Omega.Omega
Member
- Jun 29, 2009
- 60
- 0
teh teh isikomeshwe bana
mhhh,Ni kwa sababu there is a demand for such a market! Kama watu wanataka biashara hiyo lazima itokee supply. this is why kwenye niji midogo bado hamna hiyo biashara sana, its because the demand is low.
Nadhani pia ni biashara.umalaya ni tabia ya mtu wajameni!!!.
Hii ndio biashara ya zamani kuliko zotee...
The oldest ''profession'' in the World...!!
usiniambie ni 'profession'!!!! yafunziwa wapi vile?? or its just acquired?
teh teh isikomeshwe bana
Haifundishwi darasani, ni kama Urais wa nchi, hakuna shule inayotoa kozi au digrii ya Urais, lakini duniani hii marais tunao wa kumwaga!
BTW: How are you today!?
mmmh so mtu kama ana passion na hiyo anaweza tu kujitwalia maujuzi na akaendelea....gotch u!!!
Am gud jamani and u?? hiyo likizo ndo inakuadimisha hivo??? haya bana!!
Hapana wala sio likizo, ni kazi tu...!!! Una maanisha ile likizo yetu ya ma-stress au? π
stress-free vaccation hheeeeeeee!!!
Okay! Stress free likizo iko bomba sana.....!!! Ila nime miss vi shopping vidogo vidogo
ulikuwa unafanyiwa vijishopping???