bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Umasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.