RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Mbona Black Americans matajiri wapo? Achana na wanamuziki, Kuna wanaofanya stocks investing na trading kama msichana mmoja anaitwa Lauren kama sijakosea.Kumbuka Rangi Yao pia imewabeba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Black Americans matajiri wapo? Achana na wanamuziki, Kuna wanaofanya stocks investing na trading kama msichana mmoja anaitwa Lauren kama sijakosea.Kumbuka Rangi Yao pia imewabeba...
Sasa hivi ungekuwa unazunguka zunguka kwenye mwambao wa bahari, kuangalia wapi utasimika mtambo wako wa kuchimba mafuta, ila kwa sababu nyota ya utajiri huna, upo hapa jf tukijifunza nadharia ya kuwa tajiri 😀Nyota ya utajiri ndo nini?
Siamini kuhusu nyota mkuu, ni mambo ambayo hayapo. Ni knowledge, juhudi na nidhamu.
Ten to thirty years to come value ya mafuta yatakuwa kama value ya maji.Sasa hivi ungekuwa unazunguka zunguka kwenye mwambao wa bahari, kuangalia wapi utasimika mtambo wako wa kuchimba mafuta, ila kwa sababu nyota ya utajiri huna, upo hapa jf tukijifunza nadharia ya kuwa tajiri 😀
Siyo yota tu, hata fikra za utajiri hana.Mpaka hapo, huna nyota ya utajiri
Unaizungushaje pesa ikiwa huna muda wa kusimamia biashara wala investments?Siyo yota tu, hata fikra za utajiri hana.
Hakuna mtafutaji wa pesa anayeweka pesa "savings", pesa ni lazima izunguke ili utajirike, hata iwe kidogo vipi.
Watafutaji wa pesa hawaajiriwi hata kidogo. Wanaoajiriwa ni wale wenye pesa za urithi.Unaizungushaje pesa ikiwa huna muda wa kusimamia biashara wala investments?
Kumbuka huongei na mtu ambaye anavuna $5000 kwa mwezi , mishahara ya wabongo mnaijua na hapo hujajumlisha na expenses.
Savings na research haiepukiki, sio leo unasikia mtu anakuambia, buy dogecoin alafu hujafuatilia kuwa Benki Kuu ya Marekani hai-cut interest rates, unaingia kichwa kichwa unakula hasara
Sawa.Watafutaji wa esa hawaajiriwi hata kidogo. Wanaoajiriwa ni wale wenye [esa za urithi.
Unatakiwa uingie mtaani kuzungusha hata elfu moja moja kwa kuuza karanga, ndipo utapopata kutengeneza pesa.
katazame story za watu waliojitengenezea pesa wenyewe kama vile Bakhresa.
Kafute kauli yako kuwa "umasikini ni laana" au siyo wewe uliyeandika hivyo?Sawa.
Sio mimi.Kafute kauli yako kuwa "umasikini ni laana" au siyo wewe uliyeandika hivyo?
Mbadala wake utakuwa ni nini?Ten to thirty years to come value ya mafuta yatakuwa kama value ya maji.
Gold is everything.
Inategemeana na upande.Mbadala wake utakuwa ni nini?
Kuna nchi sasa hivi maji ya kunywa ni ghali bei zinakaribiana na mafutaTen to thirty years to come value ya mafuta yatakuwa kama value ya maji.
Gold is everything.
Nchi gani hiyo, sijaifatilia?Kuna nchi sasa hivi maji ya kunywa ni ghali kuliko mafuta
Tafsiri ya kidini hiiWowote ule, umasikini siyo laana, ni matokeo tu, tajiri wa leo anaweza kuwa masikini wa kesho, masikini wa leo anaweza kuwa tajiri wa kesho.
Hakuna ujanja wala ujinga kwenye umasikini na utajiri.
Hakuna aliyezaliwa na kipato na hakuna atakayeondoka nacho.
TuexportNchi gani hiyo, sijaifatilia?
Nakumbuka Kuna nchi Asia kule kitunguu maji kimoja ilikuwa inauzwa tukifanya exchange rates ilikuwa kama 11,000 TZS hivi.
Hii ilikuwa sijui mwezi gani, nafikiri sasahivi itakuwa stable. Hii ilikuwa ni fursa.Tuexport
Bila nyota au kibali utoboi,utajiri uanzia rohoni.Nyota ya utajiri ndo nini?
Siamini kuhusu nyota mkuu, ni mambo ambayo hayapo. Ni knowledge, juhudi na nidhamu.
Si rahisi, ni sawa na umeme tumekosa mbadala wa moja kwa mojaInategemeana na upande.
Hata sudan kusini kitunguu kinalipa, kitunguu hakina hasara hata bongo dili.wanalima sana lakini demand yake ipo stable huwezi fix sokoHii ilikuwa sijui mwezi gani, nafikiri sasahivi itakuwa stable. Hii ilikuwa ni fursa.