Umafia katika Usajili: Simba SC yamsainisha Niyonzima kwa Mil.100 huku Yanga FC ikipigwa butwaa

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
I wonder, manake hata pale yanga ni mara chache alikuwa akipata full time,mara nyingi hucheza na kutolewa au huingia akitokea bench.
Kamusoko anaweza kucheza sita,Ajib akashuka nane,Ngoma kumi,tisa Chirwa au Tambwe.
 
Million 100 kwa Niyonzima ni hadithi ya kusadikika. Kwa hiyo hela ya sportpesa itaisha kwenye usajili tu?
Niyonzima amepewa m 80,kwa minajili hiyo pesa cmba wana uhakika ya kuirudisha siku ya bonanza lao la cmba day,lkn nguvu kubwa iliyotumika kumsajili huyu ni zuga tu kwa wanachama wao maana uchaguzi unakaribia,uongozi wa cmba uliopo ss ulijinadi ya kwamha utajenga uwanja wa bunju na wataiwezesha timu yao kuchukua ubingwa,ndani ya uongozi mpk ss hawajajenga uwanja hata wa mazoezi,na ubingwa hawajachukua,so ili warudi madarakani lzm wawafumbe macho jamaa zao kwa kuwapelekea niyonzima,na kwa hili kwa hawa jamaa zetu walivyo wepesi wa kudanganywa watawarudisha madarakani tena
 
Niyonzima kalipwa USD 70,000=tzs 156,000 na mshahara wa 6.7m tzs na simba
 
Wewe unao Uwanja? au hustahiki kuwa na uwanja mpaka kulaumu wenzako, maneno meeengi lakini pumba...Mchezaji mmoja tu povu limejaa Jangwa mzima ...This is Simba bhana
 
Kwanini simba in as ajili veterans .?
Wewe uko nchi gani? Inamaana chipukizi wote wale huwaoni?

Akina Yusuph Mlipili, Jamali Mwambeleko, Ally Shomari kutoka Mtibwa Sugar, Emmanuel Mseja kutoka Mbao FC,

Mbona, Mnawewesekaaa? This is Simba bhana

 
Mm story kama hiz uwa wa mwisho kuamini maana radio mbao nyingi uwa naamini napoona picha ya mchezaji akisaini na viongoz wa timu wanashuhudia
 
Domayo.Chuji.Ngasa kuondoka Yanga ..Yanga wamechukuwa kombe mara ngapi?ukiwa na jibu ...mchukueni Ngoma na Msuva ila warning tukutane May 2018 Cannavaro akinyanyua kwapa
Thubutuu.. Mna nguvu tena nyinyi, mmechoka sasa na subirini kurejea kwa zile TANO..[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] shubamit
 
Wewe unao Uwanja? au hustahiki kuwa na uwanja mpaka kulaumu wenzako, maneno meeengi lakini pumba...Mchezaji mmoja tu povu limejaa Jangwa mzima ...This is Simba bhana
Ubishani wako umefanania wavaa dera. Hakusema kuwa yeye ana uwanja, alisema kufuatia ahadi ya uongozi wa Simba. Tumia akili yako angalau mara moja kwa mwaka kuizuia isioze.

Niyonzima si mkubwa zaidi ya Yanga. Yanga ilikuwepo kabla ya Niyonzima na itaendelea kuwepo. Kumsajili mchezaji ni jambo la kwanza, lakini kupata unachotaka kutoka kwake ni jambo la pili. Yanga ina wachezaji wengi zaidi kutoka Simba, lakini hatujawahi kubana pua kama watoto wa kike...sisi tuko bize na kazi yetu ambayo ni KUCHUKUA MAKOMBE.
 
Acha upunguani wewe. Kwani Mwenyekiti wenu hawakuwahi kuahidi uwanja wa kisasa pale bwawani je umejengwa? Hifadhi Kumbukumbu wewe japo kidogo.. Aaagh, Nguvu nyingi akili kama Nyumbu.
 
Acha upunguani wewe. Kwani Mwenyekiti wenu hawakuwahi kuahidi uwanja wa kisasa pale bwawani je umejengwa? Hifadhi Kumbukumbu wewe japo kidogo.. Aaagh, Nguvu nyingi akili kama Nyumbu.
Anayetumia nguvu nyingi ni wewe unayebold maneno wakati hoja iko wazi. Kwani unadhani Rage alikosea aliposema wengi wenu MBUMBUMBU? Mmedanganywa kuwa FIFA watawapa ubingwa mkakaa kama misukule nmkisubiri, sasa picha limefika kikomo mnadanganywa kwa usajili wa Niyonzima...hata Hamisi Kiiza si alikuja kwa mbwembwe hizi hizi?

Kila la kheri Niyonzima, soka umeshapiga sasa ni wakati wa kula pensheni. Siku zote tutabadilishana vijana kwa vibabu, karibu Ajib...njoo upande ndege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…