Umalaya

Umalaya

Omega.Omega

Member
Joined
Jun 29, 2009
Posts
60
Reaction score
0
Jamani umalaya umeshamiri sana katika miji mikubwa ya nchi za afrika mashariki.
Hivi hii imekuwa ni biashara katika soko huri?
Hivi ni nini sababu ya biashara hii ya umalaya?
KENYA. UGANDA, na TANZNIA.
Ikomeshweje?
 
Tangu zamani umalaya ulikuwepo. Sasa ukisema sasa umezidi sijui unatkwimu zipi (rates za zamani na za leo). Haya mambo yapo tu. Malaya nao wanahitaji kuburudika na kupata mapenzi, otherwise tutaongeza lesbians and gays!
Lakini I don't support penzi kwa fedha (umalaya) kama kuna jinsi ya kuondosha kabisa ingekuwa vizuri. Lakini kwa sasa hata yale ambayo jamii inaona kuwa ni laana kama vile ndoa za jinsia moja zimeongezaka kwa kasi sana. Mungu anusuru waja wake! Mungu tunusur watu wako.
 
Ni kwa sababu there is a demand for such a market! Kama watu wanataka biashara hiyo lazima itokee supply. this is why kwenye niji midogo bado hamna hiyo biashara sana, its because the demand is low.
 
Ni kwa sababu there is a demand for such a market! Kama watu wanataka biashara hiyo lazima itokee supply. this is why kwenye niji midogo bado hamna hiyo biashara sana, its because the demand is low.
mhhh,
Wateja kumbe ni wengi?
 
umalaya ni tabia ya mtu wajameni!!!.
 
umalaya ni tabia ya mtu wajameni!!!.
Nadhani pia ni biashara.

Ona wanavyopata pesa.
money-tucked-woman_~gws78431091.jpg
 
usiniambie ni 'profession'!!!! yafunziwa wapi vile?? or its just acquired?

Haifundishwi darasani, ni kama Urais wa nchi, hakuna shule inayotoa kozi au digrii ya Urais, lakini duniani hii marais tunao wa kumwaga!

BTW: How are you today!?
 
teh teh isikomeshwe bana

yep mkuu,

isikomeshwe. inasaidia sana hasa watu wasio na fedha za kutosha. unaingia market unabargain unapata cha chapchap, satisfied, home kulala.

after all ni burdani kabambe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haifundishwi darasani, ni kama Urais wa nchi, hakuna shule inayotoa kozi au digrii ya Urais, lakini duniani hii marais tunao wa kumwaga!

BTW: How are you today!?

mmmh so mtu kama ana passion na hiyo anaweza tu kujitwalia maujuzi na akaendelea....gotch u!!!

Am gud jamani and u?? hiyo likizo ndo inakuadimisha hivo??? haya bana!!
 
mmmh so mtu kama ana passion na hiyo anaweza tu kujitwalia maujuzi na akaendelea....gotch u!!!

Am gud jamani and u?? hiyo likizo ndo inakuadimisha hivo??? haya bana!!

Hapana wala sio likizo, ni kazi tu...!!! Una maanisha ile likizo yetu ya ma-stress au? 🙂
 
Wadada wanatuhudumia wewe unasema umalaya?? nenda uarabuni ukaishi huko ndo utajua maana ya hawa mabinti.
 
Back
Top Bottom