Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Umasikini ni matokeo ya fikra na sio matokeo ya mazingira

Kwani nyota au kibali ni nini?Tunazaliwa wote na nyota Vipi wengine wawe na nyota wengine wasiwe na nyota?
Kibali ni uwezo,bahati,baraka alizonacho mtu za kuweza kufanikiwa ktk mambo yake.mfano unaweza ukawa masikini huna kazi baada tu ya kuoa unashangaa mambo yako yanafunguka unapata kazi,cheo,biashara zinakua.
Au mtu anaanza na grocery inakuwa anamiliki bar,hiace kuu kuu baada ya mwaka mara coaster ndani ya miaka miwili basi mabus.Au kahamia mtaa maendeleo yanaonekana.
Wanazaliwa na nyota lakini zinachafuliwa au zinachukuliwa na wachawi au waganga,wanajifua wenyewe kwa matendo yao mfano uasherati kulala hovyo ni Kila ajae mbele yako au kununua Malaya nk.nyota ni biashara kubwa sana kati ya waganga na matajiri washirkina,waganga uiba nyota za watu na kuwauzia matajiri wa kishirikina.
yapo makundi matatu ya matajiri toka kwa Mungu,kwa shetani na atheist watu wasioamini upande wowote yaani Mungu au shetani.
 
Watu wanapingana na biblia:

Marko 10:25 BHN​

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
haya mambo waachie wahubiri tu na ndio hao hao wanakula hela za matajiri
 
Kibali ni uwezo,bahati,baraka alizonacho mtu za kuweza kufanikiwa ktk mambo yake.mfano unaweza ukawa masikini huna kazi baada tu ya kuoa unashangaa mambo yako yanafunguka unapata kazi,cheo,biashara zinakua.
Au mtu anaanza na grocery inakuwa anamiliki bar,hiace kuu kuu baada ya mwaka mara coaster ndani ya miaka miwili basi mabus.Au kahamia mtaa maendeleo yanaonekana.
Wanazaliwa na nyota lakini zinachafuliwa au zinachukuliwa na wachawi au waganga,wanajifua wenyewe kwa matendo yao mfano uasherati kulala hovyo ni Kila ajae mbele yako au kununua Malaya nk.nyota ni biashara kubwa sana kati ya waganga na matajiri washirkina,waganga uiba nyota za watu na kuwauzia matajiri wa kishirikina.
yapo makundi matatu ya matajiri toka kwa Mungu,kwa shetani na atheist watu wasioamini upande wowote yaani Mungu au shetani.

Tatizo sisi waafrica hatujui Nini maana ya MAISHA katika Maisha Hakuna bahato au mkosi ila tatizo tunavunja sheria za ulimwengu
 
Umewahi wazalishia bidhaa kwa Bei ndogo ukakosa soko,umewahi Lima chakula ukakosa soko,umewahi tengeneza mkaa ukakosa soko,
Umewahi tengeneza majiko ukakosa soko,wahi tengeneza mifagio ukakosa soko,sabuni ukakosa soko
Shida sio kukosa soko, tatizo lipo kwenye ushindani. Wazalishaji wa bidhaa tumekuwa wengi kuliko wahitaji. Nadhani unafahamu fika theory of competition. Wenye mitaji mikubwa ndio wanawin kwenye soko tofauti na sisi wenye mitaji midogo. Pia wale wanaoanza biashara ambazo tayari zipo sokoni wanapitia changamoto za kukosa wateja at first time until biashara zao zimejulikana na wateja

Bidhaa zote ulizotaja apo zina wazalishaji wengi huku mtaani na baadhi yako bado wanamaisha magumu
 
Umewahi wazalishia bidhaa kwa Bei ndogo ukakosa soko,umewahi Lima chakula ukakosa soko,umewahi tengeneza mkaa ukakosa soko,
Umewahi tengeneza majiko ukakosa soko,wahi tengeneza mifagio ukakosa soko,sabuni ukakosa soko
Hizo kazi uwezi kuzifanya mwenyewe zinahitaji company angalau muwe hata watu 10. Mwenyewe hizo uwezi kuzifanya unless utatumia nguvu nyingi mwishowe utaona hizo kazi ni mateso.

Halafu hivi unayajua mazingira ya kijijini?? Kweli usafiri ni mbovu, barabara mbovu, huduma za afya kama hospitali ziko mbali, umeme shida, maji shida, sidhani kama kuna mtu atakubali kurudi kijijini
 
Mtizamo wako ni sahihi na lakini pia sio sahihi. Na huu ndio mtizamo wangu.

Mazingira yanaweza kuwa sababu ya kushindwa kubarikiwa au kufanikiwa. Kuna mazingira yanakufunga na kukuzuia kupiga hatua.

Kwa wasomaji wa Biblia na waamini wa Yesu Kristo mtakubaliana nami kua.

