MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Lissu tayari kisiasa kashapotezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, tena kupitia vyombo vya dola.Lissu tayari kisiasa kashapotezwa
Hawezi kudharaulika kama wanavyodharaulika ccmWaliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Afterall, Samia alitaka kumfunga Mbowe baada ya kelele za kina Lissu akalegea.....wengine wanaweza kuamini kwamba kelele ya Lissu, Shivji, Slaa, Lipumba, Mwabukusi, ndio zimeilazimisha serikali isaini miaka 30 badala ya 100 au milele.
..pia Ccm haikomi kufanya madudu hivyo kila unapodhani Lissu atakosa la kusema Ccm na serikali huboronga na kumpa Lissu ajenda.
Huyo jamaa na wenzie wapo kwenye 'uislam' hakuna kingine wanachoona kwenye mkataba zaidi ya 'uislam' nchi ina watu wa hovyo sana.Mbona jamaa ana hoja nzuri mkuu,tatizo ni kuelekeza wananchi?
Halafu ajabu ni jamaa mkongwe tu hapa JFHuyo jamaa na wenzie wapo kwenye 'uislam' hakuna kingine wanachoona kwenye mkataba zaidi ya 'uislam' nchi ina watu wa hovyo sana.
Kwahiyo hutaki mamako huyu anaupiga mwingi?Mgombea urais yeyote wa CHADEMA.
Kwanza Jana kulikuwa na kamvua piaHuna hoja
Hapana afande. 🥺🥺Wazazi wao wamekupa ruhusa kupost watoto wao?
Acha kupanic nimetaka ushaidi!Acha ubishi Muha wewe unapenda kutafuniwa kama mtoto wa ndege
Sasa nishakupa maelekezo ya kupata evidence nenda siwezi panic kizembeAcha kupanic nimetaka ushaidi!
Usipende kucoment bila kuwa na ushaidiSasa nishakupa maelekezo ya kupata evidence nenda siwezi panic kizembe
Sasa mkuu hakuwa anatetea aya kwasasa tz inasimama kama kipindi cha nyuma kumsikiliza?Usipende kucoment bila kuwa na ushaidi
Anasilizwa sana hata kwenye mtandao wa kijamii tuliokuwa mpitimbiSasa mkuu hakuwa anatetea aya kwasasa tz inasimama kama kipindi cha nyuma kumsikiliza?
Unajidanganya watz wengi hawapo mtandaoni sema unamsikiliza wewe mshamba kutoka singidaAnasilizwa sana hata kwenye mtandao wa kijamii tuliokuwa mpitimbi
Aisee mimi mjanja mjini toka kitambo wakati huo nilikuwa nasoma na mama yakoUnajidanganya watz wengi hawapo mtandaoni sema unamsikiliza wewe mshamba kutoka singida
Nenda kwenye jambo lake kwa miaka yote aliyo kuwa mbunge kafanya nini?
Mzee hapa mama yangu kafika vipi ongea na mimi acha swaga za kindeziAisee mimi mjanja mjini toka kitambo wakati huo nilikuwa nasoma na mama yako