Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok kama unazungumzia utajiri wa ukoo sawa.Umenielewa vyema mtoa mada !?? Amesema kwamba Kama umezaliwa katika Koo masikini halafu katika ukoo wenu mliofanikiwa kuwa na uchumi mkubwa mkiwa wawili halafu wale masikini wakiwa Ni wa 5 hiyo I nakufanya uendelee kubaki kuwa unatoka katika family ya kimasikini Yaani ukwasi wako ulionao haiwezi kukusafisha na kukufanya uonekane unatoka katika family tajiri
Binafsi nimemuelewa sana mleta thread
Serikali impe ulinzi haraka Sana
Ok kama unazungumzia utajiri wa ukoo sawa.
Vipi kama umezaliwa na moja kati ya watu expectional, ambayo kwenye ukoo ndio wamebahatika kuwa na vihela wakati wengine waliobaki njaa kali, sasa hapo utahesabika umetoka familia tajiri au maskini?
Ukiwa unatoka familia masikini, ukafanikiwa kidogo, ukitaka kuinua ndugu deal na watoto wao usideal na hao ndugu wenyewe. Watoto ndio catalyst ya mabadiliko. Ukideal na ndugu zako waliokuzidi watazidi tu kukunyonya ila watoto wakikaa poa ni rahisi kubadili maisha yao baadae.....
Pambana na hali yako mzee Baba.Kwa huu msoto itabidi niulize Baba na Mama walikosea wapi kuchanganya.
Sawa mkuu inabidi hamna namna.Pambana na hali yako mzee Baba.
Hahhahaha kwa hiyo unaamini jf hakuna matajiriNa vipi hawa wanaotafuta wapenzi kwenye Mitandao hasa hapa JF, Watapata kweli Matajiri? Humu Jf kuna Matajiri kweli
Ukiamua kurithi lazima uwe maskini ila ukiamua kutokuurithi utakuwa tajiri mzuri tu aliyetokea familia ya kimaskini.