Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nini maana ya tajiri?Aisee 😃😃😃🧐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya tajiri?Aisee 😃😃😃🧐
Ana assets ambazo asilimia kubwa hawana.Unavyosema fulani ni tajiri, unamaanisha nini?
Kama nini?Ana assets ambazo asilimia kubwa hawana.
Case studyAvoid kusikiloza motivation speakers hasa wa Tanzania, utanishukuru baadae.
Masikini ni mtu anayeishi chini ya dollar 1 kwa sikukwenye mfumo wa kibepari(capitalism) lazima maskini wawepo.... lazima kuwe na 'working class'
sasa visababishi vyake sijui, ila ni lazima.
Assets inaweza kuwa pesa, madini kama dhahabu(mgodi ), mafuta kama waarabu na pia asset kubwa kuliko zote, knowledge.Kama nini?
Dollar moja 2500 saahizi.Masikini ni mtu anayeishi chini ya dollar 1 kwa siku
Kabisa ni Siri.utajiri ni siri
Na hizo Assets wanazipataje?Assets inaweza kuwa pesa, madini kama dhahabu(mgodi ), mafuta kama waarabu na pia asset kubwa kuliko zote, knowledge.
Kwako mtaji ni. NiniSio kweli huwezi kuwa huna mtaji ukapa hela mala nyingi kila mwenye hili udhaminiwe uwe na kitu,ila hii kauli ya kusema heti masikini ni laani ni kutojua nini maana ya neno laana na neno masikini hiwe iwavyo masikini lazima wawepo tu hata huko mnakopaamini masikini wapo
Naomba anijibie Division OneNini maana ya tajiri?
Sawa, anakuja kutoa majibuNaomba anijibie Division One
Na hizo Assets wanazipataje?
Kwanza kwa kupitia knowledge, wanajifunza vitu vingi kuhusu vitu wanavotaka kuvifanya, jinsi gani ya kuzipata na mbinu za kutumika kuzipata eidha kuwa na ushirikiano na Serikali ama taasisi au kufanya illegal acts .Na hizo Assets wanazipataje?
Umeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.Umasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1.Head
2.Health
3.Hand
4.Heart
umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini,kutokuwa elimu Sio kisingizio Cha kuwa masikini.
Kweli kabisa ila nahisi jamaa akielezea kwenye nyuzi zake za chini kuhusu utajiri wa afya pia, na pia kuna utajiri wa maarifa na hekima.Umeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.
Mbora kati yetu kwa Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu, diyo umasikini au utajiri wetu.
Neno masikini ni la kibinafsi "subjective", umasikini kwa mmoja siyo umasikini kwa mwengine. Unaweza kuwa tajiri wa mali lakini masikini wa afya.
Jirekebishe kauli zako
Kwanza kwa kupitia knowledge, wanajifunza vitu vingi kuhusu vitu wanavotaka kuvifanya, jinsi gani ya kuzipata na mbinu za kutumika kuzipata eidha kuwa na ushirikiano na Serikali ama taasisi au kufanya illegal acts .
Anhaa.Tajiri ni pale ambapo 'asset' zake zinakuwa zinahitajika na jamii, na ile kuhitajika kwake anakuwa anapata pesa (mapato), huyo ndio tajiri; kama 'asset' zake hazihitajiki na jamii, huyo sio tajiri bali ni mtu aliye jilimbikizia mali.
Matajiri dunia hii ni wachache sana, rejea 'Forbes'