Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Sio kweli huwezi kuwa huna mtaji ukapa hela mala nyingi kila mwenye hili udhaminiwe uwe na kitu,ila hii kauli ya kusema heti masikini ni laani ni kutojua nini maana ya neno laana na neno masikini hiwe iwavyo masikini lazima wawepo tu hata huko mnakopaamini masikini wapo
Kwako mtaji ni. Nini
 
Umasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.

Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.

Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.

umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.

Mtaji ni 4H
1.Head
2.Health
3.Hand
4.Heart

umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini,kutokuwa elimu Sio kisingizio Cha kuwa masikini.
Umeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.

Mbora kati yetu kwa Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu, siyo umasikini au utajiri wetu.

Neno masikini ni la kibinafsi "subjective", umasikini kwa mmoja siyo umasikini kwa mwengine. Unaweza kuwa tajiri wa mali lakini masikini wa afya.

Jirekebishe kauli zako
 
Umeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.

Mbora kati yetu kwa Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu, diyo umasikini au utajiri wetu.

Neno masikini ni la kibinafsi "subjective", umasikini kwa mmoja siyo umasikini kwa mwengine. Unaweza kuwa tajiri wa mali lakini masikini wa afya.

Jirekebishe kauli zako
Kweli kabisa ila nahisi jamaa akielezea kwenye nyuzi zake za chini kuhusu utajiri wa afya pia, na pia kuna utajiri wa maarifa na hekima.
 
Kwanza kwa kupitia knowledge, wanajifunza vitu vingi kuhusu vitu wanavotaka kuvifanya, jinsi gani ya kuzipata na mbinu za kutumika kuzipata eidha kuwa na ushirikiano na Serikali ama taasisi au kufanya illegal acts .
Tajiri ni pale ambapo 'asset' zake zinakuwa zinahitajika na jamii, na ile kuhitajika kwake anakuwa anapata pesa (mapato), huyo ndio tajiri; kama 'asset' zake hazihitajiki na jamii, huyo sio tajiri bali ni mtu aliye jilimbikizia mali.
Matajiri dunia hii ni wachache sana, rejea 'Forbes'​
 
Tajiri ni pale ambapo 'asset' zake zinakuwa zinahitajika na jamii, na ile kuhitajika kwake anakuwa anapata pesa (mapato), huyo ndio tajiri; kama 'asset' zake hazihitajiki na jamii, huyo sio tajiri bali ni mtu aliye jilimbikizia mali.
Matajiri dunia hii ni wachache sana, rejea 'Forbes'​
Anhaa.
Assets gani haihitajiki Kwenye jamii?
 
Back
Top Bottom