Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
oooooh mzee mwenzangu acha utani bana...mbn tulioneshwa na risiti ya DHL kuwa rufaa ishafika?..hivi kwann wanatufanyia hivi hawa viongozi?au ndio kama alivyosema mwenyekiti Rage?Bora ingeenda lakini isifike. ......haikupelekwa kabisaaaaa wameingizwa mjin hao