Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
- #41
Mchizi pupa papara,halafu dada ake alikua anazidi kumtia jeuri,sasa hivi kmuacha peke yakeJamaa kaporokoka sana. Yani huwezi amini hata nyimbo zake sizijui.
Na mimo ni msikilizaji mkubwa redio. Ina mana hazipigwi na haziombwi na watu.