Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Hapana mkuu mi sina ndugu kabisasamahani una undugu na papaa mobimba mkuu....?
unauliza ndo nani huyo halafu unasema bado ana imba? ndio mana mnafungwa kwa kukosa timing za kujibu/kuuliza maswali mahakamaniNdo nani uyo..kwani bado ana imbaView attachment 973822
Ndio maana sijawa tapeli ...[emoji5]mambo ya mahakamani haya nihusuunauliza ndo nani huyo halafu unasema bado ana imba? ndio mana mnafungwa kwa kukosa timing za kujibu/kuuliza maswali mahakamani
mwanaume mpambanaji ni kawaida sana kwenda mahakamani/jela,ila hongera kama huko hakukuhusuNdio maana sijawa tapeli ...[emoji5]mambo ya mahakamani haya nihusu
Huwa anakula wale wanaosingizia foleni.Rich Mavoko sijawahi kuelewa anafanya nini.
Huwa anakula wale wanaosingizia foleni.
Halafu nammiss Dura hatariii.!!ππOoh ndiye mlaji.
Halafu nammiss Dura hatariii.!![emoji23][emoji23]
πππ Msarimie??Dura yupo ila kwa sasa anatafuta nguo za sikukuu.