Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Naomba hints nataka kuanzisha kampuni inayofanya kazi kama mtandao wa kupatana.com

Utaratibu wa kusajili kampuni ya aina yoyote ile huwa unafanana, ila utofauti huwa unakuja kwenye upatikanaji wa leseni na vibali vya biashara

Ili kusajili kampuni mpya kwanza kabisa inabidi waanzilishi wa kampuni muwe wawili na kuendelea, na pia kama wote ni watanzania ni lazima muwe na namba ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) pamoja na namba za TIN zenu binafsi, ila kama kuna raia wa kigeni inabidi awe na passport ya kusafiria.
 
Habari yako mkuu.
Naomba unifahamishe kuhusu requirements za kuanzisha kampuni ya Cargo agent.
 
Hongera mkali wao kwa elimu hii ya bure kabisa ambayo kuipata kwa wengine ni gharama kubwa:

Swali langu ni nilikuwa na biashara kwenye group la presumptive tax payers ila baada ya mambo kutoenda sawa niliifunga mwaka 2021 mwezi wa sita kienyeji bila kufuata taratibu za kisheria za TRA.

Hivyo kuanzia mwaka 2021 hadi leo sijafanyiwa assessment yoyote na TRA.

Lakini hapo hapo ninazo line za uwakala wa mitandao ya simu ambazo bado zinapiga kazi kama kawa na ile commission inakatwa kodi kila mwezi.

Swali je nikienda TRA ili kuifunga ile biashara kisheria watanipiga penalty yeyote na je hii kodi inayokatwa kwenye commission inaweza angaliwa kupunguza deni lolote la kodi.
 
Hongera mkali wao kwa elimu hii ya bure kabisa ambayo kuipata kwa wengine ni gharama kubwa:

Swali langu ni nilikuwa na biashara kwenye group la presumptive tax payers ila baada ya mambo kutoenda sawa niliifunga mwaka 2021 mwezi wa sita kienyeji bila kufuata taratibu za kisheria za TRA.

Hivyo kuanzia mwaka 2021 hadi leo sijafanyiwa assessment yoyote na TRA.

Lakini hapo hapo ninazo line za uwakala wa mitandao ya simu ambazo bado zinapiga kazi kama kawa na ile commission inakatwa kodi kila mwezi.

Swali je nikienda TRA ili kuifunga ile biashara kisheria watanipiga penalty yeyote na je hii kodi inayokatwa kwenye commission inaweza angaliwa kupunguza deni lolote la kodi.

Presumptive taxpayers huwa HAWANA PENALTY!, hata itokee umechelewa kufanyiwa makadirio basi utapoenda TRA watakufanyia tu makadirio yako ya kodi kwa mwaka husika pasipokua na penalty ya aina yoyote ile.

Ila kitu muhimu kama biashara umefunga mwezi wa 6 mwaka jana we walipe kile ambacho wanakudai tayari (deni ambalo lipo kwenye system) then andika barua ya kufunga.. Mpaka sasa ushachelewa kutoa taarifa jivyo usiendelee kuchelewa zaidi, toa taarifa uwe salama
 
Habari yako mkuu.
Naomba unifahamishe kuhusu requirements za kuanzisha kampuni ya Cargo agent.

Utaratibu wa kusajili kampuni ya aina yoyote ile huwa unafanana, ila utofauti huwa unakuja kwenye upatikanaji wa leseni na vibali vya biashara

Ili kusajili kampuni mpya kwanza kabisa inabidi waanzilishi wa kampuni muwe wawili na kuendelea, na pia kama wote ni watanzania ni lazima muwe na namba ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) pamoja na namba za TIN zenu binafsi, ila kama kuna raia wa kigeni inabidi awe na passport ya kusafiria.
 
Mkuu,hebu nisaidie kitu hapa.

Nimechukua TIN ya kampuni mwaka 2020 November, nikaja kufanyuwa assessment mwezi march na nikalipa kabisa ya mwezi huo march,

Sasa mwaka huu wakati nafanya return,kumbe account yangu ilikuwa na shida,nikawafata..wamerekebisha,nimekuta nadaiwa penalty ya kutokufile toka 2020.

Hapo inakuaje?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,hebu nisaidie kitu hapa.

Nimechukua TIN ya kampuni mwaka 2020 November, nikaja kufanyuwa assessment mwezi march na nikalipa kabisa ya mwezi huo march,

Sasa mwaka huu wakati nafanya return,kumbe account yangu ilikuwa na shida,nikawafata..wamerekebisha,nimekuta nadaiwa penalty ya kutokufile toka 2020.

Hapo inakuaje?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app

Hapo kuna barua unapaswa kuandika ili warekebishe efilling account yako na hiko kipengele cha 2020 kiondoke… Usifanye chochote bila kuwaandikia barua hiyo ili warekebishe na mkubaliane, maana ukifile tu na hiyo penalty ikajipiga basi utakua ushakuza mambo.. Kwa maelezo zaidi nicheki whatsapp au kawaida 0714499248
 
Hapo kuna barua unapaswa kuandika ili warekebishe efilling account yako na hiko kipengele cha 2020 kiondoke… Usifanye chochote bila kuwaandikia barua hiyo ili warekebishe na mkubaliane, maana ukifile tu na hiyo penalty ikajipiga basi utakua ushakuza mambo.. Kwa maelezo zaidi nicheki whatsapp au kawaida 0714499248
Nakupigia mkuu
 
Habari Mkuu na mm nimefungua Kampuni Sasa nataka kuongeza jina la biashara ingine ambayo nimefungua kupitia hii kampuni ya mwanzo yaan hii iwe tawi la kampuni Ile ya kwanza
 
Naomba mtu anisaidie kwenye ishu ya usajili kampuni, kule mwishoni kwenye share capital kumenishinda jinsi ya kujaza
 
Mdau, mie nataka kuongeza mwanahisa....imekuwa changamoto kidogo.

Nichek inbox tupeane kazi.

Asante.
 
Habari Mkuu na mm nimefungua Kampuni Sasa nataka kuongeza jina la biashara ingine ambayo nimefungua kupitia hii kampuni ya mwanzo yaan hii iwe tawi la kampuni Ile ya kwanza

Kwa yeyote mwenye uhitaji, maswali au kutaka ushauri kwa urahisi zaidi anicheki kwenye namba 0714499248
 
Hapana, Group of Companies ni kampuni moja ambayo inamiliki kampuni zingine.. Yaani unakuta shareholder wa kampuni ni kampuni nyengine, na hiyo kampuni inamiliki zaidi ya kampuni 1 ndio inakua Group of Companies
1. Je holding company inaweza miliki 100% ya hisa za subsidiary company fulani bila kuwa na mwanahisa mwingine? Nimeuliza hivi maana nilisikia kampuni inamilikiwa na shareholder wawili au zaidi.

2. Je kuna faida gani ya kufungua holding company katika angle ya kodi au iendeshaji kwa ujumla?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom