Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Mbona jamaa ana hoja nzuri mkuu,tatizo ni kuelekeza wananchi?Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Aisee! Alio kubali?Uyo lissu alipoteza mvuto tangu siku alio kubali kuunga mkono hoja ya ushoga wafuasi wengi walikimbia
Asante sana bwashe kumjibu huyo mataga mwenzioSasa Mabwepande ulitegemea Nyomi kama la Manzese
Utumiage akili Wewe!
Samia na Lisu utamchagua nani?Acha upotoshaji, Wananchi walikuwani wengi zaidi ya hao.
[emoji116]
Mimi ni Mwanachadema.Samia na Lisu utamchagua nani?
Toa ushaidiUyo lissu alipoteza mvuto tangu siku alio kubali kuunga mkono hoja ya ushoga wafuasi wengi walikimbia
Kwa hiyo wewe ndiyo unaijua zaidi agenda ya bandari? Unafikia kujipinda kwenye taarifa ya uongo hii?Waliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Wewe muuza ngada wa msoga tulia liss ni zwazwa mwenzakoWaliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...
Acha ubishi Muha wewe unapenda kutafuniwa kama mtoto wa ndegeToa ushaidi
Unachagua nani sasa?Mimi ni Mwanachadema.
Unachagua nani
Kukurupuka kuongea mambo ndo Jadi yakeWaliompa ajenda ya Bandari ndo wamemuua kabisa kisiasa...
Soon HGA itakuja na miaka 30..
Atahama kutoka kusema mkataba WA milele kwenda miaka 30 mingi Sana....ataanza kudharaulika kuonekana anakurupuka kuongea vitu havijui...