Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Mlizoea wale marais waliosinzia sasa mna deal na kichwa makini,hapo kijasho kita watoka,jamaa si wakawaida,mngepata bahati rahisi kama huyu na fikiri mngeitwa super power ya ukweli siyo fake super power.


Look here ....Rwanda is in no way a threat to Tanzania....at least Kenya ni competitors wetu....Whatever it can do a landlocked country ,Rwanda ......Just like a region in Tanzania.......... haitakaa iisumbue TZ kwa namna yoyote.....nchi yenyewe haina kitu
 
Umepanic sana nigga usimaindi coz ikiwa ni shoga ndio inauma ila kama sio ni kama black kwenye Pool table ....

kumbe kagame is a cuckold!

Dictator Paul Kagame with all his intelligence tricks; he came to find out about this boy in 2002. Jeannette Nyiramongi and her entourage kept this child as a secret to even her husband. In 2002 that is when Jeannette Kagame’s son decided to go to Rwanda and look for the mother and he was escorted by his auntie.
A shocked Colonel Silas Udahemuka rang Paul Kagame that there is a son and a woman at Kanombe airport who have come to see the first lady. This issue led to a short separation between Jeannette Kagame and Paul Kagame. Reliable sources within Village Urugwiro have told Ikaze Iwacu that evil Jeannette Kagame took a refugee at Kayumba Nyamwasa’s house.

source: letter from the north.
 
Watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.

Kama ni kabila moja, na tofauti yake ni hiyo kwamba wengine ni wafugaji na wengine ni wawindaji, sasa hawa wote walipokuwa town, walikuwa wanatambuana vipi na kupeana mapanga?

Wahutu na watusi ni tofauti bwana, kitamanduni, nk. wenda wakawa wanaongea lugha moja.
http://en.wikipedia.org/wiki/Origins_of_Tutsi_and_Hutu

Wahamiaji wakihamia mahala hawana budi kufuata lugha inayoongelewa mahali hapo. Na baada ya mda mkijikuta wote mnaongea lugha moja si maana eti ninyi ni kabila moja.

Mfano, Amerika, Waafrika na wazungu wote wanaongea lugha moja, hii haina maana kwamba hawa ni kabila moja yani wazungu na waafrika wa amerika. Hawa kama wangekuwa na rangi moja, watu tungesema wana kabila moja, lakini kiukweli sivyo. Ndivyo hivyo kwa watutsi na wahutu, muonekano wao kuwa tofauti ni bayana kabisa sio kabila moja.
 
hicho kisingizio cha "wanyarwanda" ni mbinu ya kuficha kuwa majority wanakuwa ruled na minority! hakiondoi ukweli kuwa watutsi wanatawala kimabavu wahutu na watwa.
na tena leo kuna tabaka lengine. ukiwa pro-RPF wewe ndio mnyarwanda, ukiwa opposition wewe FDLR regardless umekuwa RPF muda gani.

MMMH,Another mkulima,sasa unataka kuniambia wafugaji ndio wanatawala rwanda peke yao?kwa taarifa yako rwanda ya sasa majority wana fuga na kulima.
 
Look here ....Rwanda is in no way a threat to Tanzania....at least Kenya ni competitors wetu....Whatever it can do a landlocked country ,Rwanda ......Just like a region in Tanzania.......... haitakaa iisumbue TZ kwa namna yoyote.....nchi yenyewe haina kitu
Mkuu tena siyo mkoa ila ni sawa na wilaya moja ya mpanda.
 
Kama ni kabila moja, na tofauti yake ni hiyo kwamba wengine ni wafugaji na wengine ni wawindaji, sasa hawa wote walipokuwa town, walikuwa wanatambuana vipi na kupeana mapanga?

Wahutu na watusi ni tofauti bwana, kitamanduni, nk. wenda wakawa wanaongea lugha moja.

Aksante kwa swali zuri,before 1994 wanyarwanda walikua na vitambulisho vilivyokua vikionyesha matabaka yao,ndio maana ilikua rahisi kuwatambua,hivi katika vitambulisho halipo,kama wewe nikikupeleka kigali unionyeshe muhutu,mtusi na mtwa huwezi kuwatofautisha ni mpaka ujue anatoka katika familia ya nani.
 
Kama ni kabila moja, na tofauti yake ni hiyo kwamba wengine ni wafugaji na wengine ni wawindaji, sasa hawa wote walipokuwa town, walikuwa wanatambuana vipi na kupeana mapanga?

Wahutu na watusi ni tofauti bwana, kitamanduni, nk. wenda wakawa wanaongea lugha moja.
Origins of Tutsi and Hutu - Wikipedia, the free encyclopedia

Wahamiaji wakihamia mahala hawana budi kufuata lugha inayoongelewa mahali hapo. Na baada ya mda mkijikuta wote mnaongea lugha moja si maana eti ninyi ni kabila moja.

Mfano, Amerika, Waafrika na wazungu wote wanaongea lugha moja, hii haina maana kwamba hawa ni kabila moja yani wazungu na waafrika wa amerika. Hawa kama wangekuwa na rangi moja, watu tungesema wana kabila moja, lakini kiukweli sivyo. Ndivyo hivyo kwa watutsi na wahutu, muonekano wao kuwa tofauti ni bayana kabisa sio kabila moja.

Wewe unaweza niambia watusi,wahutu,watwa hapo mwanzo hawajahamia rwanda walikua wanaongea lugha gani? kwani wote ni wahamiaji kama unafutilia history.
 
