Umaarufu wa Lissu unaporomoka? Angalia umati aliohutubia jana Dar es salaam

Umaarufu wa Lissu unaporomoka? Angalia umati aliohutubia jana Dar es salaam

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Jana wakili msomi Tundi Antipas Mughwai Lissu alikuwa na ziara Dar es salaam katika maeneo ya Mbopo ambayo yana mgogoro kati ya wananchi na Shirika la Maendeleo Dar es salaam (DDC).

Mh. Lissu mwanzo wa hotuba yake aliwauliza wananchi waliofika kwamba, nyie ndio wakazi wa eneo hili pekee? Wengine wako wapi? Hii ni baada ya kuona wahudhuriaji wachache katika mkutano wake.

Siasa ni mawimbi, Sasa naona kwa upande wa Lissu, amefika hatua ya kupwa. Aachie chama kwa wengine.

Screenshot_20230703-144940.jpg
 
Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
 
Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...

..wengine wanaweza kuamini kwamba kelele ya Lissu, Shivji, Slaa, Lipumba, Mwabukusi, ndio zimeilazimisha serikali isaini miaka 30 badala ya 100 au milele.

..pia Ccm haikomi kufanya madudu hivyo kila unapodhani Lissu atakosa la kusema Ccm na serikali huboronga na kumpa Lissu ajenda.
 
Uyo lissu alipoteza mvuto tangu siku alio kubali kuunga mkono hoja ya ushoga wafuasi wengi walikimbia
 
Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Kwa hiyo wewe ndiyo unaijua zaidi agenda ya bandari? Unafikia kujipinda kwenye taarifa ya uongo hii?
Tunajua akuna nyie huwa hamkosekani, lakini msijitoe akili kiasi cha kuzikombeleza zote.
 
Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Wewe muuza ngada wa msoga tulia liss ni zwazwa mwenzako
 
Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Kukurupuka kuongea mambo ndo Jadi yake
 
Back
Top Bottom