Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Lakini nyie uhuru gani mlio nao? watu mnaongozwa na ccm tangu uhuru bila mabadiliko yoyote na anayejaribu kui challenge anafungwa,kupigwa,na kuuwawa,je huo ndio uhuru? kabla huja tafuta uhuru wa rwanda na uganda anzeni kwenu.

rwanda ndiyo kwenye uhuru, mnaongozwa na utawala wa kifalme na chaguzi za kiini macho! Tanzania tuna periodica elections na vyama huru vya kisiasa vinavyopata ruzuku za walipa kodi, viongozi huru wa kisiasa wanaofanya shughuli zao bila hofu. HIVI GENERALI NYAUMBA, PASTEURI BIZIMUNGU, NYAMWASA, WAPIGANIA UHURU WA FLDR NAO NI WATANZANIA? UNAUELEWA MDOGO SANA!
 
Mkuu taratibu, atakusikia Kagame au MUKAMASIMBA!

acha wasikie, kama M23 walipewa international platform wakasikilizwa why not FDLR? tena mimi na suggest vikao ya mazungumzo hayo (FDLR vs Rwanda) vifanyike Tanzania, kama ambavyo M23 walisikilizwa Uganda.
 
Tanzania ina sera ya Kilimo kwwnza why Matrekta mnatumia ICD's...????
 
but who are you? Unafikiri una mchango upi katika amani ya maziwa makuu?, unafurahishwa na nini katika vita vya m 23 chini ya ufadhili wa rwanda dhidi ya serikali iliyoingia madarakani kidemokrasia ya rais joseph kabila?, may you please answer those questions gentleman, i'll be back soon.

huyu ni mmoja ya wale wadudu hatari sana kwa maisha ya binadamu, kwa tabia ya aina hii ya wadudu hana mchango wowote katika amani ya maziwa makuu zaidi ya uharibifu na vifo vya binadamu wenzetu
 
3.watz wa JF mnasema watutsi ni wabaguzi ushaidi naombeni...???
 
acha wasikie, kama m23 walipewa international platform wakasikilizwa why not fdlr? Tena mimi na suggest vikao ya mazungumzo hayo (fdlr vs rwanda) vifanyike tanzania, kama ambavyo m23 walisikilizwa uganda.

tena tanzania kuna wapatanishi wenye historia iliyotukuka kama mzee mkapa, mwinyi, warioba na wengineo wengi. M 7 mwenyewe mtuhumiwa sijui anasuluhisha nini kati ya m 23 na drc usanii mtupu
 
3.watz wa jf mnasema watutsi ni wabaguzi ushaidi naombeni...???

ungeanzisha uzi wako, uone majibu kutoka kwa watanzania waliostaarabika! Acha utegemezi kuanzisha uzi hapa ni bure kwanini uparamie uzi wa mwenzako kwa faida zenu? Ni sehemu ya ubaguzi . Poor tutsi
 
4.Kitu ki1 kilichowakwaza ni kua mlijiona nyie ndio Godfather east africa (hata kwenye ofisi za serikali bosi anajiona mungu mtu akija akimchallenge kidogo anataka hata kurusha ngumi nina ushaidi wizara za elimu ujenzi na maliasili)hasa suala la Port kagame aliamua kwenda Kenya kwa ujeuri na kumtukana rais wenu kua ms**%* e mkapanic mbaya why Sisi godfather wa eac anatuhama huyu jamaa kumbe.ndio maana mnapanic kitu kidogoooooo.
 