Mungu alipotaka kumbariki Abrahamu alimuhamisha kutoka Nchi ya wazazi wake au mahali alikozaliwa.

Isaka pia naye ilikua hivyo hivyo sawa na Yakobo wote Mungu aliwaagiza kuondoka mahali walipokuwepo na ndipo walipopata mafanikio yao.

Au kwa nini Yusuph alienda kubarikiwa Misri na si kule nyumbani kwa Baba yake Yakobo alikozaliwa? Au pia kwa nini Israeli taifa teule la Mungu wasifanikiwe kulekule Misri ila iliwabidi waondoke waende Nchi ya ahadi ndio wabarikiwe?

Mkuu suala la kimafanikio kwanza linaanzia Rohoni. Na nikuambie Mazingira yanaweza kua kikwazo kikubwa sana katika mafanikio ya Mtu.

Kifupi hili ni somo pana sana….
Kibiblia hii ni sawa,kufanikiwa kwa mtu kupo kule baraka zake zilipo.
Thus mwingine alifanikiwa baada ya kufukuzwa kazi,kubadilisha kazi,NK.
Nazungumzia kiuchumi kwa maana katika mazingira hayo hayo umeshindwa kutoboa wengine wametoboa.mfano uswahili Pana sifika kwa uchawi na ushirikina kwa maana ya yule mkuu wa anga anaetawala eneo Hilo kiroho yaani chief satanists ameset life standard au mstari wa umasikini haitakiwi wakaazi wa eneo Hilo wauvuke ni sahihi utafute mazingira mengine japo mazingira hayo hayo watu wanafanikiwa hapa ni ishu kuzidiana nguvu za kiroho kufanikiwa ni lazima uaply force kubwa sana ili kuuvuka huo mstari wa umasikini uliowekwa.
hapa Sasa ndio maana ya akili ushinda vikwazo vya mazingira kwa sababu unayo elimu ya kupambana kiroho.
tunaposema umasikini ni laana maana yake ili ufanikiwe ni lazima umshinde mkuu wa Giza wa eneo ukoo kabila nk aliyeseti mstari wa umasikini usiotakiwa kuuvuka.lazima ufanikiwe kiroho { kuifungua akili yako]
 
Hizo kazi uwezi kuzifanya mwenyewe zinahitaji company angalau muwe hata watu 10. Mwenyewe hizo uwezi kuzifanya unless utatumia nguvu nyingi mwishowe utaona hizo kazi ni mateso.

Halafu hivi unayajua mazingira ya kijijini?? Kweli usafiri ni mbovu, barabara mbovu, huduma za afya kama hospitali ziko mbali, umeme shida, maji shida, sidhani kama kuna mtu atakubali kurudi kijijini
Unaangalia kazi kulingana na mazingira yako,unaanza na uwezavyo ili kukuza mtaji ili ndipo uajiri hao kumi.
Hao hao kumi sababu mnafahamiana kijijini wanaweza kukuuzia nguvu zao wakafanya kazi ukawalipa baada ya kuuza mzigo.
 
Shida sio kukosa soko, tatizo lipo kwenye ushindani. Wazalishaji wa bidhaa tumekuwa wengi kuliko wahitaji. Nadhani unafahamu fika theory of competition. Wenye mitaji mikubwa ndio wanawin kwenye soko tofauti na sisi wenye mitaji midogo. Pia wale wanaoanza biashara ambazo tayari zipo sokoni wanapitia changamoto za kukosa wateja at first time until biashara zao zimejulikana na wateja

Bidhaa zote ulizotaja apo zina wazalishaji wengi huku mtaani na baadhi yako bado wanamaisha magumu
Unaaply low price principal watz hawajali kuhusu quality wao wanajali kuhusu Bei chini ndicho mchina anachosombea Hela zetu kwao.
Hawajali kuhusu durability na longertivity
Check kwenye bidhaa zake zikiwemo mabus,malori,bodaboda nk
 
Tatizo sisi waafrica hatujui Nini maana ya MAISHA katika Maisha Hakuna bahato au mkosi ila tatizo tunavunja sheria za ulimwengu

Nakubaliana na wewe hakuna mwenye nyota kuzidi mwingine Sema kuna mambo tunatofautiana kwenye principle za maisha hivyo unaona Kama mwingine kabarikiwa na wewe umelaanika kumbe wala si hivyo
 
Unatoka sasa kwenye mstari.. tatizo hili in broader sense ni kwamba linasababishwa na mfumo wa ajira na elimu ulivyo.

Suluhu ni lazima elimu ifumuliwe iwekwe na misingi ya kujitegemea. Au mfumo wa piramid kwenye elimu utoke mana huo ndo unasababisha watu kuanguka kila unavyopanda ngazi kwenda juu na hautoi suluhu. Au mpango wa kupanga uzazi na kuwa na controlled population ufikie malengo.
Nje ya hapo tutalaumu wahanga kwamba elimu haijawasidia, hawataki kufanya kazi zingine au sio compitent kwenye kada zao.
Uko sahihi labda controlled population ila kuondoa pyramid scheme haiwezekani.
 
