Umasikini hurithiwa; masikini huzaa masikini

Umasikini hurithiwa; masikini huzaa masikini

Zamani kabla ya kutembelea duniani na kuona ya walimwengu nilikuwa nadhani mtu akishakuwa na sehemu ya kulala, chakula na vinywaji na pengine gari na fedha za akiba, basi huyo atakuwa ni mtu mwenye mafanikio na furaha tele. Kila niliposikia wazungu wakisema ''important thing is to be happy'' nilikuwa nadhani ukishakuwa na hayo niliyosema ni lazima uwe ''happy''. Sasa hivi nina mawazo tofauti kabisa baada ya kuona kumbe unaweza kuwa na yote hayo lakini usiwe ''happy'' na mtu anaweza kuwa anaishi kwa shida lakini akawa ''happy''
Je furaha itaweza maliza matatizo yako au kufanya uishi vizuri?

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Umasikini ni takataka

Hakuna ufahari wowote ule kwenye umasikini, kabla hatujaendelea jua hilo.

Umasikini ni wimbi linalobeba takataka nyingi ndani yake
1)Njaa
2)magonjwa
3)kudhalilika
4)Elimu duni
5)makazi duni
6)mavazi duni
7)

Kuna vitu vingi vinavyosababisha mtu asiwe na furaha most of them ni vitu vibaya na vitu vingi vi

Hakika Umenena

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna umaskini wa mali.
Umaskini wa akili.
Umaskini wa roho.

Katika maisha hakuna kitu muhimu kama amani ya rohoni na moyoni. Kulala usingizi bila kushtukashtuka. Na maskini wengi hatuna usingizi wa mang'amung'amu.

Everyday is Saturday............................... 😎
Usije moyo, Umasikini ni Umasikini tu roho hatuijui ila ukiishi bandani twajua
Hakuna Umasikini wa Akili

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Exceptional kwa sehemu kubwa huzaa exceptional kutegemea na mke au mume wapoje.


Kibiblia watu Exceptional ni kama Nuhu wakati wengine wakifanya maasi yeye alikuwa mcha Mungu, akapata kibali akapewa mission ya kutengeneza Safina.

Mwingine ni Ibrahimu, Ibrahimu mwana wa Tera, wakati wengine wakiabudu miungu yeye alipata akili ya kuabudu Mungu wa Mbinguni.

Mwingine ni Mfalme Daudi, huyu ametoka familia masikini ya kifugaji lakini baadaye akawa exceptional akawa mfalme. Shida ya Daudi ipo kwenye suala la ndoa ambapo joto ya jiwe aliionja kutokana na kuzaa na wake wengi

Ukiwa Exceptional jitahidi uoe/kuolewa na exceptional mwenzako au mwenye asili ya utajiri

Exceptional jina jingine unaweza kuwaita Next level,
Mkuu samahani, ukiongelea umasikini na kuhusisha familia ya wakulima/wafugaji unamaanisha nn hasa?

mtu yupo kijijini ananyumba ya kawaida, analima labda ekari 50. Anang'ombe 70 kwa ujumla anamiliki ukwasi wa tsh. 80ml. Huyu ndo maskini unaemwongelea?

Mwingine yupo mjini ananyumba ya kwaida, ana gari mbili za kutembelea na anabiashara kwa ujumla anamiliki ukwasi wa tsh. 70ml. Huyu ndo tajiri unaemwongelea?

Bakhresa akimwangalia anaemiliki biashara ya 300ml. Ni wazi atamwona bado ni masikini saana!
Lakini mtaani kwa mfanyabiashara huyo anajulikana kama tajiri!

Tumetoka kwenye umaskini tupo kwenye uchumi wa kati kama nchi. Hii ni kwa kipimo cha matumizi ya siku 1 kwa mtu.

Dhana ya utajiri na umaskini labda ungeainisha kwamba mtu anaeweza kutumia sh. Ngapi kwa siku ndo maskini au tajiri huenda ungeeleweka vzr.
 
Mtoa mada umeongea ukweli 100% lakini sikubaliani na solutions namba moja uliyotoa, hiyo ya kuchanganya damu, nadhani tunatakiwa tutafute suluhisho lingine lenye uhalisia kuliko hili, ni ngumu sana kuwa applicable, unless ndio uwe wale uliowaita exeptional. Nasema hivi kwa sababu kuchanganya damu na watu wenye asili ya utajiri sio kitu kirahisi, sababu hata wao hawataki kuchanganya damu zao na watu wenye asili za umasikini, tena hasa kwa sasa,angalau kwa zamani kulikuwa na zile cinderella stories, kwamba mwana masikini kaolewa na mwana mfalme. Kwa sasa ni almost impossible ... Sasa kuliko kuendelea kuikumbatia hii suluhisho yafaa watu watafute suluhisho ambalo ni applicable kama hiyo namba mbili uliyoitoa na zingine na zingine.

Huu ni mjadala mkubwa sana among people of colour, na inaaminika kuwa mtu mweusi akifanikiwa anatakiwa afanikiwe kwa asilimia kubwa sana ili aweze kumaintain, akifanikiwa kidogo ni rahisi kuvutwa chini kwa kile wanachokiita "Black tax", kwamba wewe umetokea ukoo masikini, ukifanikiwa kidogo inabidi uanze kuhangaika na masikini wenzako ili nao angalau wanyanyuke, mwishowe mnajikuta mmeanguka wote.

Mimi naunga mkono suluhisho namba mbili uliyoitoa, kwasababu naamini mtu mweusi kufanikiwa inatakiwa juhudi collectively, sio suala la individuals, hivyo kwa kubadili "Imani na mitazamo labda tunaweza kupiga hatua". Nimelipenda swali la aliyeuliza je kuhusu umasikini wa nchi, tunafanyeje? au nchi hizi ndio zitaendelea kubaki hivyo hivyo?

Otherwise, Mimi nimezaliwa na exceptional naamini hadi nifike sehemu fulani nitajikuta exceptional. Tuendelee kukaza wandugu.
 
Sometimes tazama tu akili na upeo wa mtu. Unaweza kwenda jimix na watu wenye pesa mambo yakawa sio mambo.

Pesa zinatafutwa ila make sure kabla haujaanza zitafuta upate mtu ambaye anachukia umasikini kuliko kitu chochote na hana tamaa za kipuuzi.
His/her desire to get money should be next to yours.
 
Mr robert unajichanganya,mala tajiri anaamini mafanikio ni kwa akili zake mwenyewe,mala tena unasema inabidi uchanganye damu,maana ake swala la kijenitiki halipo tena,ukweli sijui uko wapi?
 
Back
Top Bottom