Hii internet imesaidia watu wengi sana. Sasa hivi na wewe utajiita mtaalamu wa maswala ya siasa!!!!! Ndio maana naona kwenu wanafunzi wanafeli kama vile hawana akili nzuri. Nchi kubwa kama hiyo asilimia 70 ya wanafunzi wanafeli halafu mnajiita wataalamu. Hivi wewe unajua FDLR wako wangapi? Not more than 2,000. halafu unawaita wenye nchi. Wenye nchi ndio hao hapo chini. wote ni wanyarwanda bila kutazama makabila yao.

rwanda-1.jpg

1. wapi nimejiita mtaalamu?
2. kwa hiyo kutokana na sentensi yako ya kwanza, conclusion ni kuwa 70% ya wanafunzi Tanzania wana access internet ndio maana wanafeli?
3. kama FDLR wako not more than 2,000, nini kilimshinda kagame kuwaondoa congo miaka yote hii, pamoja na kupewa ruhusa na DRC? How come kila kitu huko rwanda hata kuku asipotaga siku moja tu wanasingiziwa FDLR, kumbe wako 2,000 tu?
4. darasa typical la rwanda ni kama hilo hapo chini-Mpushi, Rwanda.
Schule_Mpushi-Ruanda.jpg
 
But who are you? unafikiri una mchango upi katika amani ya Maziwa Makuu?, unafurahishwa na nini katika vita vya M 23 chini ya ufadhili wa Rwanda dhidi ya serikali iliyoingia madarakani kidemokrasia ya Rais Joseph Kabila?, May you please answer those questions gentleman, I'll be back soon.

Sasa wewe askari police nini? Kwanza mimi ni mwafrika,pili mchango wangu ni advise kwa kutatuliwa mgogoro wa kivu kwa kuuchimbua mzizi mkuu unaoleta matatizo kivu bila kulaumu watu fulani na mzizi mkuu ni ubaguzi unaofanywa dhidi ya watusi waishio kivu,tatu kabila na mataifa fulani ndio wanafadhili FDLR kuupindua uongozi wa pk uliochaguliwa kidemokraia,sio kabila yeye aliiba kura chisekedi analijua hilo,ufadhili wa rwanda haumo kwani M23 isinge shindwa kirahisi hivyo kama rwanda ingefadhili,nafikiri nimekujibu afande.
 
1. wapi nimejiita mtaalamu?
2. kwa hiyo kutokana na sentensi yako ya kwanza, conclusion ni kuwa 70% ya wanafunzi Tanzania wana access internet ndio maana wanafeli?
3. kama FDLR wako not more than 2,000, nini kilimshinda kagame kuwaondoa congo miaka yote hii, pamoja na kupewa ruhusa na DRC? How come kila kitu huko rwanda hata kuku asipotaga siku moja tu wanasingiziwa FDLR, kumbe wako 2,000 tu?
4. darasa typical la rwanda ni kama hilo hapo chini-Mpushi, Rwanda.
Schule_Mpushi-Ruanda.jpg

sasa kuna nini hapo? na si ajabu ndiyo shule ya kimataifa ya kule kigali, nikiweka picha ya st anna primary school huyu mshamba atasema ni ulaya
 
Ijumaa Congo inabidi isaini mkataba na M23 kuna vitu walirequest hao waasi kwenye Govt.
ya DRC sasa hamuoni Kua m23 ni washindi wa Hii vita.Baamedi kakubali kwenda getto kwa price ya Kiloba 1. Mwisho wa siku TZ walienda kuuza sura.hawa waasi wa kongo why wakivuka mpka kwenda uganda au rwanda je huko wanaenda kufanya nini au wanakaa zone ambayo ni free haina nchi ..??? Tz wame fulia

hapa baamedi nani na msela nani?

960

colonel Omuli akiwa na "mabaamedi".
2. "washindi hao"
120257_mainimg.jpg
 
Mnafiki ni wewe unaye simama kidete kuutetea uongo wakati unaujua ukweli kuhusu tz,kisa eti uzalendo.

Wewe Mukamasimba ni mshenzi tena -------- uliyepitiliza kusema kua kikwete anawatia waafrika aibu kwa kuomba misaada nhe ndo ukweli..??? Ile mliyokatiwa na USA na EU kwa kuwasaidia M23 ni nini..??? sio misaada..??? Mshenzi mkubwa wewe tena blood stupid kbsa
 
Back
Top Bottom