Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

We jamaa, umaskini ni tatizo la jamii nzima. Wew unalizungumzia ngazi ya mtu mmoja mmoja hivi uko siriaz kweli?. Ina mana watu wote tukiwa na akili maskini hatakiwepo?
Kwa sababu jamii imeshindwa kutafuta maarifa ya majibu ya matatizo Yao mfano makazi hali udongo upo,maji safi hali mkaa upo,lishe Bora hali mimea ipo,maji Hali umande upo,nishati mfano mafuta Hali taka zipo mimea ipo,utapiamlo Hali mlonge upo,sabuni Hali mbegu zipo,nk
 
Nanauka ana utajiri kias gan
Sema mimi sasahivi sitamsikiliza motivation speaker yeyote zaidi ya Cristiano Ronaldo, Kobe Bryant, na Warren Buffett.

Motivation speakers wengi ni dealers, wanatafuta hela kupitia makongamano na kuuza vitabu. Unakuta mtu kaandika "Siri za utajiri" alafu yeye sio tajiri.
 
walau yeye namuona kwenye mazingira mazuri kiasi anakutana na watu wakubwa na vitu kama hivyo, japo naye ndo walewale ila sio hawa wengine tuliokutana nao mashuleni, vyuoni na sehemu zingine...hali zao ni mbaya sana
Maana yake walisoma makapi vitu visivyowaasaidia
 
Sema mimi sasahivi sitamsikiliza motivation speaker yeyote zaidi ya Cristiano Ronaldo, Kobe Bryant, na Warren Buffett.

Motivation speakers wengi ni dealers, wanatafuta hela kupitia makongamano na kuuza vitabu. Unakuta mtu kaandika "Siri za utajiri" alafu yeye sio tajiri.
Kakupa mbinu za kufanikiwa
 
Sema mimi sasahivi sitamsikiliza motivation speaker yeyote zaidi ya Cristiano Ronaldo, Kobe Bryant, na Warren Buffett.

Motivation speakers wengi ni dealers, wanatafuta hela kupitia makongamano na kuuza vitabu. Unakuta mtu kaandika "Siri za utajiri" alafu yeye sio tajiri.
Upo kama mimi mkuu...., wengi wanafundisha vitu ambavyo wenyewe wameshindwa kuvifanyia kazi😃😃
 
Wacha nicheke.

Nchi imekuwa ngumu sana hii. So wao mafanikio yao ni cheti?
Mwenyewe nachekaga sana maana kwa dunia hii ilipofikia mtu huna hela utasema umefanikiwa nini?😃😃...ila sema nini, nimegundua pia maisha haya saizi hayahitaji userious, ujuaji wala kukariri. We have to dance kuendana na tune na kudeal na fursa zilizopo upande wako, ukisema ufuatishe watu unapotea maana kila mtu ana njia zake alizopita hadi akafanikiwa na sio zote anaweza akazisimulia watu mjue😊😊
 
Mwenyewe nachekaga sana maana kwa dunia hii ilipofikia mtu huna hela utasema umefanikiwa nini?😃😃...ila sema nini, nimegundua pia maisha haya saizi hayahitaji userious, ujuaji wala kukariri. We have to dance kuendana na tune na kudeal na fursa zilizopo upande wako, ukisema ufuatishe watu unapotea maana kila mtu ana njia zake alizopita hadi akafanikiwa na sio zote anaweza akazisimulia watu mjue😊😊
Uko sahihi sana, inahitaji mtu uwe open-minded, ila matajiri watupe hizo Siri hata kwa mafumbo.
 
Uko sahihi sana, inahitaji mtu uwe open-minded, ila matajiri watupe hizo Siri hata kwa mafumbo.
Kwamfano Mtu awezi akakupa siri kwamba maybe alianza kuhujumu mali kampuni flani aliyoanza kufanya kazi ndo akafungua yake......lakini atakuambia tu nilianza kuuza maji na juice nikafata hiki na kile hadi nikafungua kampuni yangu namimi ya kusambaza nini nini...kwahiyo ndo iko hivyo my friend, kila mtu anatakiwa ajiongeze kwenye mazingira aliyopo ajue kuna fursa gani na gani...
 
Kwamfano Mtu awezi akakupa siri kwamba maybe alianza kuhujumu mali kampuni flani aliyoanza kufanya kazi ndo akafungua yake......lakini atakuambia tu nilianza kuuza maji na juice nikafata hiki na kile hadi nikafungua kampuni yangu namimi ya kusambaza nini nini...kwahiyo ndo iko hivyo my friend, kila mtu anatakiwa ajiongeze kwenye mazingira aliyopo ajue kuna fursa gani na gani...
Kweli watu wana Siri mno hasahasa wale wa TRA na wa Bandari. Kule ni rushwa na wizi.
 
Kwamfano Mtu awezi akakupa siri kwamba maybe alianza kuhujumu mali kampuni flani aliyoanza kufanya kazi ndo akafungua yake......lakini atakuambia tu nilianza kuuza maji na juice nikafata hiki na kile hadi nikafungua kampuni yangu namimi ya kusambaza nini nini...kwahiyo ndo iko hivyo my friend, kila mtu anatakiwa ajiongeze kwenye mazingira aliyopo ajue kuna fursa gani na gani...
Wengine wanaenda hadi kwenye nguvu za giza kusaka utajiri na wanafanikiwa, unakuta biashara Iko wakawaka kumbe ni hatari.

Sema ukitaka ubaki kwenye utajiri wako lazima uwe msiri.
 
Back
Top Bottom