinga kabisa Za ki-hitter! Vipi wamasai na Ardhi ya Kenya, wakurya na Ardhi ya Tanzania, wabemba na Ardhi ya Zambia, waruhya na Ardhi ya Uganda? Etc. huyu mfanyabiashara wa kitanzania alikuwa very objective katika maelezo yake kiasi hata cha kutuliza muzuka wa baadhi ya wachangiaji wa kitanzania lakini kwa ushenzi na upuuzi wako wa kibaguzi na Tutsi supremacy ideology umemzengua mpaka nao sasa anasema ukweli mweupe na kuweka diplomacy yake pembeni kuwa nyie ni problem!shenzi kabisa!
 
Uwe unaangaliaga Taharifa ya habari Mkuu.

Correction:Taarifa not taharifa .mi mda wote nacheza na media pia huko Nord Kivu napajua vizuri sana.
Anyway na kama rwanda anawaibia wale wakongo kinawauma nini waTanzania kisa kujikomba jumuiya ya kimataifa na kujifanya mna huruma nani alikuambia dunia ina fair.
Kwa taarifa yenu uliza watu wa kigoma wale wakimbizi wakongo wamefaidika nao kinoma watu walipata ajira kwenye organization za kuhudumia wakimbizi hii leo mnajifanya mnawapenda wakongo kumbe mbwembwe tu .....
 
Pole sana, Unadhihirisha UTUSI wako kwa chuki zako dhidi ya FDLR, Ila ulisikilia Hotuba ya Kabila ya Jana?
kama umesikiliza utakuwa umeelewa kuwa hakuna kikundi cha waasi kitachwa na hata hao FDLR kzamu yao yaja, ila ki;lichotokea ni kuwa M23 ndio walikuw akimbelmbele kwahoiyoi kichapo ilibidi kainze kwao kwanza ili kutoa mfano kw ahao wengine wadogowadogo.
Du!eti atawatoa FDLR? wakati ndio majeshi anatumia?kwa taarifa yako ilevita inapiganwa na mtanzania na interahamwe,sasa atawakamata vipi?kuchukia interahamwe mimi nawachukia sana kwani walichinja watu wasio kua na hatia kisa ni jinsi walivyo zaliwa tu.
 
Kama nikweli jamaa ni mwanaume kweli,yani uibe congo ujenge rwanda,huyu ni mwafrika wa kwanza,wengine wanapora na kupeleka nje?lakini sio ukweli rwanda imeendelea kutokana na uongozi wake bora rwanda hakuna wakwepa kodi,rushwa,kwa hali hiyo huwezi kukosa pesa za kuendeleza nchi,kama utajili unatokea congo mbona wao masikini? Kagame hicho ni kichwa achana naye.

mlipe kodi kwa kuwauza dada zenu au? kwa rasilimali gani zilizopo Rwanda ? madini ya damu za wakongo ndizo zinazo inua uchumi wa Rwanda. Kwa mantic hiyo siyo uchumi endelevu. Acheni uporaji na mauaji ya wengine kwa ajili ya sifa ambazo hamna, rudini kwenu milimani mkalime viazi kama alivyowahikutamka kagame
 
Correction:Taarifa not taharifa .mi mda wote nacheza na media pia huko Nord Kivu napajua vizuri sana.
Anyway na kama rwanda anawaibia wale wakongo kinawauma nini waTanzania kisa kujikomba jumuiya ya kimataifa na kujifanya mna huruma nani alikuambia dunia ina fair.
Kwa taarifa yenu uliza watu wa kigoma wale wakimbizi wakongo wamefaidika nao kinoma watu walipata ajira kwenye organization za kuhudumia wakimbizi hii leo mnajifanya mnawapenda wakongo kumbe mbwembwe tu .....
yaani wewe unafurahi ku rape watu, kuwakosesha maendeleo kama shule na huduma nyingine za kimaendeleo? mfano sisi hatutafurahia mhutu akitawala amuone mtusi na hivyo hivyo mtusi akitawala asimuone mhutu, that is basic. lakini kwa kauli zako inaonyesha mtusi akifanya jambo basi ni jema akifanyiwa yeye dhambi.
 
mlipe kodi kwa kuwauza dada zenu au? kwa rasilimali gani zilizopo Rwanda ? madini ya damu za wakongo ndizo zinazo inua uchumi wa Rwanda. Kwa mantic hiyo siyo uchumi endelevu. Acheni uporaji na mauaji ya wengine kwa ajili ya sifa ambazo hamna, rudini kwenu milimani mkalime viazi kama alivyowahikutamka kagame
MUKAMASIMBA amechanganyikiwa hana alternative zaidi ya uizi
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mukamasimba ni mgonjwa wa akili na hii ni sababu ya brainwashing ya watoto wa kitutsi waliokulia uhamishoni! Tumesoma nao, kula nao, kwenda nao jeshini na bado hawakubadilika? Ni kweli ni mtu wa propaganda divisheni ya PK intelijensi lakini naona hajaiva. Yuko na uelewa mdogo hata wa history ya nchi yake ambayo iko preserved vizuri sana huko kwao. Anajifanya hamnazo bila sababu. Kama majibu yake yangekuwa kweli basi leo hii tusingekuwa tunazungumzia genocide badala ya mapinduzi ya kijeshi na vita ya wenyewe kwa wenyewe bila ubaguzi wa kikabila kama sehemu zingine Za Africa Zener leadership weaknesses! We are not fools to be taken for granted by your ignorance of history. Mnatafunwa na dhambi ya ubaguzi wa ukabila and nothing else na ndio mnataka na DRC iwe hivyo! Waacheni wapumzike as they have suffered a lot for no reasons!kwa hiyo wanakoishi wahangaza wa Tanzania pia ilikuwa ni sehemu ya Rwanda! Na hayo anayosema ndio wanavyoamini na kujidanfanya kuwa iko siku watarudisha ardhi yao yote! Upuuzi na ideology Za kijinga kabisa Za ki-hitter! Vipi wamasai na Ardhi ya Kenya, wakurya na Ardhi ya Tanzania, wabemba na Ardhi ya Zambia, waruhya na Ardhi ya Uganda? Etc. huyu mfanyabiashara wa kitanzania alikuwa very objective katika maelezo yake kiasi hata cha kutuliza muzuka wa baadhi ya wachangiaji wa kitanzania lakini kwa ushenzi na upuuzi wako wa kibaguzi na Tutsi supremacy ideology umemzengua mpaka nao sasa anasema ukweli mweupe na kuweka diplomacy yake pembeni kuwa nyie ni problem!shenzi kabisa!

