Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Nimekuelewewa vzr mtoa mada japo wengine wanasema na mabosi wanawafanyia vibaya wadada wakazi lkn kuliko kutoa roho yakiumbe asiekua na hatia kwa makosa ya mama yake au baba yake kwa nini usiamue kuacha kazi tu ili mambo yasiwe mengi
 
Safi Mkuu
 
Pole kwa wafiwa. Pale unapotaka kumtumia mtoto wa miaka 13 amlee mtoto mwenzake hapo napo tabu. Wazazi tumekuwa busy kutafuta pesa maisha yako less.
Kwanini hiyo hela itafutwe na wazazi wote wawili huku nyumbani mkiacha watoto zenu na watu baki?kwani mnalisha kijiji?yaani muangalizi wa mwanao/wanao damu yako unamuagiza kwa simu kutoka mkoa ambao wewe haujawahi hata kufika?

Wanaofanya hivi huwa wanawaza kwa kutumia kiungo gani?eti maisha,kama ni maisha basi kwanini mwanaume aitwe baba kama hawezi kupambana kulea familia yake mpaka aache walelewe na watu baki?
 
Ni mabadiliko ya dunia. Kila anayefanya hivyo atakwambia anafanya hivyo kwa sababu wote wanatafuta pesa kwa maisha mazuri ya watoto wao, ikiwemo elimu, na future nzuri.
Pia siku hizi watoto wa kike wanasoma mpaka vyuoni, unadhani anafanya hivyo halafu aje akae nyumbani? Bila shaka ukioa msomi jua umeoa mfanyakazi.
 
Mimi ndiyo maana huwa napinga sana huu ujinga wa kuoa mke halafu muanze kuondoka wote alfajiri na kurudi usiku huku nyuma mkiacha familia ktk sintofahamu kubwa!

Hao watoto hata wakiwa salama,(unaporudi jioni huoni alipoumia) lakini huwa wana hatari ya kufanyishwa mambo machafu yatakayomuathiri kiafya na kiakili,Kenya hapo kuna house maid alionekana kwenye CCTV camera akimnyonyesha mtoto punani lake.
 
Ni kweli kabsa mkuu! tena unamuachia mtu ambaye hajui uchungu wa kuzaa wala kubeba mimba! Dah Punani?! Si uchafu huo sasa!
 
Mimi ni mpenzi wa familia zile za kizamani,ndo suluhisho.
Ila kwa kuwa mnapenda uzungu haya ndio matokeo yake.ukikaa na ndugu hata hausegirl hauna haja nae.
Endeleeni na uzungu wenu
Zamani hizi extended family zimetulea sana! Yaani unapata malezi ya Shangazi na wapwa hata bi mkubwa hakiwa hayupo nyumbani! tena kwa upendo mkubwa sana!
 
Nyege hizo zinawasumbua mpaka wanafanya mambo ya ajabu. Mnachukua wadogo sana na hawajui kinachowasibu.

Chukua mtu mzima ili awe anafanya kazi ya kumshughulikia mumeo au wanao wa kiume wakubwa. Ikibidi hata wa kike awashughulikie, wasisumbue watu.

Kama ni mwanamke unaeajiri madada wa kazi basi chukua dada ambae anayaweza mambo na wewe na yeye mue na siri, unamfndisha amshughulikie mumeo kwa malipo ya ziada wakati haupo, huku unajifanya kama hujui lolote.

Hayo ya juu nawaelekeza wale wasio koo za simba. Koo za Simba hatuna tatizo hilo, tunapewa wadada wa koo za simba wanakuja na wanafanyayote boila siri wala nini, anaweza kuja akaukalia na mama nyumbani ndio akamshikia kuulengesha.
 
Umezungumza jambo la msingi sana Mkuu!
 
Ni kweli Mkuu ila ni vyema ukaishi na dada wenye imani sawa na wewe!
Ni kweli. Lakini ni vyema pia muhusika alizie au utafute wa imani yako kabisa.

Vinginevyo wote wawili wewe na huyo dada wa kazi mnakua mnamuongopea Mungu kumuaminisha amekubali kwa hiari yake which is not true.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…