Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Kusema ukweli jamaa sasa hivi sio kama alivyokuwa WCB hana tena yale makali licha ya kuwa anatoa nyimbo lakini promo yake ndogo sana na hainga nguvu hata wasanii wenzake hawampi sapoti kivile,inshort Mavoko wa WCB karudi hatua 75 nyuma....anyway waswahili tunasema bora kujiajiri kuliko kuajiriwa japokuwa wengi wengi tu kuna faida yake.