Umaarufu wa Rich Mavoko umeporomoka sana


karudi nyuma, ataenda mbele

ulichofanya ni kurecord downfall yake, its normal katika maisha kupanda na kushuka mkuu

atapanda na wezele iko poa, na maadam unasema hana promo, basi atafanya


we need more talents na sio wcb wasafi tu


ladha zinatakiwa za mchele mbeya,.moroforo, bismat....

wcb haipendwi na kila mtu, na haitakaa itokee ikapendwa na kila mtu
 
ok
 
Tofauti miongini kwa tofauti tulizo nazo wanadamu nikuwa wapo wanaosamini zaidi vitu kulilo watu na wapo pia wanasamini zaidi utu kuliko kitu hivyo sikuzoze ukitaka wawili hawa waamini unachokiamini lazima mmoja wao utamuona sio muelewa kumbe ni wewe ndie hujaelewa.
 
Watu bwana.. Sasa mavoko angebaki wasafi mpaka lini???... na yeye anataka kuanzisha cha kwake.. sio kuwa chini ya mtu tena....tatizo wabongo tunapenda kutawaliwa sana badala ya kujiongoza wenyewe!!... 🏃 🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…