Umafia katika Usajili: Simba SC yamsainisha Niyonzima kwa Mil.100 huku Yanga FC ikipigwa butwaa

Usajili wa Bongo kama wa kukomoana.
ni kukomoana tu hamna jingine
Ni kukomoana haswa maana fedha ya usajiri hai-reflect hali halisi ya mapato ya club...nadhani kuna haja ya kutunga sheria kwa hili suala la usajiri kama wenzetu yaani ela ya usajiri iambatane na source iwe ni mkopo ama mapato ya club lakini mwisho wa siku kwenye vitabu vya akaunti ionekane
 

Kweli kabisa umetoa wazo zuri sana naunga mkono!!!!!
 
Wameangaika na wangapi? Yanga miaka yote chuo chao cha soka ni Simba. Ila mwaka huu kwa vile ukata umepiga hodi
Shida ya Simba Koko ni mdomo wakati wa usajili, lakini tukifika uwanjani mnamshushia lawama Malinzi. Kwani Hamisi Kiiza si tuliwauzia sisi pia? Yuko wapi?

Sisi Tambwe wetu tunaye na anatupia mijibao na nyinyi ni mashahidi. Endeleeni kupiga mdomo, sisi tunaelekea ubingwa wa 28
 
Whats so special kwake
I wonder, manake hata pale yanga ni mara chache alikuwa akipata full time,mara nyingi hucheza na kutolewa au huingia akitokea bench.
Kamusoko anaweza kucheza sita,Ajib akashuka nane,Ngoma kumi,tisa Chirwa au Tambwe.
 
I wonder, manake hata pale yanga ni mara chache alikuwa akipata full time,mara nyingi hucheza na kutolewa au huingia akitokea bench.
Kamusoko anaweza kucheza sita,Ajib akashuka nane,Ngoma kumi,tisa Chirwa au Tambwe.
Haswaaa
 
Hizo hela zinazoandikwa huwa sio kweli kuna udalali unafanyika mkubwa sana na mchezaji anaambulia hela ndogo tu. Na kwa taarifa TRA wapo tayari kukata kodi ya kutosha kwenye hizo hela mnazodai mchezaji kalipwa. Bora kuacha kutangaza mapato ya MTU hovyohovyo kwa kutafuta sifa za kijinga.
 
Million 100 kwa Niyonzima ni hadithi ya kusadikika. Kwa hiyo hela ya sportpesa itaisha kwenye usajili tu?


TRA kachukueni kodi yetu huko! millioni mia tutapata kodi sii haba. jifunzeni kwa Ronaldo na Messi.
 
Simba wamemsaini nani kutoka yanga!?huyo niyonzima Mwenyewe Ni tetesi tu,yanga ndo huwa mnatabia zakukomoana kwenye mpira,Leo simba wamewafanya mlichokuwa mkifanya mnabaki kulialia tu..!!ajib si mkichukua!?tulieni basi.
Waambie hao yeboyebo wakifanya wao wana ona sawa tumejibu mapigo wanalalamika
 
Halafu usikute wamemsajili Haruna Lipumba nyie mnaita Haruna Niyonzima, manake hata Buswita tuliambiwa kamwaga wino msimbazi,ngoja tusubiri.
 
Waandishi wa bongo ni makanjanja mno

 
Kwa habari za michezo hizo za nipashe nizilezile kama za kwenye magazeti ya shigongo Niyonzima kahsamalizana na Yanga kitambo toka jumatano
 
Bonge la wazo na hili litafanya vilabu visijiendeshee kisasa zaid kwa kuuza jez na mambo mengine ikiwemo kutafuta wadhamin
 
Kwa habari za michezo hizo za nipashe nizilezile kama za kwenye magazeti ya shigongo Niyonzima kahsamalizana na Yanga kitambo toka jumatano
Endelea kujipa matumaini ila utafahamu hivi punde weka akiba ya maneno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…