Look here ....Rwanda is in no way a threat to Tanzania....at least Kenya ni competitors wetu....Whatever it can do a landlocked country ,Rwanda ......Just like a region in Tanzania.......... haitakaa iisumbue TZ kwa namna yoyote.....nchi yenyewe haina kitu

Sasa kma rwanda haiwez kusumbua tz kelele za nin kujaza maneno humu na mda unapoteza hapa kuandika.... Shida ni nin tz...???
 
na watusi wanaojiita m 23 wanafia nini DRC? Historia huwa inajirudia mukamasimba, na ndiyo maana tumewachakaza rwanda na uganda ndani ya DRC . Faida tunazo nyingi na hauna haja ya kuzifahamu.

Wewe FDLR, unaongea kana kwamba unahusika. Mijitu kama wewe ni mioga kweli kweli. Ndio maana ukakimbilia tanzania baada ya kufanya mauaji. Tutakukamata tu
 
kumbe kagame is a cuckold!

Dictator Paul Kagame with all his intelligence tricks; he came to find out about this boy in 2002. Jeannette Nyiramongi and her entourage kept this child as a secret to even her husband. In 2002 that is when Jeannette Kagame’s son decided to go to Rwanda and look for the mother and he was escorted by his auntie.
A shocked Colonel Silas Udahemuka rang Paul Kagame that there is a son and a woman at Kanombe airport who have come to see the first lady. This issue led to a short separation between Jeannette Kagame and Paul Kagame. Reliable sources within Village Urugwiro have told Ikaze Iwacu that evil Jeannette Kagame took a refugee at Kayumba Nyamwasa’s house.

source: letter from the north.

Sasa hizi habari zinauhusiano gani na topic yetu.
 
Sasa kma rwanda haiwez kusumbua tz kelele za nin kujaza maneno humu na mda unapoteza hapa kuandika.... Shida ni nin tz...???

Hatuwezi kuuacha upuuzi unaosemwa na ninyi blood stinkers tuuache tu...lazima tuwakanushe ili rekodi ziwekwe sawa....umeelewa eeeh
 
Aksante kwa swali zuri,before 1994 wanyarwanda walikua na vitambulisho vilivyokua vikionyesha matabaka yao,ndio maana ilikua rahisi kuwatambua,hivi katika vitambulisho halipo,kama wewe nikikupeleka kigali unionyeshe muhutu,mtusi na mtwa huwezi kuwatofautisha ni mpaka ujue anatoka katika familia ya nani.

Acha kabisa na watofautisha tena sana tu. Ngoja nikupe kidogo.
Wahutu kwa upande wa Rwanda na Burundi wanafanana sana na wahangaza wa ngara ama waha wa kigoma. Lakini mtusi ni space nyingine kabisa, mara moja unamtambua huyu ni mtusi.

Mhutu akijichanganya kigoma huwezi mtofautisha labda kwa kuongea ama kwa historia yake, lakini mtusi wala huulizi. Watutsi karibu wote wanafanana na Kagame kwa muonekano.
 
Nasikia M23 kwishney kabisa wamebaki digidigi tu wanajificha kwenye mashimo kama panya bukU!
 
Wewe FDLR, unaongea kana kwamba unahusika. Mijitu kama wewe ni mioga kweli kweli. Ndio maana ukakimbilia tanzania baada ya kufanya mauaji. Tutakukamata tu

Kwa akili yenu fupi na ya visasi unadhani kila anaekupinga ni FDLR....Na hao jamaa lazima tu wawatoe hapo......
 
Mbona basi mnaitolea povu?Si muiache,kila siku kagame,kagame hee hamchoki,acheni kunyima pumzi ka rwanda kwanza ni kadogo,again ukubwa wa pua..

Rekodi lazima ziwekwe sawa......tukiwa na mhalifu kule mpanda atashughulikiwa ipasavyo......Kwa hio hata kama kuna mnuka damu za watu nje ya mipaka yetu huyo sio rafiki yetu..........
 
utawala wenu wa kikabila ndani ya rwanda unaelekea kikomo, majirani wenu tumewastukia rwanda mtajiondosha wenyewe kwa tabia zenu za kiporipori. Sisi tutaendelea kuwasaidia wanyarwanda wenye nia nzuri kujenga nchi yao. VIVA TANZANIA

hata ukijaribu kujiondoa hilo haliwezekani. wewe ndio mhamiaji haramu. nina uhakika ukichunguzwa vizuri hapo watakuta wewe ni wa 1994. halafu msaada wako hauhitajiki. saidia familia yako kwanza wapate maendeleo ndio urudi hapa jamvini.
 
Acha kabisa na watofautisha tena sana tu. Ngoja nikupe kidogo.
Wahutu kwa upande wa Rwanda na Burundi wanafanana sana na wahangaza wa ngara ama waha wa kigoma. Lakini mtusi ni space nyingine kabisa, mara moja unamtambua huyu ni mtusi.

Mhutu akijichanganya kigoma huwezi mtofautisha labda kwa kuongea ama kwa historia yake, lakini mtusi wala huulizi. Watutsi karibu wote wanafanana na Kagame kwa muonekano.

AHAHA sasa umeniacha hoi,wewe kwa mtazamo wako,na ndio maana wasukuma wengi walipakizwa malori mpaka kigali eti ni watusi,sasa unataka kunieleza waha ni wahutu? kwa jinsi usivyo weza kutofautisha msukuma na mtusi na muha na muhutu,ndio maana nivigumu kutofautisha wanyarwanda kwa sura.
 
Back
Top Bottom