Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukipata fursa ya kuja kanda ya ziwa utajionea mbususu ya buku 2 na jeroBiashara kongwe hii duniani
Ndio maana nika kwambia vijana waendesha baiskeli wana angamia kwa ngono ya buku 2 na jero ..ngoja nita tembelea pia bakurutu na izo place ulizotaja then nitakuletea mrejeshoUyo mwenyeji wako pia bado hazijui chimbo Tembelea Isale Guest kwenye mikokoteni, kasonzo, Bakurutu, seif Hotel uko relini ni chimbo za watu wa hovyo kama hao waendesha Baiskeli kutoka Uko Bariadi
Hilo eneo kuna godown nyingi na kituo cha simba cement i think nilipitaga hapo siku moja nilikuta kondomu zilizotumika.kama laki 7 ivNi siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.
Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
Kama ni uninga sasa ww una comment nini ? Acha dharau kijana, hapa ni kutoa platform kwa hata wahusika TRC wenye eneo lile wachukue hatua kulimda eneo lile na kutokomeza iyo biashara hayo maeneoUnaanzisha uzi kueleza jinsi ulivyotembezwa na bwege mwenzio kuangalia ujinga?Hivi huwa mnatafakari vitu vya kuandika kweli?@#+%©π|
True nililiona godown tajwa hapoHilo eneo kuna godown nyingi na kituo cha simba cement i think nilipitaga hapo siku moja nilikuta kondomu zilizotumika.kama laki 7 iv
Nenda waswanu mzee pale wapo kibaoTupni chimbo za dodoma makso makuu ivi wale wamitaa ya kati mjin wamehamia wapi siku hizi
Nikiona ujinga nisikomenti?Huo utoto alikufundisha nani weye?Hebu tuliza kiuno watu waelekezwe kutoandika miujinga.Kama ni uninga sasa ww una comment nini ? Acha dharau kijana, hapa ni kutoa platform kwa hata wahusika TRC wenye eneo lile wachukue hatua kulimda eneo lile na kutokomeza iyo biashara hayo maeneo
Una nipa mashaka kijana sanaa na kauli zako na vimaneno vyako kama "tuliza kiuno" unawezaje kumtamkia mwanaume atulize kiuno ? ...mzima kweli ww ? Au ndio wale wale ma bwabwa ?Nikiona ujinga nisikomenti?Huo utoto alikufundisha nani weye?Hebu tuliza kiuno watu waelekezwe kutoandika miujinga.
Mpuuzi.Acha ujingaujinga.Bwabwa ni baba yako mzazi.Una nipa mashaka kijana sanaa na kauli zako na vimaneno vyako kama "tuliza kiuno" unawezaje kumtamkia mwanaume atulize kiuno ? ...mzima kweli ww ? Au ndio wale wale ma bwabwa ?
Ndio dawa yako kunguni ww, uwe una acha dharau za kujiona ww ni mtakatifu ..ni kheri uka kaa kimya tu na ujaribu kuheshimu uhuru wa watu wengine kutoa maoni yao ......siku nyingine ukiona uzi zangu upite kimya kimya .... Kijana sio riziki ww na vimi saniati vyako vya kike kike....kama unajielewa vizuri sidhani kama upo sahihi kuignore kundi la FSW (female sex worker) ukizingatia hawa ndio kundi kubwa ambalo linachochea ongezeko la HIV kwa 36% lkn pia kwa takwimu za NACP takriban 36000 ya maambukizi mapya ya HIV huchangiwa na wanawake .... Sijui kama ww una fahamu izi mambo zaidi ya kuishia kudharau watu ....Mpuuzi.Acha ujingaujinga.Bwabwa ni baba yako mzazi.
Misamiati ya kike?Uliona ina papuchi hiyo misamiati?Muwe mnaangalia vya kuandika ngedere ninyi!Siyo kila miujinga unaileta JF kama mitoto ya jalalani.Unaandikaandika miujinga kama huna kichwa.Andika vitu vya maana.Stupid!Ndio dawa yako kunguni ww, uwe una acha dharau za kujiona ww ni mtakatifu ..ni kheri uka kaa kimya tu na ujaribu kuheshimu uhuru wa watu wengine kutoa maoni yao ......siku nyingine ukiona uzi zangu upite kimya kimya .... Kijana sio riziki ww na vimi saniati vyako vya kike kike
Ukikuwa utaacha ujinga sio kosa lako ni hatua tu makuzi unazo pitiaMisamiati ya kike?Uliona ina papuchi hiyo misamiati?Muwe mnaangalia vya kuandika ngedere ninyi!Siyo kila miujinga unaileta JF kama mitoto ya jalalani.Unaandikaandika miujinga kama huna kichwa.Andika vitu vya maana.Stupid!
Si ni kama western tv stations tu ushawahi kuona BBC world wakionyeaha mazuri ya Africa au Al jazeera wakionyesha mazuri ya Africa ...lkn pia issue niliyo leta ni mpya sana kwangu binafsi kuona malaya wakijiuza kwa buku 2 na jeroAkili za mwenyeji wako na wewe zinaendana!
Kweli kukaonesha mgeni Mambo mazuri .....alikosa mambo mabaya ya kukuonesha
Waswanu si wanajifanya matawi pale bei ndefuuu...Nenda waswanu mzee pale wapo kibao
Mimi nilikua Kakola 2000 wakati KMCL inaanza anza. Kipindi kile KMCL inalipa mshahara kiwango Cha kimataifa kabla wanasiasa wetu kuwatonya kwamba mnalipa wabongo pesa nyingi mtawaharibu.Mkuu acha uongooo, niko kakola hapa marumba nakunywa pepsi, sijawahi kuona unachosema nina miezi nane hapa keko town, leta location nikaone unayosema...au maeneo ya half london, anu kilo time au kwa mama ray hahahha