Umalaya Shinyanga ni hatari

Umalaya Shinyanga ni hatari

Wanawake wanaojiuza huwa wako kama vichaa mkorogo umedunda halafu wako Wa.....fu sana
Waliokubuhu ukiwaona hata bila kuambiwa unajua kahaba hii ni kahaba. Hawa ni hasa wale namba B na C kwa mbali maana maisha yao yote wanategemea hiyo kazi na hawafanyi service kwa wakati ndio maana wanachoka, yaani hawa ni tupa geuka.

Kuna kahaba nyingine namba E na D huwezi kujua. Kwanza zinakuwa na fremu ya biashara halali ya kuzugia ambayo hata hesabu zake ukikagua zinakuwa na utata au hazina uhalisia.
Kwamba mkaguzi akipitia hesabu za biashara yake, anapa hati chafu.

Aina hii ya kahaba ukiipata mkakubaliana bei linaweza kukupeleka lodge na gari lake.
 
Hivi ujue uhatari wachaya mambo ovu ya kijamii ni batili.

Yaani uhatari unatokana na mdau wa hayo mambo.

Yaani punga atasema nchi imeoza mapunga ni wengi, mnunua dada poa atasema nchi imeoza kila kona kijiwe cha dada poa.
Wapo ila sio hatari ya kuhatarisha usalama wa wasiowahusika.
 
Bakurutu ni kubwaa,;!!!
Haina ukubwa mkuu. Hilo eneo usiku wanapita wadada Wana mishepu ya haja. Yani ni kutoka maudenda tuuuu... Na huko ugonjwa wa kunuka haujafika.

Mkuu wewe ni kibopile nn? Ina mana hata boda hapo umeshindwa kumuuliza akakupa chimbo?
 
Back
Top Bottom