ni zaidi ya mgonjwa wa akili
 
Kama nikweli jamaa ni mwanaume kweli,yani uibe congo ujenge rwanda,huyu ni mwafrika wa kwanza,wengine wanapora na kupeleka nje?lakini sio ukweli rwanda imeendelea kutokana na uongozi wake bora rwanda hakuna wakwepa kodi,rushwa,kwa hali hiyo huwezi kukosa pesa za kuendeleza nchi,kama utajili unatokea congo mbona wao masikini? Kagame hicho ni kichwa achana naye.

Sasa kama wengine wanaiba na kupeleka nje, hao Rwanda hayo madini wanayatumia hapohapo kwao?
 
yaani wewe unafurahi ku rape watu, kuwakosesha maendeleo kama shule na huduma nyingine za kimaendeleo? mfano sisi hatutafurahia mhutu akitawala amuone mtusi na hivyo hivyo mtusi akitawala asimuone mhutu, that is basic. lakini kwa kauli zako inaonyesha mtusi akifanya jambo basi ni jema akifanyiwa yeye dhambi.

Tatizo WaTZ na Jakaya wenu mnawarudisha nyuma hawa jamaa machungu ya 1994 rwanda huko hii leo hakuna Mtutsi wa la mhutu kuna mnyarwanda Tu.acha kuwagawa hawa jamaa.why dont u say about america kule iraq afghanistan mna baki kumpondea Kagame.na Kinachowasumbua waTZ pa1 na kujikomba kwa wazungu bado maendeleo Hoi miaka 50 ya uhuru hatujawai kua na vita bado tunachechemea lakini Kagame ndani ya muongo 1 kapiga hatua kubwa ya maendeleo pa1 na kutokua na rasilimali anyway mnaishia kwa kusema ile nchi ndogo Je nyinyi nchi kubwa kuna maziwa mito madini gesi inakuja lakini mtoto shule hana dawati mpka wazungu wakija wanashangaa why watoto hawana madawati wanajiuliza je hawa jamaa wanalinda misitu au shida ni nini Conglatulations kwa Kagame kwa kazi unayofanya pa1 na wananchi wa Rwanda.na Uzuri Kagame hanaga maneno au mipasho ni Kazi tu.
 
Du!eti atawatoa FDLR? wakati ndio majeshi anatumia?kwa taarifa yako ilevita inapiganwa na mtanzania na interahamwe,sasa atawakamata vipi?kuchukia interahamwe mimi nawachukia sana kwani walichinja watu wasio kua na hatia kisa ni jinsi walivyo zaliwa tu.

Kwahiyo wewe ni mtutsi unayechukia wahutu kama kagame?? JE wahutu wakaishi wapi wakati nchi yao ya Rwanda wanaiona hapo nearby
 
Huyu Mukamasimba ni mgonjwa wa akili na hii ni sababu ya brainwashing ya watoto wa kitutsi waliokulia uhamishoni! Tumesoma nao, kula nao, kwenda nao jeshini na bado hawakubadilika? Ni kweli ni mtu wa propaganda divisheni ya PK intelijensi lakini naona hajaiva. Yuko na uelewa mdogo hata wa history ya nchi yake ambayo iko preserved vizuri sana huko kwao. Anajifanya hamnazo bila sababu. Kama majibu yake yangekuwa kweli basi leo hii tusingekuwa tunazungumzia genocide badala ya mapinduzi ya kijeshi na vita ya wenyewe kwa wenyewe bila ubaguzi wa kikabila kama sehemu zingine Za Africa Zener leadership weaknesses! We are not fools to be taken for granted by your ignorance of history. Mnatafunwa na dhambi ya ubaguzi wa ukabila and nothing else na ndio mnataka na DRC iwe hivyo! Waacheni wapumzike as they have suffered a lot for no reasons!kwa hiyo wanakoishi wahangaza wa Tanzania pia ilikuwa ni sehemu ya Rwanda! Na hayo anayosema ndio wanavyoamini na kujidanfanya kuwa iko siku watarudisha ardhi yao yote! Upuuzi na ideology Za kijinga kabisa Za ki-hitter! Vipi wamasai na Ardhi ya Kenya, wakurya na Ardhi ya Tanzania, wabemba na Ardhi ya Zambia, waruhya na Ardhi ya Uganda? Etc. huyu mfanyabiashara wa kitanzania alikuwa very objective katika maelezo yake kiasi hata cha kutuliza muzuka wa baadhi ya wachangiaji wa kitanzania lakini kwa ushenzi na upuuzi wako wa kibaguzi na Tutsi supremacy ideology umemzengua mpaka nao sasa anasema ukweli mweupe na kuweka diplomacy yake pembeni kuwa nyie ni problem!shenzi kabisa!

Huyu ni mgonjwa kweli kweli, Hongera kwa kumtambua.
 
Back
Top Bottom