Why usiwezekane. Unajua mfumo wa elimu unatumia "one mode fit all".. utaftiwe model nyingine ili wote wawepo
Haiwezekani bro mi nakuambia, nilikuwa namsikiliza professor mmoja wa kizungu, although ni upande wa uchumi, alisema kuwa wao(West), China na Urusi huwa wanahakikisha kuwa Africa anabaki jinsi walivyo na siku Waafrika watakapoamka , maisha waliyokuwa nayo yatakuwa hatarini, hii ni economic pyramid system.

Tukija kwenye suala la elimu, wasomi wakiwa wengi sana, na hakuna investments ya kuhakikisha kuna job opportunities, inazalisha Unemployment ila hata kama tukisema wote wasome Veta, mbeleni huko utakuta watu wote wana ujuzi ila sasa demand ndogo, na ujuzi wa Veta kumbuka huwezi tumia nje ya nchi maana Iko technological outdated.
 
Haiwezekani bro mi nakuambia, nilikuwa namsikiliza professor mmoja wa kizungu, although ni upande wa uchumi, alisema kuwa wao(West), China na Urusi huwa wanahakikisha kuwa Africa anabaki jinsi walivyo na siku Waafrika watakapoamka , maisha waliyokuwa nayo yatakuwa hatarini, hii ni economic pyramid system.

Tukija kwenye suala la elimu, wasomi wakiwa wengi sana, na hakuna investments ya kuhakikisha kuna job opportunities, inazalisha Unemployment ila hata kama tukisema wote wasome Veta, mbeleni huko utakuta watu wote wana ujuzi ila sasa demand ndogo, na ujuzi wa Veta kumbuka huwezi tumia nje ya nchi maana Iko technological outdated.
Umemsikiliza Rais wa South Africa kwenye G20 meeting anasema walienda WTO kuomba kutengeneza Chanjo za Covid walikataliwa. Big Pham zinanguvu kubwa mno
Waziri mkuu wa Italy aliwacha France kuwa wanasababisha wahamiaji ulaya kwa sababu hawataki Ex colony zao ziwe independent.
 
Haiwezekani bro mi nakuambia, nilikuwa namsikiliza professor mmoja wa kizungu, although ni upande wa uchumi, alisema kuwa wao(West), China na Urusi huwa wanahakikisha kuwa Africa anabaki jinsi walivyo na siku Waafrika watakapoamka , maisha waliyokuwa nayo yatakuwa hatarini, hii ni economic pyramid system.

Tukija kwenye suala la elimu, wasomi wakiwa wengi sana, na hakuna investments ya kuhakikisha kuna job opportunities, inazalisha Unemployment ila hata kama tukisema wote wasome Veta, mbeleni huko utakuta watu wote wana ujuzi ila sasa demand ndogo, na ujuzi wa Veta kumbuka huwezi tumia nje ya nchi maana Iko technological outdated.
Hiv unajua ukapitalism unazalisha wataalam wengi nabunachukua wachache ili wale wengine uwakomvet kutoka kuwa wataalamu Hadi vibarua?.


Piramid iliyopo ni kwamba kila tukienda juu watu wapungue.. from foo walipungua, six wakapungua na chuo kwenda kwenye ajira watu wapungue.

Huu mfumo ngum sana. Na unabebwa sna na ukapitalism, mbaya zaidi kwa afrika unachagizwa na population booming!. Lazima fursa zizidi kuwa finyu unless elimu yenyewe ibebe maudhui ya kupamban na Hali zetu
 
Hiv unajua ukapitalism unazalisha wataalam wengi nabunachukua wachache ili wale wengine uwakomvet kutoka kuwa wataalamu Hadi vibarua?.


Piramid iliyopo ni kwamba kila tukienda juu watu wapungue.. from foo walipungua, six wakapungua na chuo kwenda kwenye ajira watu wapungue.

Huu mfumo ngum sana. Na unabebwa sna na ukapitalism, mbaya zaidi kwa afrika unachagizwa na population booming!. Lazima fursa zizidi kuwa finyu unless elimu yenyewe ibebe maudhui ya kupamban na Hali zetu
Sasahivi ni tofauti, form 4 na 6 wanaopungua ni wachache sana.
 
Sasahivi ni tofauti, form 4 na 6 wanaopungua ni wachache sana.
Ulishawahi jiuliza wale wanaopubgua wanaenda wapi?. Kwani sio watu? Hawa wa kuwa terminated kabisa na formal education system. Wanarudi kwenye vocational! Na sasa hao wa veta mtaani nao wengi tu

Wenye mfumo huu wa maisha ya kisasa wanadai tunatakiwa tukontro population. Mbaya zaidi watu wamegoma kupanga uzazi.
 
Back
Top Bottom