Umaarufu wa Tundu Lissu umezimwa ghafla na Zito kabwe Tayari ZITO amempiku. rasimi TUNDU LISU Tayari 2020 October Magufuli vs Zito CHADEMA out.

Umaarufu wa Tundu Lissu umezimwa ghafla na Zito kabwe Tayari ZITO amempiku. rasimi TUNDU LISU Tayari 2020 October Magufuli vs Zito CHADEMA out.

Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
Lisu hakamatiki wala CHADEMA acheni porojo nyumba ya kijani
 
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
Waruhusu Tume Huru,ili tuone ukweli wa hizi porojo zako.
 
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
Kama ni Wewe ndo unaye gawa umaarufu inawezekana kweli Lissu kashuka umaarufu lakini kama siyo Wewe unayegawa umaarufu ni ngumu sana Lissu kushuka umaarufu, ndo maana hata Wewe umemuandika hapa sababu Lissu ni maarufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
Kitu usichokijua ni kwamba Chadema ni Peoples.
 
Back
Top Bottom