Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Huna unachojua kuhusu umasikini. Hivi unadhani watu hawatumii akili kwenye utafutaji?? Watu mtaani tunaumiza vichwa tufanye mishe gani za kututoa kwenye huu umasikini!!. Wewe unasema umasikini ni ufinyu wa fikra.

Hivi unadhani maisha ni marahisi sio? Unaongea upuuzi mtupu, watu tunapambana watu kila mda tunawaza ubongo unafanya kazi masaa 24 lengo ni kutoka kwenye hili janga la umasikini halafu we unaleta kejeli zako
 
Mazingira yanachangia kwa kiasi kikubwa watu kuendelea kubaki masikini, image waliopo kijijini huko fursa za kibiashara wanazipata je ? Bidhaa za kuuzia wanazipata vipi? Ukiangalia ubovu wa miundombinu ya barabara, mzunguko mdogo wa pesa kwa mtu anayeishi kijijini atatoboa vipi??

Ndio maana unaona watu kila siku wanakuja huku mjini kutafuta maisha kutokana na mazingira ya kijijini si rafiki
 
Huna unachojua kuhusu umasikini. Hivi unadhani watu hawatumii akili kwenye utafutaji?? Watu mtaani tunaumiza vichwa tufanye mishe gani za kututoa kwenye huu umasikini!!. Wewe unasema umasikini ni ufinyu wa fikra.

Hivi unadhani maisha ni marahisi sio? Unaongea upuuzi mtupu, watu tunapambana watu kila mda tunawaza ubongo unafanya kazi masaa 24 lengo ni kutoka kwenye hili janga la umasikini halafu we unaleta kejeli zako
Kupambana Sio kupata kupata ni mchakato.
 
Mazingira yanachangia kwa kiasi kikubwa watu kuendelea kubaki masikini, image waliopo kijijini huko fursa za kibiashara wanazipata je ? Bidhaa za kuuzia wanazipata vipi? Ukiangalia ubovu wa miundombinu ya barabara, mzunguko mdogo wa pesa kwa mtu anayeishi kijijini atatoboa vipi??

Ndio maana unaona watu kila siku wanakuja huku mjini kutafuta maisha kutokana na mazingira ya kijijini si rafiki
Sio lazima uje mjini hata kijijini Kuna fursa tele za kuleta mjini ardhi ikiwa ndio msingi wa utajiri.
Lima,fuga,Kila ardhi Ina matumizi yake ili kuifanya iwe fursa kupitia nguvu zako bila pesa kwanza.
Pesa ni matokeo ya kazi.
Lima fuga,fyatua tofali vigae fuga nyuki,Lima mazao mbegu eg mlonge muarobaini nyonyo mbono kamua tengeneza sabuni uzia watu,choma mkaa,kusanya mibuyu uza kwa magunia au tengeneza kashata za ubuyu au paki unga wa ubuyu,tengeneza mifagio,Lima mazao,nk
 
Sio lazima uje mjini hata kijijini Kuna fursa tele za kuleta mjini ardhi ikiwa ndio msingi wa utajiri.
Lima,fuga,Kila ardhi Ina matumizi yake ili kuifanya iwe fursa kupitia nguvu zako bila pesa kwanza.
Pesa ni matokeo ya kazi.
Lima fuga,fyatua tofali vigae fuga nyuki,Lima mazao mbegu eg mlonge muarobaini nyonyo mbono kamua tengeneza sabuni uzia watu,choma mkaa,kusanya mibuyu uza kwa magunia au tengeneza kashata za ubuyu au paki unga wa ubuyu,tengeneza mifagio,Lima mazao,nk
Tatizo unaongea kirahisi sana utadhani hizo shughuli zote za kijijini ushawahi kufanya. Na sijui kama changamoto za huko unazijua. Ndio maana unaongea hivo
 
Huwezi pata kama hauna fikra
Hizo fikra ni kama zipi? Maana watu kila kukicha tunafikra (mawazo ya kibiashara na mishe za kutotoa kimaisha) ila bado mazingira yanaturudisha nyuma.

Ingekuwa watu hawana fikra basi hakuna biashara au shughuli za kiuchumi ungeziona huku mtaani. Hizo zote ni matokeo ya fikra ila bado watu tunaishi maisha magumu sasa sijui unazungumzia fikra zipi?
 
Hakuna watu masikini Duniani kama waislam nimakapuku haijawahi kutokea nenda nchi Afghanistan na Yemen ndoutajua
Dah unaota? Umasikini wa nchi siyo umasikini wa watu. Anza na kwenu kabla hujaeda mbali.

Unaowasikia hao kina Abood, sijuwi Mtibwa Sugar, Kagera Sugar. Unamjuwa Bakhresa? Unamjuwa GSM? Unamjuwa Mo? Unalijuwa baba lao Rostam Aziz? Unamjuwa Nuzrati, tajiri wa vifaa vya migodi yote mikubwa?

AlhamduliLlah wote hao Waislam. Tena hao ni kwa uchache sana.
 
Hizo fikra ni kama zipi? Maana watu kila kukicha tunafikra (mawazo ya kibiashara na mishe za kutotoa kimaisha) ila bado mazingira yanaturudisha nyuma.

Ingekuwa watu hawana fikra basi hakuna biashara au shughuli za kiuchumi ungeziona huku mtaani. Hizo zote ni matokeo ya fikra ila bado watu tunaishi maisha magumu sasa sijui unazungumzia fikra zipi?
Umewahi wazalishia bidhaa kwa Bei ndogo ukakosa soko,umewahi Lima chakula ukakosa soko,umewahi tengeneza mkaa ukakosa soko,
Umewahi tengeneza majiko ukakosa soko,wahi tengeneza mifagio ukakosa soko,sabuni ukakosa soko
 
Tatizo unaongea kirahisi sana utadhani hizo shughuli zote za kijijini ushawahi kufanya. Na sijui kama changamoto za huko unazijua. Ndio maana unaongea hivo
Kulima nyonyo,mlonge,katani,mianzi,mhogo,viazi,fyatua tofali za udongo na vigae,kufuga nyuki ,kukusanya ubuyu na ukwaju maporini Pana changamoto zipi kikwazo kwa mfano.
 
Mazingira yanakuzuia vipi kufanikiwa,mbona wazungu,wachina wahindi wao wanafanikiwa
Wapi hao. Nenda South oune wazungu wanavyotaabika sababu ya mazingira kubadilika. Nenda Argentina uone nchi ya wazungu inavyozama sababu ya mazingira mabovu. Wachina wenyewe wameanza kufanikiwa baada ya mazingira kubadilishwa mwaka 1978. Usidanganyike na hawa wawili watatu wanaokuja kupiga uchuuzi huku.
 
Sema mimi sasahivi sitamsikiliza motivation speaker yeyote zaidi ya Cristiano Ronaldo, Kobe Bryant, na Warren Buffett.

Motivation speakers wengi ni dealers, wanatafuta hela kupitia makongamano na kuuza vitabu. Unakuta mtu kaandika "Siri za utajiri" alafu yeye sio tajiri.
You know the right person!. Wapi wengi sanaa yani anaongea vitu ambavyo yey mwenyew kuvitekeleza vinamshinda.

Muhimu akisema neno FoCus libebe mana wengi tunakosaga hicho tu. Na hao motivation speaker wanatoleaga mifano watu waliofanikiwa na sio wao wenyewe. Wana Nini? Nanauka utajiri wake si ni kama cocastic wangu tu.
Cc. Leejay49
 
Back
Top Bottom