Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

Mimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa).

Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.
Kuna mzee alikuwa anaendesha night club inaitwa Zebra club Mogoditshane bado yupo?
 
Mimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa).

Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.
Napenda kufahamu kwa nini Wazulu wengi SA ndio wameshikilia SERIKALI?
 
Kuku wanaitwaje huko

Na pombe ina jina gani halfu minada inaitwaje vile ?
 
Kwa nini mama ntilie wa Botswana anamiliki toyota alphard au Harrier,wakati mama ntilie wa TZ hawezi kumiliki hata pampu ya baiskeli?
Usipite bila kujibu tafadhali.
swali zuri sana!!nataka ujuwe kwamba maisha ya Botswana ni uchumi wa kati,tulisikia Tanzania imekuwa uchumi wa kati nafikiri bado sana kulinganisha na nchi kama Botswana,mama nitilie wa hapa anamiliki gari nzuri hata muuza genge naye ana gari yake amepaki pembeni,hiyo ikilinganisha na tanzania inatokana kwanza population halafu kuna mambo ya international financial stability pia kuna mambo kama ya international trade,,,yapo mengi lakini mambo ya small business kumiliki magari kwa hapa boswana ni jambo la kawaida sana
 
Vipi kuhusu machimbo ya dhahabu Botswana?
machimbo yote au madini yote Botswana na south Africa ni mali ya serikali,kuna special police wa kushughulikia mambo ya madini huku,kwa ujumla haiwezekani
 
Vp mkuu ubaguzi wa rangi hali ikoje kwa sasa huko S.A? Botswana wageni hawabaguliwi?

Je, kwa mtu asie raia wa S.A au Botswana kuna kazi gani za kupata haraka bila kujali profession?
ubaguzi upo sana inategemea na wewe umejiandaa vipi kupambana na life,ubaguzi ni bure kabisa kwa mpambanaji,ulikuja kupendwa au kutafuta
 
swali zuri sana!!nataka ujuwe kwamba maisha ya Botswana ni uchumi wa kati,tulisikia Tanzania imekuwa uchumi wa kati nafikiri bado sana kulinganisha na nchi kama Botswana,mama nitilie wa hapa anamiliki gari nzuri hata muuza genge naye ana gari yake amepaki pembeni,hiyo ikilinganisha na tanzania inatokana kwanza population halafu kuna mambo ya international financial stability pia kuna mambo kama ya international trade,,,yapo mengi lakini mambo ya small business kumiliki magari kwa hapa boswana ni jambo la kawaida sana
Naomba njia rahisi za kuishi hapo bot kisheria.
 
Uko pande za wapi Mkuu huko Africa kusini?
 
Back
Top Bottom