talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,073
tatizo ni kwamba "je unaweza huko kujitawala mwenyewe?"Watu bwana.. Sasa mavoko angebaki wasafi mpaka lini???... na yeye anataka kuanzisha cha kwake.. sio kuwa chini ya mtu tena....tatizo wabongo tunapenda kutawaliwa sana badala ya kujiongoza wenyewe!!... [emoji125] [emoji125]