tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,610
KimberleyNi mji gani nafuu wa kuanzia maisha huko South Africa bila kuwa na mwenyeji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KimberleyNi mji gani nafuu wa kuanzia maisha huko South Africa bila kuwa na mwenyeji?
Wee hujui thamani ya tako nini?kusini mwa africa warembo ni wote,,kuna haja gani ya kuwa mrembo lakini kichwa empty
Mkuu labda utakuwa unachagua kazi na mshahara nini,mbona kada yako inauwanja mpana sana serikaliniSoweto2006 mkuu Kama Nina cheti elimu ya ordinary diploma in hydrology and metereology pamoja na Cha bachelor engineer katika water resources na irrigation kutoka hapa Tanzania naweza kupata kazi Hapo Botswana au Namibia..maana dah hapa bongo wametunyima ajira kabisa
Ni kweli wanawake wa South Africa wanapenda sana ku date na wageni? Wanadai eti wanaume wa kizulu hawako romanticMimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa).
Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.
Ana majibu kama konda msafi...usikute ni yeye [emoji23]mmeambiwa muulize maswali ya akili
unamjua shishi bby wewKwa nini mama ntilie wa Botswana anamiliki toyota alphard au Harrier,wakati mama ntilie wa TZ hawezi kumiliki hata pampu ya baiskeli?
Usipite bila kujibu tafadhali.
Tatizo ni kuniita baba ninaeongoza familia yangu bwege mkuuSawa mkuu...ila mm sihitaji kujuwa namba 26 maana yake.
Sababu mimi najuwa nini maana yake,,
na wala siwezi kuweka hapa sababu sio uzi wangu.
Kuna wadau ndy walimuuliza mleta post .
Namimi nikakazia lile swali baada ya kuonekana mleta post analikimbia swali..
Kuna tatizo?
bahati kupiga lissu risasi kuwa serious bwanatanzania mna bahati mbaya sana ya kumpoteza magufuli,japokuwa mimi sio mwanasiasa lakini for sure magufuli alikwa naelekea kubadilisha system ya tanzania kabisa,sasa kaondoka sijui itakuwaje,mimi naamini kiongozi wa nchi ana impact kubwa kwenye future ya nchi,kinachotakiwa hapo lazima itengenezwe system mpya ili kila kiongozi apite juu yake,lakini ni ngumu sana na historia ya tanzania inafanana na zambia baada ya yule Rais wao Satta kufariki Zambia kwisha kabisa haitamaniki,
Tatizo ni kuniita baba ninaeongoza familia yangu bwege mkuu
Akina minja( kina mangi) kila sehemu wapo kusaka hela respect [emoji3][emoji3]Markus, alikuwa anavaa miwani. Mwenzake minja nafikiri.
Ushauri huu Mbya kupata kusikiasio easy mkuu,ukitaka kwenda ulaya illegally pitia Libya Morocco
Nahisi hapa hutaeleweka sanatanzania mna bahati mbaya sana ya kumpoteza magufuli,japokuwa mimi sio mwanasiasa lakini for sure magufuli alikwa naelekea kubadilisha system ya tanzania kabisa,sasa kaondoka sijui itakuwaje,mimi naamini kiongozi wa nchi ana impact kubwa kwenye future ya nchi,kinachotakiwa hapo lazima itengenezwe system mpya ili kila kiongozi apite juu yake,lakini ni ngumu sana na historia ya tanzania inafanana na zambia baada ya yule Rais wao Satta kufariki Zambia kwisha kabisa haitamaniki,
Sawa Basi litumie kumwita mbunge husika Mimi niite chief SamBasi tusameheane mkuu.
Lakini bwege ni jina tu,,tena jina la muheshimiwa mbunge.
Sikumaanisha vibaya.
Namba hz niza za watu walio wahi kukaa jela,kwaio km yy hakuwahi kukaa jela si rahisi kuzifafanua sa'bu zina vipengele vingi na atapata mabishano kwa wanao zijua hz namba 26,27 na 28 ni namba za wahalifu hua wanapeana jela, so km yy ni bussiness man usi mlaumuWewe bwege usinitafutie ban.
Mtu anaposema uliza chochote kuhusu south anamaanisha nn?
Hilo la namba 26 ni swali la msingi sana.
Kwa faida ya wengi.
Yeye mtoa post alishanijibu kama hawezi kujuwa na mm nilishamalizana nae. .
Mabaharia tulishamuelewa mleta post,,ndy maana mikausho mikali.
Nafikiri tatizo letu Watanzania ndiyo huanzia hapo. Kwa Wanaijeria ni tofauti. Wewe hapo mpe channel, halaf yeye atajua mwenyewe achague kipi.sina uhakika kama kuna mtu anaweza kukutafutia kazi nje ya nchi,cha kufanya kusanya taarifa za kutosha then jilipuwe mwenyewe ili yakikukuta usije laumu mtu,nakushauri tafuta hela ya kuanzia maisha jilipue mwenyewe kivyako vyako baada ya collection of information hayo ndiyo maisha ya baharia